Nani anayekagua na kudhibiti ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG)?

Thread ya kipumbav tangu 2019 ianze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salam zimefika

Nisaidie kunitaftia Prof yoyote wa Accouting Na Finance anaetokea 'nyumbani' Taifa linamuhitaji Sana kwa hati ya dharura kabla ya Tarehe 21 January this year
Ok, tunaye Prof Jay pale Ufipa nitamtaarifu!
 
Salam zimefika

Nisaidie kunitaftia Prof yoyote wa Accouting Na Finance anaetokea 'nyumbani' Taifa linamuhitaji Sana kwa hati ya dharura kabla ya Tarehe 21 January this year
Mzee wangu huwa unaniachaga hoi na michango yako humu,natamani kujua walau kijiwe chako unakokwenda kupata gahwa nikitembelee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sasa nishaelewa kumbe mtifuano haujaanza leo,kumbe ni tokea 2016.
Dunia hii kuna watu wanavisasi hatari,si wakukwaruzana nao kabisa,unaweza kugombana naye leo akaja kudeal na wewe miaka mitano mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu anaweza kukosea tu Kama wengne,.....
Jabo kwa hapa tz Mkuu/mwenyekiti wetu pekeyake ndo huwa hakosei, ndie pekee anayejua watz na tz wote tunataka nn na tunaelekea wapi, maamuzi yote ambayo huwa anafanya Ni ya kutukuka, ikiwa Ni pamoja na kuamua kujenga airport chato, kutangaza na kutafuta wazabuni wa kununu ndege zetu za ATCL, na soon katuhakikishia tutakuja donor country kwa ulaya....

Ni wasio wazalendo pekeee na wanao tumika na mabeberu ndio ambao wanapayuka kuhoji baadhi ya maamuzi yake Kama yako sawa au wamefikiwa kwa kufikiria/tafakuri timamu, pia Kama yameshirikisha wadau/washauri na wataalamu ili kuboreshwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaa umenichekesha sana hapo Kwa kabudi ana ndimi mbili kama joka la mdimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani hata mimi mkulima wa korosho najua ABCs za Accounting ndo maana nimeshituka kwa Economist kutokujua na ukizingatia hizo fani zilivyo na ukaribu
Eti anajua debitting and crediting tuu halaf ni exonomisr[emoji23][emoji23] sijasoma course miaka mitatu accounts ila kwa ile semister 1 tuu pale IFM imetosha tena sikufundishwa eti CAG anafanya nn na nn nilijiongeza mwenyewe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salam zimefika

Nisaidie kunitaftia Prof yoyote wa Accouting Na Finance anaetokea 'nyumbani' Taifa linamuhitaji Sana kwa hati ya dharura kabla ya Tarehe 21 January this year
Ina maana siku hiyo ndio Profesa atawasilisha barua ya kujiuzulu?.
 
Who audits the auditor or what dog watches the watchdog?
 
Nchi yetu Bado changa Sana kumudu Kuwa Na CAG wa Viwango vya Mussa Assad, Kama vipi tupewe Kazi ya kupita pita Udsm , Mzumbe Na Udom tunaweza kupata Prof wa Accounting anae fanana na kasi yetu Na wapo wengi Sana
Kauli nzito sana hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…