View attachment 2511126
Huu ni muhuri wa afisa mtendaji, umejieleza vyema kabisa ni mtendaji na kijiji chake na wilaya yake...
View attachment 2511127
Huu ni muhuri wa mwenyekiti wa mtaa/kijiji ambao umejieleza vyema kabisa ni muhuri wa mwenyekiti wa mtaa/kijiji fulani katika wilaya fulani
Shida ni kuona wenyeviti ni kama wapo tu hawana maana yoyote kisa sio waajiriqa wa kudumu kwa kuwa nafasi zao zina tokana na nafasi za kisiasa
Elimu ndogo sana kwa wadau, sababu Kila mtu ana muhuri wake hivyo kutaka kuchukua muhuri wa mwingine ni kuonesha una tatizo sehemu