Nani anamdanganya Rais Samia kuwa kati ya Watanzania mil 65, ni milioni 2 tu wanaolipa kodi?

Nani anamdanganya Rais Samia kuwa kati ya Watanzania mil 65, ni milioni 2 tu wanaolipa kodi?

1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Sasa 50% ya watanzania wote ni below 18 na 60% ni below 25 watalipa vipi Kodi ?
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Inavyoonekana indirect tax zinaonekana sio kodi. Kiuhalisia watanzania wote tunalipa kodi ila viwango ni tofauti. Huenda walipaji wa pesa nyingi za kodi ni hao 2M ila wote ni walipaji wakubwa tukienda on progressive tax base.
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu
Kweli mwanamke anapenda kudanganywa 😂! Pamoja na tozo zote hizo bado anaona watu hawalipi kodi! Kwenye tozo za miamala ni bidhaa gani inanunuliwa mle? Kama sio direct tax ni nini?
 
Jibu swali dogo .je wanaolipa indirect ile pesa haijumulishwi na wale wa direct,zote haziendi kwenye serikali hii hii

USSR
Sometime tuache upumbavu wa kupinga kila jambo, mtu kaongelea Direct ways za ulipaji kodi, kodi ambayo inawahusu walipaji moja kwa moja bila kuhusisha indirect ways za malipo na manunuzi ya bidhaa ambayo wengi mnashiriki.

Kamwe mlipaji wa kodi anaekatwa mshahara kila mwezi, huwezi mlinganisha na mlipa kodi anayelipa kupitia manunuzi madogo ya bidhaa ambayo pengine ni machache hata 10,000Tsh haizidi.

Pia huwezi mfananisha mfanyabiashara anaelipa kodi TRA kwa bidhaa zake na wewe ambaye hushiriki malipo yoyote kwa serikali mpaka ununue kitu ambacho nacho kodi yake ni ndogo sana.
Tunapolalamika maendeleo hakuna tuangalie na mzunguko wa makusanyo ya kodi yako vipi? Wapo hata humu wakwepa kodi, lakn maajabu ndio vinara wa kulalamikia serikali haifanyi maendeleo.

Tuache malalamiko ya kisiasa, kumchukia mwanasiasa isitufanye tujitoe akili kuchukia mpaka uhalisia.

Shame on you.
 
Indirect na direct zote ni kodi tu hakuna jipya hapo mimi nilinunua umeme naona VAT pale naumia kusikia silipi kodi

USSR
Nadhani walipaswa kuonyesha idadi ya wanaolipa direct tax na indirect tax kututia moyo sie wanunua LUKU na vocha. All in all, ukiona mwanasiasa anakupa takwimu ya idadi ya walipa Kodi na anakubali kwamba ni wachache ujue mambo ni mambo ni mabaya anatafuta justification ya vitu flani flani kutokwenda vyema.
 
Sijui kuhusu uthabiti wa namba alizotoa, lakini nafikiri point kubwa ni kwamba Watanzania wengi sana, majority, hawalipi kodi wanavyotakiwa kulipa.

Unaweza kuona unalipa kodi katika kununua umeme kwenye Luku, kumbe hiyo bei ya umeme unayolipia kodi imekuwa subsidized na serikali kwa kutumia kodi za wenye viwanda wachache. Kimsingi hapo serikali inatumia pesa za watu wachache wenye viwanda kukulipia wewe umeme wako.

Na unaweza kukuta hizo kodi nyingine zote unazolipa kwenye manunuzi na PAYE hazifikii gharama za huduma za jamii kama barabara, kuunga umeme nchi nzima etc.

Na watu wengi hawana shughuli rasmi kama ajira au biashara na hivyo hawamo sana kwenye mfumo wa kodi, wanashikwa kwenye kodi za mauzo tu.
Kama nchi imemshinda aachie
 
Punguza jazba.

Kuna direct taxes na indirect taxes. Indirect taxes mpaka mtoto mdogo analipia maana ni consumer based (mtu anapotumia kitu au bidhaa.)

Direct taxes ni predictable na inalipwa moja kwa moja. Hiyo wapiga kelele wengi hawalipi
Ila wachache sana au amezungumzia wafanyabiashara tu maana hata wafanyakazi through PAYE ni direct tax pia. Kuna miaka kadhaa iliyopita ilikuwa inakadiriwa walipa Kodi wapo kama 3 million na usheee
 
Kachokoza mabeberu pesa imekata anahaha.
 
1. Je, ni Watanzania wangapi wanalipia LUKU ya umeme kuna kodi mle na kila siku tunalipa?

2. Tunaambiwa watumiaji wa simu tuko zaidi milioni 29 na kila siku unanunua vocha, tunalipia miamala?

3. Wangapi wanatumia magari yote yanalipiwa kodi na mafuta ukinunua unalipa kodi?

4. Tunalipa kodi tukilioia visimbuzi kila uchawi hiyo sio kodi?

5. Tunaonunua bidhaa kwa lipa namba, tunasafirisha bidhaa kutoka eneo moja hadi lingine bado tunalipa kodi

6. Mishahara yote nchini inakatwa kodi PAE.

NI UKWELI KUWA VAT na PAE tunalipa kila siku na kila mara

USSR


Pia soma:Rais Samia: Tunachokusanya hakiendani na idadi ya watu na shughuli za uchumi zilizopo. Pesa inaenda kwenye mifuko ya watu

Mwanzo tuliambiwa walikuwa milioni 3.
 
Mkuu, kodi anayoongelea raisi ni kodi ya moja kwa moja itokanayo na shughuli zinazozalisha mapato.

Umefanya kazi au biashara ukapata ujira au faida kisha ule ujira au faida ukakatwa kodi. Sio hizi kodi za manunuzi.

HIZI KODI ZA MANUNUZI IKIWEMO HIZO ZA KUAGIZA MAGARI ZINAPASWA ZIWE CHINI SANA ILA SASA UNAZISHUSHA VIPI NA WATU WANAOKATWA KODI KWA KUZALISHA VIPATO NI WACHACHE? ANACHOSEMA RAISI NI WATU WANAOLIPA KODI ZINAZOTAKANA NA MAPATO YAANI FAIDA AU BIASHARA WAONGEZEKE KWANI KWA SASA NI WACHACHE.

HUELEWI NINI HAPO BOSS?
Hata kama ni ya moja kwa moja bado hiyo namba sio sahihi. Wafanyakazi walioajiriwa sekta binafsi na serikalini wanalipa Kodi ya moja kwa moja kuoitia PAYE. Unataka tuseme wafanyakazi walioajiriwa nchi hii wapo chini ya milion 2?
 
Mtangulizi wake alifanyaje kukusanya kodi?
 
Kama nchi imemshinda aachie
Yeye kuachia nchi tu ni wishful thinking.

Wewe unatakiwa kumfanya aachie nchi.

Wakenya wanafanya motion ya kumu impeach Deputy President, wanataka kumuingiza rais Ruto kwenye impeachment hiyo.

Hawasemi tu "kama nchi imemshinda aachie".

Hakuna mtu anayeachia nchi kwa style hiyo.
 
Back
Top Bottom