Nani anastahili kuwa Rais wa EAC endapo tutaungana na kuunda nchi moja?

Mie naona huyo wa somalia anatufaa
 
Hilo halitowezekana kwa miaka ya hivi karibuni, Kenya na Rwanda ni wabinafsi mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…