Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Dah!ila Binafsi hapo kwenye mavazi sijaona vazi la ajabu hata Moja,zaidi naona tu kabisa lake limejaa vijana wanaoendana na mavazi ya western styles....huyo dada kwenye Kona kilichomponza aonekana sana ni shepu yake nzuri tu maana naona gauni imevuka magoti
🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐
 
Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.

Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma

Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?

Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo matapeli wa zimbabwe ?
Jiongeze mkuu,hakuna nabii wa kweli Zama hizi
 
Kwa nini ukae kimya? YULE NI BINADAMU KAMA WEWE. HATA YEYE NI MFANYA BIASHARA TU.
Imani yako ipo kwa Mungu pekee bwana.
Basi sawa my dear sister in Christ 🤦🤦🤦
.Mahubiri yake ni SADAKA,SADAKA,SADAKA
 
huyo dada kwenye Kona kilichomponza aonekana sana ni shepu yake nzuri tu maana naona gauni imevuka magoti
Kwa hiyo unaona yupo sawa kuvaa hivyo?

Akii amesababisha wengi (wanaume) kutenda dhambi akiwemo pastor wake, unalijua hilo?
 
Hahahaa nilijua tu utajibu hivi.

Ila unajua mganga hakeshagi na mwanaume mwenzie hadi alegee kisa anamtibu 😂
Mkuu kwenye process za mganga mambo yanakuwa mengi. Kama wateja ni wengi inaweza mfanya mganga akakesha bila kijali jinsia. Mbona jina lako lina ukaribu na uchawi ila una-pretend huelewi?
 
Ulijuaje ni Kweli?unamwamini sana?hujui waganga huwaga ni waongo sana?hujui kwamba anakwambia vile Ili akutie moto uhisi Jambo unalolifanya linafanywa na wengi Hadi watumishi??Use ur head
Wewe ulikuwepo kwa huyo mganga hadi useme ni uongo? Wewe ndo unatakiwa utumie akili kunibishia kitu ambacho hakihitaji ubishi. Halafu mbona maandishi hako yananuka uchawi lakini unajifanya hupendi hayo mambo?
 
Kwa hiyo unaona yupo sawa kuvaa hivyo?

Akii amesababisha wengi (wanaume) kutenda dhambi akiwemo pastor wake, unalijua hilo?
Huyo hata angefunga kitenge macho kuona mngeona tu,YALIYOMO YAMO,famasikhara🤓🤓🤓
 
Wewe ulikuwepo kwa huyo mganga hadi useme ni uongo? Wewe ndo unatakiwa utumie akili kunibishia kitu ambacho hakihitaji ubishi. Halafu mbona maandishi hako yananuka uchawi lakini unajifanya hupendi hayo mambo?
Huna skills wala arts ya kuzungumza na watu..... brain Yako ni ndogo ndio maana ni rahisi kudanganywa na mganga na wewe unajaa.......unaichosha shingo kubeba mzigo usioutumia
 
Hapana siamini katika hili mchunga kondoo hawezi kuwa hivyo matapeli tu hao sawa na dalali. Ila ukitaka mpata mhasibu, hata mwanafunzi primary wampata na mafunzo maalumu ndo maana mtoto darasa kwanza na chekechea hawafananani ila kwenye dini ambayo ni jambo kubwa watu twalinganisha kupitia idadi ya followers nadhani tuanzie hapo
Yule pastari ni msela tu kama masanja, wao wenyewe wanavaa kisela na waumini wao nao wanavaa kisela sela tu. Ndio uvaaji wa mapastari na waumini wao wa kisasa. Wazee wa zamani wanaona uvaaji huo ni vituko. Shangaa praise wao wakiwa mbele ya madhabahu wanaabudisha, nguo walizozivaa ni aibu tupu
 
Pana wachungaji wanaweka bible madhabauni na hawazifungui wote hao ni washirikina Huwa wanamezeshwa bibla na waganga.
Wanamezeshwaji wanachana ukurusa la kwanza yaani kitbu Cha mwanzo na kitbu Cha ufunuo wanachanga na dawa na maji wanakoroga unapewa unakunywa, Biblia nzima inakaa kichwan,wao utumia Biblia kwa kupotosha na Sio kufundisha neno la Mungu ukazia mafundisho ya kishetani mfano
.1Bwana anaangalia moyo hapa ndipo ishu za vimini na nguo za kupromote ngono na uzinzi makanisani
2.Mfalme daudi alicheza akabaki uchi hapa ndipo zilipoingizwa densi za mikatiko ya kingono isiyo na staha Wala heshima kwa Mungu.Beat za kuzimu makanisani mfano amapiano,rap,taarabu,singeli nk
3 Visaidizi mfano upako,chumvi,nk
Eeeh hao waganga nao kiboko😁😁😁
 
Huna skills wala arts ya kuzungumza na watu..... brain Yako ni ndogo ndio maana ni rahisi kudanganywa na mganga na wewe unajaa.......unaichosha shingo kubeba mzigo usioutumia
Mimi huwa ukiniuliza ujinga nakujibu kijinga. Mimi sio Yesu kwamba unipige kofi nikugeuzie na shavu lingine. Ukinipiga kofi nakurudishia ngumi ya pua.
 
Anapofanya Mahubiri yake huwa anakufuata Chumbani Kwako na Kukushikia Panga au Jiwe la FATUMA Kukulazimisha uende Kanisani Kwake Ukaabudu au uwe Unamfuatilia na Kumsikiliza?

Hovyo kabisa.....!!
nashangaa kukuona kwenye huu uzi
 
Ni kijana mpya katika huduma ya uinjilishaji, ila amekosa adabu na nidhamu katika kuvaa yeye na waumini wake wamekosa hekima ya kujisitiri ili kulinda ushuhuda wao
 
Nimekuuliza swali logical kabisa,,hukuwa na haja ya kujibu shit.... Anyways ndio uwezo wako ulipoishia
Mimi huwa ukiniuliza ujinga nakujibu kijinga. Mimi sio Yesu kwamba unipige kofi nikugeuzie na shavu lingine. Ukinipiga kofi nakurudishia ngumi ya pua.
 
Nimekuuliza swali logical kabisa,,hukuwa na haja ya kujibu shit.... Anyways ndio uwezo wako ulipoishia
Ulisomea wapi kupima uwezo wangu? Ungekuwa una akili usingeleta ukosoaji wako wa kipuuzi kwa jambo ambalo halihitaji ubishi. Kwa mfano nikikuona wewe Joanah umechoka nikakuuliza ukanipa sababu zako haitakiwi nikuamini? Hizo akili zako kawashauri serikali na wapinzani kuhusu bandari wasiendelee kulumbana.
 
Huna skills wala arts ya kuzungumza na watu..... brain Yako ni ndogo ndio maana ni rahisi kudanganywa na mganga na wewe unajaa.......unaichosha shingo kubeba mzigo usioutumia

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.

Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma

Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?

Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo matapeli wa zimbabwe ?
Mimi simfahamu. Hebu funguka zaidi mkuu.
 
Back
Top Bottom