Kwahiyo ni lazima zisemwe hadharani vile,sio Kwa Wana familia?Pinto kafata taratibu za kiislam ambapo kabla marehemu hajazikwa ..anatakiwa mtu asimame na kuuliza Nani anamdai marehemu na nani anadaiwa na marehemu...
Le mutuz alikuwa na mikataba na DStv,Asas na kampuni zingine na kampuni yake alioajiri watu watano ...
Lazima kama kuna sintofaham ya Mali zake iwekwe wazi kabla hajazikwa
Halafu ni mtu mzima, alivyoanza ongea habari za sijui mtandaoni sijui gari, alafu yupo serious nikaona aibu kumsikiliza.Aisee nimemsikiliza yule kaka kanishangaza🤔
Hivi kulikuwa na haja gani ya kuongea Yale pale Kwenye kadamnasi?
Si angewafuata familia tu ?
Mpk nikaona Kuna watu km 3 hivi wanamfuata km walikuwa wanamnong'oneza aache kuongea hivi ,aisee kanishangaza sn
Embu mfwatilie vizuri.Huwa munampa sifa Sana huyo jamaa aliyekulia nyumba ya mboga nne ugali robo
Sijaona ushujaa wowote labda km watz ni wajinga , ushujaa wa kula bata mjini huku akiwa na back up ya mzee wake!!
Pia anatajwa kuwa ni Njagu msela ..
Acheni akina Malcolm X wabaki na ushujaa ..Bongo michosho Sana.
hakuna kijana yeyote tanzania ambaye anaweza fanana na
Lemutuz
Lemutuz
jamaa ni shujaa ambaye hata story yake ya maisha naweza kuwa hadithia wanangu na nina hakika wataipenda
chukua maua yako Mkuu mungu akuweke mahali safi sana
mimi na wewe hatuwezi fikia hata nusu ya huwezo wa huyu jamaa Mkuu
Mpaka wakamuondolea sauti kwenye kipaaza sauti Ila baadaye wakamrushishia. He spoke shit. Pinto popote ulipo hufai kuitwa mwanaume kabisa. Kwani hiyo Noah nzee kabisa ni shilingi ngapi? Hiyo nyumba aliyomwachia ndiyo ya kupanga Kariakoo? Yaani kumdhalilisha marehemu kuwa alikuwa dependant wa Pinto. Yaani mkuu Tayana-wog ningekuwa karibu ningemzaba Pinto Kofi la uso.Aisee nimemsikiliza yule kaka kanishangaza🤔
Hivi kulikuwa na haja gani ya kuongea Yale pale Kwenye kadamnasi?
Si angewafuata familia tu ?
Mpk nikaona Kuna watu km 3 hivi wanamfuata km walikuwa wanamnong'oneza aache kuongea hivi ,aisee kanishangaza sn
Labda swali liliulizwa kwenye Kadamnasi na jibu lilihitajika kutolewa kwenye kadamnasi? Angelijibia wapi?Aisee nimemsikiliza yule kaka kanishangaza🤔
Hivi kulikuwa na haja gani ya kuongea Yale pale Kwenye kadamnasi?
Si angewafuata familia tu ?
Mpk nikaona Kuna watu km 3 hivi wanamfuata km walikuwa wanamnong'oneza aache kuongea hivi ,aisee kanishangaza sn
Mbinu za kale kadada kenye mufupa, huyo kalipwa kumchgafua ila sisi tutamtetea. Kama kari akachukuwe duniani tunapita majumba na magari tunaacha. Yule baba ni mjinga tu mbona hakusema hayo yote lemutuzi akiwa hai?Aisee nimemsikiliza yule kaka kanishangaza🤔
Hivi kulikuwa na haja gani ya kuongea Yale pale Kwenye kadamnasi?
Si angewafuata familia tu ?
Mpk nikaona Kuna watu km 3 hivi wanamfuata km walikuwa wanamnong'oneza aache kuongea hivi ,aisee kanishangaza sn
Njagu msela ndio nini mkuu?Huwa munampa sifa Sana huyo jamaa aliyekulia nyumba ya mboga nne ugali robo
Sijaona ushujaa wowote labda km watz ni wajinga , ushujaa wa kula bata mjini huku akiwa na back up ya mzee wake!!
Pia anatajwa kuwa ni Njagu msela ..
Acheni akina Malcolm X wabaki na ushujaa ..Bongo michosho Sana.
Kweli hatukupata scene lakini wewe binafsi ushaipata.Kuna muda huwa tunapishana na wazee halafu ukute mzee Ni mtata na anamkwanja anaamua kukupitisha kwenye tanuru la Moto ,akili ikitulia anaamua kukuinua ,,,Le ni kama vijana wa mjini tu aliyeamua kuishi maisha yake na mzee malecela akaamua kumuacha apendavyo...Kuna upande wa simulizi hatukupata scene.
kuna watu hamjui le Mutuz vizuri wakisikia jina la malecela (waziri mkuu mstaafu) basi wanaamini jamaa alikuwa mboga saba.Amekula wapi mboga 4? [emoji28] Aisee laiti ungejua hata hayo maisha hajayaonja kaishi Kwa tabu usingesema!
Haya mambo yasikie tu aisee
Naweka ukweli, Pinto alikuwa anasimuliaPinto kafata taratibu za kiislam ambapo kabla marehemu hajazikwa ..anatakiwa mtu asimame na kuuliza Nani anamdai marehemu na nani anadaiwa na marehemu...
Le mutuz alikuwa na mikataba na DStv,Asas na kampuni zingine na kampuni yake alioajiri watu watano ...
Lazima kama kuna sintofaham ya Mali zake iwekwe wazi kabla hajazikwa
Kwenye maisha ni virahisi kuona au kumuona mwingine kama mpuuzi fulani mpaka upitie magumu yake. Le Mutuz aliwahi kuandika ktk simulizi ya maisha yake kuwa kivuli cha ugomvi wa Mama zake wawili ndicho kilichokuwa kinamuandana maisha yake yote na mpaka kufikia kulelewa na dingi yake mkubwa na hilo tumelishuhudia ktk familia nyingi na familia yake haikuwa na tofauti.Sawa Kaka lkn ukweli ubaki kuwa mzee wake hukumuacha asote ,Le mwenyewe aliamuwa kuishi maisha aliyochagua ,,hawezi kufanana na Mimi niliyepambana kubomoa nyumba ya nyasi ya mzee wangu ili kumjengea yenye nafuu
Hakuna kibayaNaweka ukweli, Pinto alikuwa anasimulia