Mmh sidhani kwa ugonjwa wa moyo aliokuwa nao angewezaje jamani, labda alikuwa anapiga picha ili watu waone na yeye anaweza kumbe hamna kitu[emoji3][emoji3][emoji3]Zile pisii alikuwa anakula kweli???
Munguchukua maua yako Mkuu mungu akuweke mahali safi sana
Okay, ngoja tuone yanayokujaamesema vile kimkakati kesho familia isijeenda kwenye nyumba ile na kuchukua gari
Nime iona pia jamaa ni bwege kweli ange sema tu namdai tali wasilisha kwa familia yake .lenyewe lime funguka kama lina jitetea hadi likawa lina onesha kwa kidole wtfAisee nimemsikiliza yule kaka kanishangaza[emoji848]
Hivi kulikuwa na haja gani ya kuongea Yale pale Kwenye kadamnasi?
Si angewafuata familia tu ?
Mpk nikaona Kuna watu km 3 hivi wanamfuata km walikuwa wanamnong'oneza aache kuongea hivi ,aisee kanishangaza sn
Mbona ameelezea vizuri aliyopitia le mutuz. Mpaka alivyokuwa anazuiliwa kuingia nyumbani na walinzi saa sita usiku, mpaka akaamua kumpa hifadhi.Nime iona pia jamaa ni bwege kweli ange sema tu namdai tali wasilisha kwa familia yake .lenyewe lime funguka kama lina jitetea hadi likawa lina onesha kwa kidole wtf
Ana uwezo gani nyumba 1 ya babakemimi na wewe hatuwezi fikia hata nusu ya huwezo wa huyu jamaa Mkuu
Hivi huwa anakuja kusalimu tanzaniaNi sahihi kabisa ili yule mke akijirudisha kudai mali akute hana hata godoro
Ongeza nawajane wake aliowaacha ukiwemo naweweNaona Wajane na Machawa wa Lemutuz wamekasirika kweri kweri [emoji1787][emoji1787] kulia kupokezana, kuishi kwa maigizo jua kifo kitakuumbua tu, kuna mmoja anauliza Noah shi ngapi ingekua rahisi si angemiliki yake [emoji1787] mwingine anasema hakuna kijana atakayeishi maisha ya Lemutuz kwanza tuwakumbushe alikua ni Mzee wa miaka 60+ hakua kijana, pili vijana sisi tuna akili tunawekeza kwa kidogo tunachopata gari na nyumba tutaviacha atleast hatutaaibishwa kwenye misiba kama huyo mzee wetu [emoji2960]
Continue to Rest in Heaven Milembe, at 40's umeacha Majumba na Magari na Mayatima uliokua unawasomesha na Walemavu uliokua unawatunza.
Nami nilitaka kuuliza piaInamaanisha nini hiyo njagu msela, siulizi kwa dhihaka nataka kujua kweli maana yake.
Pole kwa kufiwa na mume na pole zaidi mumeo hajakuachia Mali 🥲[emoji51]Ongeza nawajane wake aliowaacha ukiwemo nawewe
Ucjal c amewaachia madildoPole kwa kufiwa na mume na pole zaidi mumeo hajakuachia Mali 🥲[emoji51]
Wee kumbe alikua wanawaingiza hadi madildo [emoji2296] kweli wajane wake mtamkumbuka kwa mengi 🥲Ucjal c amewaachia madildo
Katika jambo ambalo naona haliko sawa hadi leo ni suala la Kuanza kutaja madeni ya marehemu msibani kama kuna mtu anamdai why asiifate familia kumtunzia heshima marehemu?
Kwenye msiba wa Lemutuz yule Pinto anasema nyumba aliyokuwa anaishi lemutuz ni yake hata Gari noah alimuazima sio ya Lemutuz[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Why tunawavua nguo marehemu?
Sio utamaduni mzuri nadhani hili inabdi lipitiwe upya na kurekebishwaa.
Binafsi kuna msiba fulani wa Ndugu yangu jamaa wa karibu sana ambae kiukweli alisimama hadharani kuanza kutaja kiasi anachomdai Marehemu toka siku ile nilimshusha sana vyeo na kuona hajitambui maana kama familia angetufata sidhani kama tungekataaa.
Sasa hyo ni stori ambayo inaonyesha urafiki wake na marehemu ilikuwaje sasa ubaya Uko wapi?? Kwani kasema naomba gari yangu familia mnirudishie...??Kwani angeenda kusema ndani kwenye kikao cha familia wangekataa au???
HAPANA ila hakukua na haja ya kusema suala la nyumba na gari kamuazima mbele ya umati ni kumdhalilisha marehemu laiti angekuwa ni ndugu yako ungeelewa hili.Sasa hyo ni stori ambayo inaonyesha urafiki wake na marehemu ilikuwaje sasa ubaya Uko wapi?? Kwani kasema naomba gari yangu familia mnirudishie...??