Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,553
Kuna mambo ya msingi kwa sasa..
Budget ya taifa ipo mezanii..
Haya yako mpelekee spika huko aliko
Wanabodi,
Nimekuwa nikijiuliza sana swali hili kila ninaposikia na kuisoma ripoti ya CAG. Mashirika na Taasisi zote za serikali hukaguliwa ila sioni maelezo ya kina kuhusu Ukaguzi unaofanywa katika Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Kimantiki, CAG hawezi kujikagua, anapaswa kukaguliwa.
Wataalam wa hesabu, naomba kufahamu zaidi katika jambo hili ili tupate mwanga mpana wa dhana ya uwajibikaji. Asante.
Nelson
SUA- Morogoro
Sent using Jamii Forums mobile app
Kojoa UlaleWadada wa lumumba mnawashwa sana,spika wenu katumia mabillioni kupandisha cd4 zake,huku policeccm wamefisadi 16bn uniform feki plus billioni zingine 19.
Wapi kangi lugola na siro yani ccm bila ufisadi wanakufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Hoja Yangu Haingalii Kwamba Amepewa Kiasi Gani Ninachotaka Kujua Kama Mwananchi Wa Kawaida Ni Matumizi Sahihi Ya Umma Ndani Ya Ofisi Yake Basi au Kaka Kwani Hata Ww hautaki Kujua Matumizi Yanavyotumika Ndani Ya Ofisi Hii Ya CAG?Kwa kukusaidi budget waliopatiwa ilikuwa ndogo kuliko waliomba na hivyo kupelekea ukaguzi kufanyika katika taasisi chache. Kwa maana hiyo unaweza ukaenda kuwakagua na ukakuta bado wamabakiza hata hicho kidogo walichopewa.
Chamsinga omba kwa mwaka unaokuja wa fedha wapewe nyingi ili waweze kukagua sehemu nyngi zaidi kama si zote.
Emu pitia kidogo ripoti uone mavitu ya Muhimbili, na ndo maana sasa naelewa kwa nini wale wa ndiyo mzee walikuwa wanatumia nguvu kubwa sana kujaribu kuzunguka mbuyu.
CAG hukaguliwa na kampuni binafsi na report hupelekwa kamati ya Bunge PACWanabodi,
Nimekuwa nikijiuliza sana swali hili kila ninaposikia na kuisoma ripoti ya CAG. Mashirika na Taasisi zote za serikali hukaguliwa ila sioni maelezo ya kina kuhusu Ukaguzi unaofanywa katika Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Kimantiki, CAG hawezi kujikagua, anapaswa kukaguliwa.
Wataalam wa hesabu, naomba kufahamu zaidi katika jambo hili ili tupate mwanga mpana wa dhana ya uwajibikaji. Asante.
Nelson
SUA- Morogoro
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali gani hilo? Lini ulisikia Wadudu wanaosababisha Malaria wameugua Malaria?Wanabodi,
Nimekuwa nikijiuliza sana swali hili kila ninaposikia na kuisoma ripoti ya CAG. Mashirika na Taasisi zote za serikali hukaguliwa ila sioni maelezo ya kina kuhusu Ukaguzi unaofanywa katika Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Kimantiki, CAG hawezi kujikagua, anapaswa kukaguliwa.
Wataalam wa hesabu, naomba kufahamu zaidi katika jambo hili ili tupate mwanga mpana wa dhana ya uwajibikaji. Asante.
Nelson
SUA- Morogoro
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafanye ukaguzi ili wavumbue niniWakuu Kwa mujibu wa Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na. 11 ya mwaka 2008 Kifungu 46 (1)- (6) cha Sheria ya Ukaguzi inatoa utaratibu wa kumpata Mkaguzi wa kuikagua Ofisi ya CAG. Sheria hiyo inaeleza kuwa Mkaguzi anayekagua ofisi ya CAG atachaguliwa na PAC kutoka kwenye makampuni binafsi ya ukaguzi Kwa Maana ya Private Audit Firms yanayotambuliwa na NBAA.
........
Kwa Mapenzi Mema Kabisa Nitamwandikia/Ofisi Ya Spika Kwamba Tunaomba Kamati Ya PAC itue Kampuni Ifanye Ukaguzi Ndani Ya Ofsi Ya CAG.
Sent using Jamii Forums mobile app
CAG hukaguliwa na kampuni binafsi na report hupelekwa kamati ya Bunge PAC
Wanabodi,
Nimekuwa nikijiuliza sana swali hili kila ninaposikia na kuisoma ripoti ya CAG. Mashirika na Taasisi zote za serikali hukaguliwa ila sioni maelezo ya kina kuhusu Ukaguzi unaofanywa katika Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Kimantiki, CAG hawezi kujikagua, anapaswa kukaguliwa.
Wataalam wa hesabu, naomba kufahamu zaidi katika jambo hili ili tupate mwanga mpana wa dhana ya uwajibikaji. Asante.
Nelson
SUA- Morogoro
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona hivyo ujue ma ccm yanataka kujenga hoja na kuweka zengwe ofisi ya NOATKwanza naomba uelewe kuwa CAG ni sawa na neno Rais.
Swali lako ni sawa na kusema nani huwa anaikagua ofisi ya Rais?
Jibu ni kuwa, Mkaguzi anayekagua hesabu za Ofisi ya CAG anatoka kwenye makampuni binafsi ya ukaguzi (Private Audit Firms) inayotambuliwa kisheria na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) ambaye atachaguliwa na Kamati ya bunge ya Hesabu za Serikali kuu ( PAC).
Hii ni kwa mujibu wa Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na. 11 ya mwaka 2008 Kifungu 46 (1-6)
Kwamba Yeye anapofanya Ukaguzi Kwenye Taasisi Zingine Anavumbua Nini?
Duh umetisha !!Swali gani hilo? Lini ulisikia Wadudu wanaosababisha Malaria wameugua Malaria?
Sent using Jamii Forums mobile app