Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hii Dunia hii😭😭😭Sharti zuri sana hili. Ingekuwa na kwenye kusaka Utajiri tunapewa masharti mazuri kama haya, ningekuwa Bilionea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Dunia hii😭😭😭Sharti zuri sana hili. Ingekuwa na kwenye kusaka Utajiri tunapewa masharti mazuri kama haya, ningekuwa Bilionea.
Kamekaa kihuni huni hivi alafu kana haraka haraka hivi ...ni aina ya wale watu wenye mambo mengi......😁
Hakika
imani na wokovu si kwa kila mtu, Jifunze kusikiliza neno la Mungu na kulitafakali mambo ya kuchunguza watumishi utachelewa sana
Pia ukiona kutoa sadaka unaibiwa acha hamna anayekulazimisha
Most of you mnamuattack personally sijaona anayeattack mafundisho yake.
Tafuta mtumishi wako unayeona ni wa kweli sali toa sadaka yako ishi maisha yako. That all
Kaka nabii wa kweli ni yupi? Wewe ni critical thinker kweli? Mbona wapenda kuwapangia watu maisha yao?Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.
Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma
Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?
Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo matapeli wa zimbabwe ?
Picha yakeNani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.
Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma
Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?
Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo matapeli wa zimbabwe ?
Neno la Mungu la Mungu linasema "Angalia sana wewe udhaniaye umesimama usije anguka"
Ni Kama mwakasege hawana tofauti
WEW pia muhuni khaaa acheni kusema watu wa Mungu wew inakuhusu nn mzee wew mwenyew MCHAFU TU Mungu anajuaKweli, ana haraka Fulani hivi.
Umetumia kipimo gani kujua yuko juu kuliko tunavyomdhania ?Acheni dharau nyie watu mmesoma bibilia au mnaropoka.
Bibilia inasema enendeni mkawafanye mataifa wawe wanafunzi na mataifa hawapo morogoro tu nyie ni maa agent wa shetani pastor tony kapola ni mtumishi wa mungu lakini kama mna isha endeleeni kudiscus msiyo ya jua.
Lakini pia kama ulokole ungekuwa kuvaa suti ata wazinzi suti wana aa kama mlivyo mataifa nyie mnafanaya uzinzi uku mme vaa suti suti sio utakatifu wa mtu hata mara moja tena nawaonya mbele.
Mnaacha kutafuta Mungu mna discuss kuhusu wachungaji. Niseme tu hamna maarifa na Akili hata kidogo kwasababu nyie ndio kina miliam na haruni
Mtumishi wa mungu hadiscusiwi, Pastor Tony Kapola ni mtu wa Mungu tena alie juu sio kama muwazavyo.
Mkienda mbinguni kwa ku discuss watu hamtoboi acheni kufanya uzinzi, kwanza uasherati kwanza wizi, utapeli halafu then Mungu akiwambia discuss mtumishi furani then start.
Leo kajichanganya waumini wake wamemgeukia baada kuleta mambo ya mwamposa.Kweli, ana haraka Fulani hivi.
[emoji1]Kama wewe uliyemuona humwelewi je sisi ambao hata picha hatuna tutamuelewa?
Eti kutwa Yuko dodoma/dar?Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.
Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma
Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?
Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo matapeli wa zimbabwe ?
Kuuliza sio ujinga???Kizazi cha nyoka kinapingana na injili ya kristo. Haha haha haha hahah hahah hahah halafu wanajiona wanauliza maswali ya hekima kumbe ni upumbavu machoni kwa Mungu.
Hahaha haha haha haha haha