Nani anamjua huyu msichana?

Nani anamjua huyu msichana?

1582307723900.png
 
Mzee mwenzangu wewe unapenda nini? Mie napenda sana sura kwa kweli na awe modo kweli kweli matipwa tipwa siwawezi
Danh aiseh sura kwanza tabia tutavumiliana.. Tunakoelekea huko wanawake watakua too selective so ni kumuandalia mtoto wako mazingira mazuri mapema.. [emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee mwenzangu wewe unapenda nini? Mie napenda sana sura kwa kweli na awe modo kweli kweli matipwa tipwa siwawezi
Kama mimi tu... Japo napendelea zaidi blonde kuliko white... Mimi ni kijana mdogo tu kiongozi.
 
Unaweza onga shilling ngapi??

1582307965768.png




1582307999190.png


1582308050937.png
 

Attachments

  • 1582307911464.png
    1582307911464.png
    249.3 KB · Views: 3
Mtoto mzuri kama haachii mashuzi [emoji23][emoji23][emoji23] njoo bongo unakuta demu sura ngumu kama sakafu ya nzege.. Lakini nyodo kama zote, aiseh unakuta demu kama huyu kuna mtu anamnyima usingizi, walahi kuna watu hata wasipoiona pepo watakua wameshakula mema ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dada Facebook anatumia majina tofauti kama Dayna Faby Kindole or Mwanaid Agripina na kuna account zaidi ya kumi zenye picha zake. .

I think she might be a musician, an actress or just someone famous. I am very interested just to know who she is nothing more, anyone who knows do tell. .

Nawaza tu: Unaweza jikuta mchawi bila kupenda, ukashangaa tu umekuwa mchawi unakula nyama za watu mchana wenzako wakikukaribisha "njoo tule nyama ya mbuzi", unasema "ohh mie silagi nyama za mbuzi zina kishombo" kumbe umeshiba nyama za watu. .

Ushauri tu: Kuliko kutafuta demu mzuriiii bora ujipatie KIBONGE, kwenye jokofu nyumbani unaweka mapocho pocho manyama majuisi na makachumbareeee yani huwazi anakusaliti wala nini. Sasa sana akikusaliti kala mapaja ya kuku yote uliowajaza kwenye jokofu. .








Kuna mdau kanijibu kuwa anaitwa KIRACHAANA Huyu ni nani? Nawashukuru wadau walionijulisha nilitaka kumfahamu tu..
View attachment 1362175View attachment 1362176View attachment 1362177View attachment 1362178View attachment 1362179
Ni Raia wa Ghana japo pia anakuwaga Nigeria anaitwa Kirachaana! ila mijanaume mingi inatumia picha zake kutapeli watu
 
Mtoto mzuri kama haachii mashuzi [emoji23][emoji23][emoji23] njoo bongo unakuta demu sura ngumu kama sakafu ya nzege.. Lakini nyodo kama zote, aiseh unakuta demu kama huyu kuna mtu anamnyima usingizi, walahi kuna watu hata wasipoiona pepo watakua wameshakula mema ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Yani huyo jamaa anayemnyima huyu demu usingizi anatakiwa asomwe shuleni kama mwanahistoria si mchezo
 
Msidanganywe na nguvu ya make-up...mwanamke yoyote akipaka make-up anakua kisu...akishaivua sasa unaweza kimbia mita 100
 
Huyu angekuwa simu, unafikiri angekuwa simu ya kampuni gani?

1582312222047.png


1582312247586.png


1582312296982.png


1582312332733.png
 
Msidanganywe na nguvu ya make-up...mwanamke yoyote akipaka make-up anakua kisu...akishaivua sasa unaweza kimbia mita 100

Ni kweli ila kwa huyu uzuri anao, hata asipokuwa na make up anavutia

1582312756326.png
 
Ni Raia wa Ghana japo pia anakuwaga Nigeria anaitwa Kirachaana! ila mijanaume mingi inatumia picha zake kutapeli watu

Kuna watu wanasema hana maajabu eti ni nguvu ya makeup kuna ukweli?
 
Back
Top Bottom