Nani anawalipa Influencers kwenye matukio ya Kiserikali

Nani anawalipa Influencers kwenye matukio ya Kiserikali

OLS

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
426
Reaction score
685
Kwa sasa naona tumekumbwa na wimbi kubwa la Influencers kutumika katika masuala ya kiserikali. Mathalani hivi karibuni, ndugu Mwijaku alikuwa na deal ya utalii na kukawa na shida ya nani anamlipa, serikali kuitia bodi ya utalii au namna gani.

Hata hivyo, hii sio tukio la kwanza watu wengi mainfluence wamekuwa wakitumika kwenye kuzizungumzia ajenda mbalimbali za serikali mbali na uwepo wa wataalamu wa mawasiliano na idara ya habari maelezo ambayo wana nafasi hiyo ya kuwasiliana na umma.

Tumeona matumizi ya influencers kwenye DPW nk
 
Sasa kama hamuendi kwenye 'mikutano/warsha kwa hiyari na kuwasikiliza hao wenye 'taaluma' za mawasiliano na habari halafu mnawasikiliza Wakina 'Mwijaku' huko tiktokuni bampa to bampa ulitaka wasijiongeze?. Kwenye TV kwenyewe mnaangalia Wakina Sultani na Eturglu bei Sijui badala ya kuweka Chanel za 'wataalam wa mawasiliano na habari.

Huwezi kuwavua samaki nchi kavu jomba[emoji3]
 
Back
Top Bottom