Nani anauza gari kati ya TRA na Mjapan?

Nani anauza gari kati ya TRA na Mjapan?

Trump awakatae na watu weusi maana akili zzetu zmejaa tamaa na hazifikirii..hiv ukiruhusu gar zikiwa nying..huon kama pesa ya kodi itaongezeka..watumia wese watajaa..road license..traffic..nk
Point muhimu sana, (ukimuondoa Trump).

Gari ni usafiri wa vitu na watu. Malighafi na mazao. Wagonjwa na walemavu. Wazee na wenye mimba.

Shughuri zote zinategemea usafiri. Serikali bila usafiri haitafika popote.

Sasa ukiweka hizi kodi sisizo na msingi wowote wa kiuchumi unamkomoa nani? Ni kuwapa mwanya wapigaji wafanye yao.

Wapige marufuku kabisa kuagiza gari. Ieleweke hakuna usafiri wowote unaoruhusiwa Tanzania. Ni kwa ajiri ya serikali tu na ndugu zao.

Bodaboda zimejaa ajali kibao. Wahuni wanaendesha watakavyo.
 
TRA waangalie upya hii changamoto, wakipunguza kodi watu wakiwa wengi wanaomiliki magari na kodi itaongezeka

That's common sense, simple economics. Yaani mfano unakazana kuchukua kodi ya millioni kumi kwa watu elfu tano.

Ungeweka mazingira ungepata kodi ya millioni tatu kwa watu millioni kumi. Ndani mwaka mmoja.

Direct and indirect benefits, Nchi itachangamka sana, kodi itaongezeka sana, ajira zitaongezeka sana, wagonjwa watawahishwa hospitalini, ajali za barabarani zitapungua. Vijiji vitapumua kukua, kujitegemea. Viwanda vitatengezwa, mazao kuuzwa kwa masoko ya Nje. Sababu wanaweza kusafirisha mazao yao kwa haraka, popote.

Biashara zao zitashamiri. Kwahiyo kuongea mapato cha serikali. Uchumi kukua.

Tuna wizara ya Fedha na mipango. Ni bora ifutwe kabisa, kuna anayejua basics za uchumi ( demand and supply). How economies grows.

Kodi, mazingira, kasi ya kupata vibali, kutokuwepo kwa rushwa, kuheshimiwa kwa private property, haki ya mtu binafsi ni misingi mikubwa.
 
Kodi tunataka kulipa ila ni kandamizi
Nafikiri ni common sense, hesabu, kuna unasafiri kama wa aina tisa/kumi.

Miguu, baiskeli, bajaji, bodaboda, gari, treni, ndege, mitumbwi, ships.

Unalima (labda nyanya, matunda) ili kufikia soko unahitaji usafiri wa haraka. Ni usafiri gani utakusaidia kuchukua mazao mengi yako yasiozea shambani? Hadi airport, sokoni, treni?

Usafiri ni kama damu kwenye mishipa ya binadamu. Inapita kwenye moyo, ubongo, uzalishaliji, mikono, miguu, macho kila kitu.

Sasa kama unapunguza damu kufika moyoni, kwenye ubongo utamuua mgonjwa.
 
Hakuna kitu kinachangia pato la taifa kama sekta ya usafiri/uchukuzi kuanzia maeneo ya ushuru, kodi mbalimbali pia ndiyo sekta kodi zake zinafnaywa kama kodi za pombe maana watu watanunua tu, gari zinaleta vipato vikubwa sana kwenye uchumi wa sasa, taifa linalotegemea uchumi kukua na kwenda mbali basi ni lazima kuwekeze sana nguvu na jitihada za zaidi kwenye usafiri/uchukuzi, magari zina interdependent na other commodities kama mafuta petrol diesel, pia bila vyombo hivi ushuru sehemu mbalimbali na mamlaka zake kama Sumatra nk,


Sasa haingii akilini kuweka kodi juu kwenye importation unless otherwise tungekua na kiwanda chetu nchini cha kutengeza magari ukiacha kile kinachokufa magari ya nyumbu sijui
 
Nafikiri ni common sense, hesabu, kuna unasafiri kama wa aina tisa/kumi.

Miguu, baiskeli, bajaji, bodaboda, gari, treni, ndege, mitumbwi, ships.

Unalima (labda nyanya, matunda) ili kufikia soko unahitaji usafiri wa haraka. Ni usafiri gani utakusaidia kuchukua mazao mengi yako yasiozea shambani? Hadi airport, sokoni, treni?

