Nani anastahili tuzo ya Nobel katika marais 6 tuliowahi kuwa nao Tanzania?

Mbetewa,
Kuna haki za binadamu kisiasa, haki za binadamu kijamii, haki za binadamu kiuchumi, ni kundi lipi unaongelea ili tupate maarifa mkuu.
Magufuli alipigana dhidi ya kero kwa wananchi, akawanyima "haki za binadamu" wale waliokuwa wanaishi kwa kutumia kero hizo!
 
Tuzo za za Nobel ziko nyingi, wewe unaongelea Tuzo gani?
Ya Amani?
Ya Fasihi?
Ya Biolojia/madawa?
Ya Physics ?
Ya Kemia?
Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Mkapa alistahili(RIP)
Tuzo za za Nobel ziko nyingi, wewe unaongelea Tuzo gani?
Ya Amani?
Ya Fasihi?
Ya Biolojia/madawa?
Ya Physics ?
Ya Kemia?
Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Tuwe wavumilivu, mama atapewa hiyo tuzo.
Tuzo za za Nobel ziko nyingi, wewe unaongelea Tuzo gani?
Ya Amani?
Ya Fasihi?
Ya Biolojia/madawa?
Ya Physics ?
Ya Kemia?
Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Big Ben aliokoa taulo la Tz kudondoka mbele ya wakwe (Breton woods) kwa kulipa madeni na kurejesha uhusiano.
Tuzo za za Nobel ziko nyingi, wewe unaongelea Tuzo gani?
Ya Amani?
Ya Fasihi?
Ya Biolojia/madawa?
Ya Physics ?
Ya Kemia?
Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Tuzo za za Nobel ziko nyingi, wewe unaongelea Tuzo gani?
Ya Amani?
Ya Fasihi?
Ya Biolojia/madawa?
Ya Physics ?
Ya Kemia?
Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Benjamin William Mkapa
Tuzo za za Nobel ziko nyingi, wewe unaongelea Tuzo gani?
Ya Amani?
Ya Fasihi?
Ya Biolojia/madawa?
Ya Physics ?
Ya Kemia?
Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Mh Kikwete hii tuzo anachukua mwaka 2024 kila kitu kipo kwenye makaratasi

Secret zone
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Kikwete alikosa ya MO atapata ya NOBEL?? Magufuli angeendela kuishi hadi kumaliza kipindi chake, alikuwa na nafasi kubwa sana kwenye tuzo ya MO.
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Ally Hassan Mwinyi
Tuzo za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi
Umenikumbusha wakati anakabidhiwa nchi na mzee ruksa,Hali ilikuwa mbaya sana.lakini Big Beni akafanya Mambo makubwa
1.kuanzisha TRA
2.shetia ya TISS 1996
3.ete,etc
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
Mama Samia Suluhu Hassan 100%
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
Ali Hassan Mwinyi Baba wa demokrasia. Aliondoa mifumo ya kijamaa na kuweka hii ya kisasa..
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi
Kati yao anasitahili
Mwinyi
Kikwete
SSH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…