Nani anasimamia Yanga App? Tuanaibiwa

Nani anasimamia Yanga App? Tuanaibiwa

mwambojoke

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
1,084
Reaction score
647
Kwanza Kabisa mimi ni mshabiki wa Yanga, lakini kuna jambo moja linaweza kuonekana lipo vizuri lakini linakwaza. Nimeshalipia App ya Yanga Mara 3 lakin sipati access ya kusoma habari za yanga.

Kwa maana ya kwamba ukilipia bado ukiingia kwenye app haitambui malipo yako na bado itakudai ulipie tena. Nishajaribu zaidi ya Mara tatu bila mafanikio.

Nikasema niende kuangalia Reviews Google Play Store. Nimesikitishwa kuona kumbe ni kitu ambacho Kinalalamikiwa na watumiaje wengine wengi tu. Nikajuliza, hivi ni nani anasimamia hii YANGA APP? Je hasomii hizi Reviews?

Viongozi hebu shugulikieni swala la yanga App na muangalie vitu vifuatavyo.

1) Kwanini Ukilipia bado huwezi kupata habari unaambiwa usubscribe tena.
2) Google play store Reviews pia ziko wazi kila mtu analalamika kitu hichohicho.
3) Hakuna support contacts/Mawasiliano kwenye app kama mtu anapata changamoto yoyote airipoti huko
4) Kama kuna shida basi iwe free kwa sasa kuliko kuchukue hela ya mtu nila service kupata, binafsi nawadai 6k yangu.

Reviews za Playstore ni kama hizi hapa.

1691480523185.png

1691481098377.png


1691481130654.png
 
Kwanza Kabisa mimi ni mshabiki wa Yanga, lakini kuna jambo moja linaweza kuonekana lipo vizuri lakini linakwaza. Nimeshalipia App ya Yanga Mara 3 lakin sipati access ya kusoma habari za yanga.

Kwa maana ya kwamba ukilipia bado ukiingia kwenye app haitambui malipo yako na bado itakudai ulipie tena. Nishajaribu zaidi ya Mara tatu bila mafanikio.

Nikasema niende kuangalia Reviews Google Play Store. Nimesikitishwa kuona kumbe ni kitu ambacho Kinalalamikiwa na watumiaje wengine wengi tu. Nikajuliza, hivi ni nani anasimamia hii YANGA APP? Je hasomii hizi Reviews?

Viongozi hebu shugulikieni swala la yanga App na muangalie vitu vifuatavyo.

1) Kwanini Ukilipia bado huwezi kupata habari unaambiwa usubscribe tena.
2) Google play store Reviews pia ziko wazi kila mtu analalamika kitu hichohicho.
3) Hakuna support contacts/Mawasiliano kwenye app kama mtu anapata changamoto yoyote airipoti huko
4) Kama kuna shida basi iwe free kwa sasa kuliko kuchukue hela ya mtu nila service kupata, binafsi nawadai 6k yangu.

Reviews za Playstore ni kama hizi hapa.

View attachment 2711729
View attachment 2711734

View attachment 2711735
Mimi mwenyewe Yanga, ila ukweli hii app imewashinda kabisa. Kuna watu wameipakua na bado haifunguki. Yaani malalamiko ni mengi ila uongozi upo kimya. Kuna muda nahisi sio app ya timu kuna mtu anajitolea kuiendesha.
 
Kwanza Kabisa mimi ni mshabiki wa Yanga, lakini kuna jambo moja linaweza kuonekana lipo vizuri lakini linakwaza. Nimeshalipia App ya Yanga Mara 3 lakin sipati access ya kusoma habari za yanga.

Kwa maana ya kwamba ukilipia bado ukiingia kwenye app haitambui malipo yako na bado itakudai ulipie tena. Nishajaribu zaidi ya Mara tatu bila mafanikio.

Nikasema niende kuangalia Reviews Google Play Store. Nimesikitishwa kuona kumbe ni kitu ambacho Kinalalamikiwa na watumiaje wengine wengi tu. Nikajuliza, hivi ni nani anasimamia hii YANGA APP? Je hasomii hizi Reviews?

Viongozi hebu shugulikieni swala la yanga App na muangalie vitu vifuatavyo.

1) Kwanini Ukilipia bado huwezi kupata habari unaambiwa usubscribe tena.
2) Google play store Reviews pia ziko wazi kila mtu analalamika kitu hichohicho.
3) Hakuna support contacts/Mawasiliano kwenye app kama mtu anapata changamoto yoyote airipoti huko
4) Kama kuna shida basi iwe free kwa sasa kuliko kuchukue hela ya mtu nila service kupata, binafsi nawadai 6k yangu.

Reviews za Playstore ni kama hizi hapa.

View attachment 2711729
View attachment 2711734

View attachment 2711735
Mpigie priva

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Kwanza Kabisa mimi ni mshabiki wa Yanga, lakini kuna jambo moja linaweza kuonekana lipo vizuri lakini linakwaza. Nimeshalipia App ya Yanga Mara 3 lakin sipati access ya kusoma habari za yanga.

Kwa maana ya kwamba ukilipia bado ukiingia kwenye app haitambui malipo yako na bado itakudai ulipie tena. Nishajaribu zaidi ya Mara tatu bila mafanikio.

Nikasema niende kuangalia Reviews Google Play Store. Nimesikitishwa kuona kumbe ni kitu ambacho Kinalalamikiwa na watumiaje wengine wengi tu. Nikajuliza, hivi ni nani anasimamia hii YANGA APP? Je hasomii hizi Reviews?

Viongozi hebu shugulikieni swala la yanga App na muangalie vitu vifuatavyo.

1) Kwanini Ukilipia bado huwezi kupata habari unaambiwa usubscribe tena.
2) Google play store Reviews pia ziko wazi kila mtu analalamika kitu hichohicho.
3) Hakuna support contacts/Mawasiliano kwenye app kama mtu anapata changamoto yoyote airipoti huko
4) Kama kuna shida basi iwe free kwa sasa kuliko kuchukue hela ya mtu nila service kupata, binafsi nawadai 6k yangu.

Reviews za Playstore ni kama hizi hapa.

View attachment 2711729
View attachment 2711734

View attachment 2711735
So ndiyo maana mnaitwa MAZUZU

JEZI MOJA SH 35,000/=MNAAMBULIA 1300/=

Mnahitaji app ya Nini Sasa wakati nyie Ni mazuzu.

Acha mpigwe mpaka akili zikae sawa.

Utopolo kufanya vizuri kunaficha Mambo mengi Sana. Lkn hakuna klabu inaongozwa hovyo na kihuni km Yanga.
 
Kweli mjini akili.
Yaani unalipia ili upate taarifa za timu daaaaahh.
Hata ingekuwa sh. 20 kwa mwaka siwezi kufanya ujinga huo.
 
msimamiaji app Kazi yake kubwa ni kuipiga madongo Simba, kwa kifupi hivi vilabu vyote Simba na yanga vimejaa wezi Tena majizi yaliyokubuhu.
Lakini watanzania tumejaa uwoga na ndio maana swala la katiba mpya tunasubiri hisani wakati ni haki yetu na ukianza kuhoji unaonekana wa ajabu/
Andika barua tume ya ushindani ukiweka na vidhibiti vyako ikithibitika wanakulipa.
 
Back
Top Bottom