Nani anastahili Tuzo za Mhamasishaji Bora Ligi Kuu?

Nani anastahili Tuzo za Mhamasishaji Bora Ligi Kuu?

Hawajamtendea haki nugaz kwa kutum nominated ila pamoja na yoote Mimi simba ila domo LA manara linastahili hio sifa.
Sema bwire anahitaji awepo simba amfunge bakuli manara
simba ishatoka huko kwa kufungana midomo wala kutegemea midomo
 
Tifua Tifua bhana full kichefu chefu sasa wanasema yanga uto Ndio waliingiza mashabik Weng tena kwa takwimu zao sasa kwa nn wasimpe nugaz ingawa siwapend uto ila nugaz alistahili Kama huyo hayupo wampe tu bongo zozo maana hapo wanataka wampe manara kijanja
 
Tifua Tifua bhana full kichefu chefu sasa wanasema yanga uto Ndio waliingiza mashabik Weng tena kwa takwimu zao sasa kwa nn wasimpe nugaz ingawa siwapend uto ila nugaz alistahili Kama huyo hayupo wampe tu bongo zozo maana hapo wanataka wampe manara kijanja
Mfano tuzo ya beki bora shabalala na kapombe wapo Sijui mwingine wa tatu na onyango hayupo kabisa
 
Hawajamtendea haki nugaz kwa kutum nominated ila pamoja na yoote Mimi simba ila domo LA manara linastahili hio sifa.
Sema bwire anahitaji awepo simba amfunge bakuli manara
Lakini mkuu Nugaz kuachwa Sijui wametumia kigezo , Mimi ni Simba Ila kwa ligi kuu kwenye uhamasishaji wanajulikana watu watatu tu bila uhasama Minara ,Nugaz na Masau bwire .

Kwanza kwa ligi kuu wamehamasisha karibia ligi kuu mechi zote ,Manara Simba amehasisha .

Kwenye hao watatu vigezo vitumike either watumie mashabiki kupiga kura au vingine ila waangalie vigezo but bongo zozo ni mechi tu za Taifa stars na ukiangalia mechi ngapi taifa stars zimecheza?
 
kwangu mimi hakuna hata mmoja kama watapimwa kwa wingi wa mashabiki NUNGAZ ndo aletwe
 
Lakini mkuu Nugaz kuachwa Sijui wametumia kigezo , Mimi ni Simba Ila kwa ligi kuu kwenye uhamasishaji wanajulikana watu watatu tu bila uhasama Minara ,Nugaz na Masau bwire .

Kwanza kwa ligi kuu wamehamasisha karibia ligi kuu mechi zote ,Manara Simba amehasisha .

Kwenye hao watatu vigezo vitumike either watumie mashabiki kupiga kura au vingine ila waangalie vigezo but bongo zozo ni mechi tu za Taifa stars na ukiangalia mechi ngapi taifa stars zimecheza?
Yaan mpaka hapo wameshaishushia heshima hio Tuzo .
 
Tuzo niza Tff sio Ligi kuu kama msimu uliopita ambapo voda ndo walikua wanazihost
Kama tuzo ni za tff na sio za ligi kuu kwanini wasinge husisha ligi zingine, kama ligi daraja la kwanza, la pili na la tatu ili kutafuta waliofanya vizuri katika soka kwa mwaka husika?

Hizo tuzo ni za ligi kuu, tff wanazingua tu wanataka wampe bogo zozote ndo maana wamemuingiza kinyemela kwenye tuzo za ligi kuu. Ila wananafasi ya kutoa tuzo ya heshima kwake kwa kuthamini mchango wake sio mpaka wamshindanishe na wengine
 
Lakini mkuu Nugaz kuachwa Sijui wametumia kigezo , Mimi ni Simba Ila kwa ligi kuu kwenye uhamasishaji wanajulikana watu watatu tu bila uhasama Minara ,Nugaz na Masau bwire .

Kwanza kwa ligi kuu wamehamasisha karibia ligi kuu mechi zote ,Manara Simba amehasisha .

Kwenye hao watatu vigezo vitumike either watumie mashabiki kupiga kura au vingine ila waangalie vigezo but bongo zozo ni mechi tu za Taifa stars na ukiangalia mechi ngapi taifa stars zimecheza?
Tff ya karia na bodi ya ligi, tumuachie Mungu tu
 
TFF wameandaa tuzo na ambao wanagombea tuzo ya mhamasishaji bora wapo watatu.

1. Masau Bwire
2 .Haji Manara
3. Bongozozo

Mnaona nani anastahili hapo?
Mhamasishaji bora Ni yule aliyewezesha mashabiki wengi kuingia kiwanjani na yakapatikana mapato mengi. Kwangu Mimi Antonio Nugaz.
 
Back
Top Bottom