Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Duuuuh tunaomba picha maana wengine ndio tunamsikia leo
Screenshot_20240728_123241_Instagram.jpg
 
Mimi Naelewa kwamba madarasa tuliyokuwa tunajazana darasani ambayo hata Sasa Ni hivyo hivyo, Serikali huwa inagharamia Sana alafu mwisho wa siku huwa inaambulia kichwa kimoja au viwili tu, wengine wote wanabaki kuwa mtaji wa taifa alafu kile kichwa kimoja au viwili vinakuwa visimamizi vya mtaji au walaji wa mtaji.
Ahsante mheshimiwa mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom