Nani anapaswa kuwa na muhuri wa Serikali ya Kijiji kati ya Afisa Mtendaji na Mwenyekiti wa Kijiji?

Nani anapaswa kuwa na muhuri wa Serikali ya Kijiji kati ya Afisa Mtendaji na Mwenyekiti wa Kijiji?

Naomba kufahamishwa kwa uchache tu.

Je, ni nani anapaswa kuwa na muhuri wa Serikali ya kijiji kati ya Afisa Mtendaji wa Kijiji na Mwenyekiti wa Kijiji? Muhuri huu ni tofauti na Mihuri ya Afisa Mtendaji au ule wa Mwenyekiti.

Kuna Mihuri special huwa inaitwa Mihuri ya Serikali ya Kijiji, ambayo huwa inakuwa na namba ya Kijiji (namba ya usajili wa Kijiji).

Majibu tafadhari 🙏🏾.
Kwanza hujui Kiswahili; ni tafadhali. Pili kikatiba ni mwenyekiti wa Kijiji na anamiliki kijiji kama Mkuu wa Mkoa anavyomiliki mkoa na Rais kumiliki nchi ya Tanzania.
 
Naomba kufahamishwa kwa uchache tu.

Je, ni nani anapaswa kuwa na muhuri wa Serikali ya kijiji kati ya Afisa Mtendaji wa Kijiji na Mwenyekiti wa Kijiji? Muhuri huu ni tofauti na Mihuri ya Afisa Mtendaji au ule wa Mwenyekiti.

Kuna Mihuri special huwa inaitwa Mihuri ya Serikali ya Kijiji, ambayo huwa inakuwa na namba ya Kijiji (namba ya usajili wa Kijiji).

Majibu tafadhari 🙏🏾.


Huyo afisa mtendaji huwa "anatenda" kitu gani??, naye huyo mwenyekiti huwa anakalia kiti cha madaraka gani??--- kwanza tuanzie hapo.
 
View attachment 2511126
Huu ni muhuri wa afisa mtendaji, umejieleza vyema kabisa ni mtendaji na kijiji chake na wilaya yake...

View attachment 2511127
Huu ni muhuri wa mwenyekiti wa mtaa/kijiji ambao umejieleza vyema kabisa ni muhuri wa mwenyekiti wa mtaa/kijiji fulani katika wilaya fulani


Shida ni kuona wenyeviti ni kama wapo tu hawana maana yoyote kisa sio waajiriqa wa kudumu kwa kuwa nafasi zao zina tokana na nafasi za kisiasa

Elimu ndogo sana kwa wadau, sababu Kila mtu ana muhuri wake hivyo kutaka kuchukua muhuri wa mwingine ni kuonesha una tatizo sehemu
Jiandae mwaka huu na wewe uapishwe na SSH kazi iendelee
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI CCM
Bwana Chawa Chila hebu tuelimishe..ni ktk mazingira gani Mihuri hii Inatumika ...wa Mwenyekiti na Mtenfaji?!
 
Haya maupumbavu aliyaleta magufuri lengo likiwa ni kuwakomoa wenyeviti wa chadema maana ukweli n kwamba watendaji ni makada wa ccm tupu. Kama mwenyekti hapaswi kuwa na muhuri uchaguzi wa serikali za mitaa huwa tunafanya wanini kwa malengo gani? Taifa hili lina maujinga ujinga mengi na majinga mengi sn yaliyoko ccm yenyewe yanalinda utawala tu si watanzania..
 
Mwenye mamlaka na serikali ya kijiji ni mwenyekiti wa kijiji

Hivyo yeye ana takiwa kuwa na muhuri huo, japo siku hizi wana pewa kwa mashart sababu wana fanya mambo tofauti kupelekea migogoro kwa maslahi binafsi

Mwenyekiti wa kijiji ni Boss katika kijiji, ni kiongozi wa wananchi

Ana wawakilisha wananchi hivyo ndio mwenye serikali yake

Ni kama diwani katika kata ambaye anaweza muwajibisha mtumishi wa kuajiriwa

Na baraza la madiwani wana weza chukua hatua stahiki dhidi ya watumishi wa kuajiriwa

Hivyo kuwepo kwa hawa watu wa kuchaguliwa na wananchi ni kwa makusudi mazima ili waweze kuisimamia serikali kama walivyo wale wabunge pale bungeni wanavyo isimamia serikali na ndio wana wawakilisha wananchi

Serikali ni ya wananchi kumbuka hilo kwa nazani katiba 1977 imenena vyema
Wewe ndo hujui kabisa.
 
Mwenye mamlaka na serikali ya kijiji ni mwenyekiti wa kijiji

Hivyo yeye ana takiwa kuwa na muhuri huo, japo siku hizi wana pewa kwa mashart sababu wana fanya mambo tofauti kupelekea migogoro kwa maslahi binafsi

Mwenyekiti wa kijiji ni Boss katika kijiji, ni kiongozi wa wananchi

Ana wawakilisha wananchi hivyo ndio mwenye serikali yake

Ni kama diwani katika kata ambaye anaweza muwajibisha mtumishi wa kuajiriwa

Na baraza la madiwani wana weza chukua hatua stahiki dhidi ya watumishi wa kuajiriwa

Hivyo kuwepo kwa hawa watu wa kuchaguliwa na wananchi ni kwa makusudi mazima ili waweze kuisimamia serikali kama walivyo wale wabunge pale bungeni wanavyo isimamia serikali na ndio wana wawakilisha wananchi

Serikali ni ya wananchi kumbuka hilo kwa nazani katiba 1977 imenena vyema
... hoja ya jamaa ni sawa na kuuliza DC na DED nani mmiliki wa mihuri? DED ndiye mtendaji; DC ni political figure tu yule. Au Waziri vs Katibu Mkuu; Katibu MKuu ndiye mtendaji wa Wizara.
 
Siwezi bishana na mtu mwenye uelewa mkubwa...

Level zangu ni kwa wenye uelewa mdogo, wanao tambua mamlaka za serikali za mitaa kwa sheria zake

Wanao tambua majukumu ya kila mmoja katika kijiji

Pia wanao fahamu agizo la waziri wa tamisemi simbachawene kipindi hicho kwanini alilitengua? Sababu alikuwa kinyume na sheria, Ali kosa nguvu kisheria kufanya hivyo

Kuwa mtumishi wa umma wewe mtendaji hakukupi mamlaka ya kumiliki muhuri wa shule ya msingi Au kituo cha afya

Nipo hapa kuwa eleza wenye uelewa mdogo sipo hapa kubishana ewe mwenye uelewa mkubwa ambaye unaelewa ni vyema ukabakia hivyo hivyo na huo uelewa

Ila nakushauri, pata muda wa kujielimisha kuhusu serikali za mitaa, ili eneo usije kwa kukurupuka siku nyingine wakati hakuna unacho kifahamu
Wewe ni mtu wa chama . Mimi ni mwajiriwa wa serikali wa halmashauri. Nakupatia taratibu jinsi kazi zinavyofanyika. Kama kazi za kijijini especially zinazohitaji mhuri zitafanywa na mwenyekiti hakuna haja serikali kuajiri mtendaji wa kijiji
 
Mwenyekiti hapaswi kuwa na muhuri. Mwenye ofisi ni Mtendaji wa kijiji na ndio maana yeye ndio mwenyekiti waa ulinzi na usalama wa kijiji. Yeye ndio ana migambo wa kijiji, mwenyekiti yeye wake ni wananchi lkn dola iko chini ya Mtendaji
 
Wote wana tambulika na serikali na wana madaraka yanayo tambulika na wamepewa hiyo mihuri

Mwenyekiti wa kijiji ana wake
Mtendaji wa kijiji ana wake pia

Hivyo wote wana tambulika na wana fanya kazi ktk eneo Au mamlaka inayo tambulika chini ya sheria za serikali za mitaa na nchi kwa ujumla wake
Bro usiuziwe kiwanja ukapigiwa muhuri wa mtendaji wa kijiji, wew jua umepigwa hapo mkuu...

Muhuri wenye mamlaka ni wa serikali sio wa mwanasiasa. Muhuri wa serikali ni wa VEO huu wa mwana siasa hauna nguvu ki mamlaka...

Muhuri unapaswa kuwa wa ofisi na mtendaji na msimamizo wa shughuli zote za ofisi ni VEO
 
Acha kudanganya umma. Anakuaje Rais wa kijiji wakati hana mamlaka ya kumuwajibisha VEO wake. Dola iko kwa VEO
Huyo VEO na hata Rais hawawezi kumuwajibisha Mwenyekiti wa kijiji. Kijiji ni serikali kamili, yenye mammalaka na ardhi.
 
Bwana Chawa Chila hebu tuelimishe..ni ktk mazingira gani Mihuri hii Inatumika ...wa Mwenyekiti na Mtenfaji?!
Hutumika tu baaada ya mkutano mkuu kuazimia jambo, au serikali ya kijiji kuazimia jambo,,,,,kifupi hutumika kwenye mihutasali halali ambayo veo na m/kiti wameisain, hapa ndipo muhuri w serikali ya kijiji hutumika tu
 
Mtendaji ndo official anaetambuliwa na serikali mkuu hawa wenyeviti wahuni wahuni tu
Wenyekiti ni wazawa, unoko wao una kipimo, hawa watendaji ni wanoko kuliko kawaida.
Huwa wanajiona miungu ya vijiji na kata.
Hopeless!
 
Back
Top Bottom