Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?
1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
always nyerere ni best, akifuatia na fulan simtaji ili kuondoa kelele za wale majamaa wa upande ule, na kuna vikundi vyakipuuzi hupenda kumbeza nyerer kuwa alifanya mambo ya hovyo ktk sakata la.......,
Hawa watu wanasahau kuwa nyerer alipambana sana kuhakikisha hii nchi inafika ilpofika leo, wakat huo mababa na mababu wa hawa walalamikaji, walikuwa bize maporini wakikimbizana nusu uchi na wanyamapori, sasa matoto yao leo hii yanajiona yamestaharabika wala hayana shukrani kwa wapigania uhuru, yanatusi na kushusha samani ya uhuru na amani hii.