Nani anamdai Marehemu Lemutuz?

Nani anamdai Marehemu Lemutuz?

[emoji3][emoji3][emoji3]Zile pisii alikuwa anakula kweli???
Mmh sidhani kwa ugonjwa wa moyo aliokuwa nao angewezaje jamani, labda alikuwa anapiga picha ili watu waone na yeye anaweza kumbe hamna kitu
 
Aisee nimemsikiliza yule kaka kanishangaza[emoji848]
Hivi kulikuwa na haja gani ya kuongea Yale pale Kwenye kadamnasi?
Si angewafuata familia tu ?
Mpk nikaona Kuna watu km 3 hivi wanamfuata km walikuwa wanamnong'oneza aache kuongea hivi ,aisee kanishangaza sn
Nime iona pia jamaa ni bwege kweli ange sema tu namdai tali wasilisha kwa familia yake .lenyewe lime funguka kama lina jitetea hadi likawa lina onesha kwa kidole wtf
 
Nime iona pia jamaa ni bwege kweli ange sema tu namdai tali wasilisha kwa familia yake .lenyewe lime funguka kama lina jitetea hadi likawa lina onesha kwa kidole wtf
Mbona ameelezea vizuri aliyopitia le mutuz. Mpaka alivyokuwa anazuiliwa kuingia nyumbani na walinzi saa sita usiku, mpaka akaamua kumpa hifadhi.
 
Naona Wajane na Machawa wa Lemutuz wamekasirika kweri kweri [emoji1787][emoji1787] kulia kupokezana, kuishi kwa maigizo jua kifo kitakuumbua tu, kuna mmoja anauliza Noah shi ngapi ingekua rahisi si angemiliki yake [emoji1787] mwingine anasema hakuna kijana atakayeishi maisha ya Lemutuz kwanza tuwakumbushe alikua ni Mzee wa miaka 60+ hakua kijana, pili vijana sisi tuna akili tunawekeza kwa kidogo tunachopata gari na nyumba tutaviacha atleast hatutaaibishwa kwenye misiba kama huyo mzee wetu [emoji2960]

Continue to Rest in Heaven Milembe, at 40's umeacha Majumba na Magari na Mayatima uliokua unawasomesha na Walemavu uliokua unawatunza.
Ongeza nawajane wake aliowaacha ukiwemo nawewe
 
Kwani kudaiwa ni kosa ndg
Katika jambo ambalo naona haliko sawa hadi leo ni suala la Kuanza kutaja madeni ya marehemu msibani kama kuna mtu anamdai why asiifate familia kumtunzia heshima marehemu?

Kwenye msiba wa Lemutuz yule Pinto anasema nyumba aliyokuwa anaishi lemutuz ni yake hata Gari noah alimuazima sio ya Lemutuz[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Why tunawavua nguo marehemu?

Sio utamaduni mzuri nadhani hili inabdi lipitiwe upya na kurekebishwaa.

Binafsi kuna msiba fulani wa Ndugu yangu jamaa wa karibu sana ambae kiukweli alisimama hadharani kuanza kutaja kiasi anachomdai Marehemu toka siku ile nilimshusha sana vyeo na kuona hajitambui maana kama familia angetufata sidhani kama tungekataaa.
 
Sasa hyo ni stori ambayo inaonyesha urafiki wake na marehemu ilikuwaje sasa ubaya Uko wapi?? Kwani kasema naomba gari yangu familia mnirudishie...??
HAPANA ila hakukua na haja ya kusema suala la nyumba na gari kamuazima mbele ya umati ni kumdhalilisha marehemu laiti angekuwa ni ndugu yako ungeelewa hili.
 
Unaambiwa sema sasa hivi au rest your case for good. Sasa we hapo utafanyaje? Mimi kwenye mambo ya uchumi usinitanie, nasema hata mbele ya kamera ili nipate changu, hata kunivua vyeo sijui nini lakini kwanza nipate changu.
 
Natengua kauli... kumbe Juma Pinto hajaongea kitu chochote kibaya ni alikua anaelezea ukaribu aliokua nao na marehemu hadi alivyopata umauti. Le Mutuz mwenyewe alikiri alirudi bongo hana kitu.
Kitu nilichojifunza hapo ni kua Le mutuz zile mapicha na wabebez na kula raha 5 star hotel ilikua anatuliza maumivu mazito aliokua nayo moyoni. Le Coco banga alikua na stress kubwa kwahio alijifariji kwa wabebez. RIP mwamba, mwendo umeumaliza. Mental healthy is real guys.!!
 
William hata kama ni kusaidiwa haikuwa kama yatima. Hao washkaji zake wanajua influence na akili yake ndio maana walimuweka karibu na kumpa vitu mbalimbali.

Kama kupewa Noah na apartment ni rahisi jaribu wewe upewe bure gari na nyumba for more than 10 years. William amewasaidia wanasiasa wengi gizani kupitia uzoefu na influence ya mitandaoni hasa humu JF.
 
Back
Top Bottom