Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 887
- 2,010
Duuuuh tunaomba picha maana wengine ndio tunamsikia leoSpiritual Father wa watu huyo...We haya....
Cc @Jembenijembe
Picha Video vipo Wapi?Je tunajifunza nini Vijana wa sasa.
Muhuni tu anawadangsnya wanawake na ma inti walio strandedHabari.
Siongei kwa ubaya ni nani anayemuelewa Pastor Tony kapola juu ya.
°Uvaaji wake
°mahubiri yake hasa Yale ya kusema anataka kufanya collaboration na diamond
°usela usela uhuni mwingi.
Je tunajifunza nini Vijana wa sasa.
Duuuuh tunaomba picha maana wengine ndio tunamsikia leo
Mdogo angu anampenda sana Tony sijui anawapa niniSpiritual Father wa watu huyo...We haya....
Cc @Jembenijembe
Kwahiyo Tony Kapola na Goodluck Gozbert wana usela? Au usela umebadilishwa maana siku hizi?Alianza vizuri ila usela mwingi utaondoa reputation yake.
Mwimbaji Goodluck gozbert na yeye alianza vizuri ila badae usela mwingi ukampoteza.
Kapola ajifunze kwa malegends kama Mwakasege
Hapo kwenye mavazi hapo 😆Habari.
Siongei kwa ubaya ni nani anayemuelewa Pastor Tony kapola juu ya.
°Uvaaji wake
°mahubiri yake hasa Yale ya kusema anataka kufanya collaboration na diamond
°usela usela uhuni mwingi.
Je tunajifunza nini Vijana wa sasa.
Unaonesha unaandika kwa ubaya na nongwa sana 😂Habari.
Siongei kwa ubaya ni nani anayemuelewa Pastor Tony kapola juu ya.
°Uvaaji wake
°mahubiri yake hasa Yale ya kusema anataka kufanya collaboration na diamond
°usela usela uhuni mwingi.
Je tunajifunza nini Vijana wa sasa.