Usafiri ni kama damu kwenye mishipa ya binadamu. Inapita kwenye moyo, ubongo, uzalishaliji, mikono, miguu, macho kila kitu.

Sasa kama unapunguza damu kufika moyoni, kwenye ubongo utamuua mgonjwa.
Hivi hizi wizara huwa hawafanyi tasmini kabla ya kuruhusu mamlaka zilizo chini yao kupitisha kodi mpya au viwango vipya vya tozo
 
Hivi hizi wizara huwa hawafanyi tasmini kabla ya kuruhusu mamlaka zilizo chini yao kupitisha kodi mpya au viwango vipya vya tozo
Nadhani hawa watu wanaopanga hizi kodi hua hawaishi kwny haya mazingira yetu halisi mkuu.

Ni kama vile wao ni Aliens hivi.
 
Sasa mamlaka husika ndio zimepandisha kodi zaidi mkuu.
Mamlaka hizi boss wao ni nanikama sio wizara, lakini mbona ni kama wizara zinapangiwa utaratibu na mamlaka hata kama zinajiendesha ni lazima kupewa muongozo na wizara husika
 
Nadhani hawa watu wanaopanga hizi kodi hua hawaishi kwny haya mazingira yetu halisi mkuu.

Ni kama vile wao ni Aliens hivi.
Wanaishi na wanajua hali halisi ya maisha yetu sema waba vipato tofauti na raia wa kawaida je mwenye shibe tangu lini amjue nwenye njaa
 
Mamlaka hizi boss wao ni nanikama sio wizara, lakini mbona ni kama wizara zinapangiwa utaratibu na mamlaka hata kama zinajiendesha ni lazima kupewa muongozo na wizara husika
Mkuu nadhani Targets walizowekewa zimekua kubwa sana imebidi nao wakaze tu kama vile hali halisi hawaioni huku chini.
 
Hivi hizi wizara huwa hawafanyi tasmini kabla ya kuruhusu mamlaka zilizo chini yao kupitisha kodi mpya au viwango vipya vya tozo
Wizara zipo kwa kazi gani boss?

Sio kusimamia mamlaka zote chini yake?

Sio kutoa ushauri, maelekezo, miongozo, kanuni, maadili, masharti, sheria na kuzisimamia?
 
That's common sense, simple economics. Yaani mfano unakazana kuchukua kodi ya millioni kumi kwa watu elfu tano.

Ungeweka mazingira ungepata kodi ya millioni tatu kwa watu millioni kumi. Ndani mwaka mmoja.

Direct and indirect benefits, Nchi itachangamka sana, kodi itaongezeka sana, ajira zitaongezeka sana, wagonjwa watawahishwa hospitalini, ajali za barabarani zitapungua. Vijiji vitapumua kukua, kujitegemea. Viwanda vitatengezwa, mazao kuuzwa kwa masoko ya Nje. Sababu wanaweza kusafirisha mazao yao kwa haraka, popote.

Biashara zao zitashamiri. Kwahiyo kuongea mapato cha serikali. Uchumi kukua.

Tuna wizara ya Fedha na mipango. Ni bora ifutwe kabisa, kuna anayejua basics za uchumi ( demand and supply). How economies grows.

Kodi, mazingira, kasi ya kupata vibali, kutokuwepo kwa rushwa, kuheshimiwa kwa private property, haki ya mtu binafsi ni misingi mikubwa.
Unadhani serikali haitaki pesa?

Wagonjwa watawaishwa hospitalini kwa barabara zipi kama kila mtu ana gari?
Japan yenyewe nasikia pamoja ya kuwa magari ni cheap ila kuna sheria ili umiliki gari. Wengi wanatumia public transport.

Nchi lazima iweke control ya importation ya magari vesus miundombinu iliyopo. Hapo dar na mibarabara kila kona ila foleni just imagine mikoani kusipo na miundombinu kila mtu akawa na ist.
 
Unadhani serikali haitaki pesa?

Wagonjwa watawaishwa hospitalini kwa barabara zipi kama kila mtu ana gari?
Japan yenyewe nasikia pamoja ya kuwa magari ni cheap ila kuna sheria ili umiliki gari. Wengi wanatumia public transport.

Nchi lazima iweke control ya importation ya magari vesus miundombinu iliyopo. Hapo dar na mibarabara kila kona ila foleni just imagine mikoani kusipo na miundombinu kila mtu akawa na ist.
Uko sahihi lakini basi jivi vigari vya kawaida ndiyo wangeweka kodi zake kuwa juu kidogo, halafu hizi gari za middle class wange maintain kodi
 
Back
Top Bottom