Sijui, sina data ila kamishina mpya kama sikosei alisema ni M2 na raisi naye kasema M2, wewe unasema wangapi?Hata kama ni ya moja kwa moja bado hiyo namba sio sahihi. Wafanyakazi walioajiriwa sekta binafsi na serikalini wanalipa Kodi ya moja kwa moja kuoitia PAYE. Unataka tuseme wafanyakazi walioajiriwa nchi hii wapo chini ya milion 2?
Kilongola ni naniInashangaza sana hii, Serikali yenyewe ina matumizi mabaya ya pesa za Umma tena mubashara, hapa Kilongola nae anashangaa pesa kupungua? ๐ฒ
Hivi zile million 10 zinazogawiwa kwenye ubaya ubwera zinatoka wapi na kuratibiwa na nani? ๐ฒ๐ฎ
Afafanue basi aeleweke vinginevyo ukweli ni kwamba almost kila raia analipa kodi.Raisi anaongelea direct tax, Indirect tax kila mtu analipa.
Mwijaku1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?
2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?
3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?
4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?
5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi
6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.
NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara
USSR
Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
sio haki kwa bibi kizee akinunua mkate alipe kodi, ila inabidi alipe sababu nchi ina walipa kodi wachache sana wanaolipa direct tax. Ikitokea direct tax walipa kodi tukawa wengi pengine hizi kodi nyingine zikapata pa kupumulia maana ni nyingi mno.Afafanue basi aeleweke vinginevyo ukweli ni kwamba almost kila raia analipa kodi.
-Kwani hiyo Indirect Tax inakwenda wapi au inafanyiwa shughuli zipi? Kwanini aongelee Direct Tax peke yake na aache Indirect Tax wakati zote ni fedha wanazokamuliwa wananchi 'supposedly' zinawekwa Hazina.
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?
2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?
3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?
4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?
5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi
6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.
NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara
USSR
Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Mkuu , no research no right to sppeak.1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?
2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?
3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?
4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?
5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi
6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.
NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara
USSR
Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu