Nani anayetajwa na Mwenyekiti wa CCM Mwanza, Dkt. Diallo kwamba ana faili Hospitali ya Akili Milembe?

Kama ni kweli tuliongozwa na mtu ambaye mirembe wana kumbukumbu naye kwenye mafaili ya afya ya akili, basi mtanzania anaweza kuishi nchi yoyote duniani.
 
Dialo mnafiq kama wengine...NEC yao 2020 ilimpitisha huyo kichaa kwa asilimia 100% sikusikia hata kura iliyoharibika.!!

na kura zilikuwa za siri.?
 
Kwahiyo huyu ndio alikuwa na file mirembe???????????
 
Hivi huyu bia yetu nae AMEENDA ZAKE?(
 
Unakili dhahiri ccm imepoteza uhalali wa kuendelea kuaminiwa, Kama inalea wala rushwa na watu waliogushi. Hivyo chama hiki ambacho kinashikilia dola hakitatufikisha popote sababu ni kichafu.
 
Hivi huyu bia yetu nae AMEENDA ZAKE?(
Najua basi toka mtu pori jiwe apumzishwe chattle mabatini
Sijamuona humu Tena sijui ndio alikua concubine wa mwendakuzimu maana Kwa taarifa za chini chini kapata stroke maana hakuamini Kama jamaa atadanja ghafla na kumwacha mjane yatima!
😂😂😂😂
 
Kwani kosa lake liko wapi? Mwacheni aseme anachokijua, mnataka kumulisha maneno ya kusema?. Hata Kama aliyesemwa alikuwa na file mirembe, kuugua anaugua mwanadamu yeyote after all kila binadamu ana wazimu. Hayupo binadamu aliye timamu, sema tunatofautiana tu kiwango Cha wendawazimu mwenzetu kilizidi akafunguliwa file Mirembe, Kuna maajabu hapo?! Povu kwa Diallo la nini? Acha ushamba.
 
Angeanza na kulipa wafanyakazi wake. Katapeli benki nyingi pale Mwanza halafu anataka kuelekeza lawama kwa marehemu.
Marehemu nae aliwahi kukosea hakuna binadamu aliyekamilika ndiyo maana yatupasa kujifunza kutokana na makosa yake. Musiwe na wax flexibility Kama mishumaa.
 
Hawa mataga tuliokua tunawaambia kipindi kile jiwe ni mgonjwa wa akili na anatumia dawa za kupunguza wendawazimu walikua wanapinga sana na wakati ushahidi ulikuwepo wa wazi kabisa
Ilikua haiwezekani mtu anasema maendeleo hayana chama ila akifika kwenye Jimbo la mpinzani anasema hataleta maendeleo sababu wamechagua upinzani!

Kwa mwenye akili timamu lazima angejua tu yule jamaa dishi limeyumba kabisa!

Mataga vipi Bado mtaendelea kutuita sisi vibaraka wa mabeberu?

Haya na huyo Diallo naye katumwa na makondoo?
 
Unataka kusema alikuwa kichaa,mjomba ally mpanduji
 

Unachekesha wewe,eti ni Serikali pekee ndiyo inayoweza kujua mipango ya gizani ya Raia wake!..Serikali ipi hiyo unaizungumzia wewe!
Kwa lipi!.acha ushabiki wa kipuuzi wewe.Watu Ndugu zetu walifungwa bila kosa lolote.JPM alikandamiza Raia kwa kuhofia kutokukubalika kwake,mtu muoga kupindukia.
Tuogope Dola kwa lipi!..hujui maana ya uhuru wewe wala huthamini Uhuru wako.Endelea kuogopa DOLA.
 

Yeye mwenyewe betri yake ilikuwa imekaribia kuexpire na alijua hakuna tena Replacement sasa sijui CCM walimteua vipi kugombea.
 

unapoambiwa dola lazima iogopwe lazima uelewe nini kinaongelewa....bila shaka huelewi maana ya dola kuheshimika...na dola kutoheshimika..

Ni watanzania hawa hawa waliokuwa wanalalamikia matajiri kuonea watu, viongozi wa serikali kuonea watu, watu wenye nyadhifa kuonea watu, ndugu wa viongozi na matajiri kuonea watu na kunyanyasa watendaji wa serikali.

Ni watanzania hawa hawa walikuwa wakilalamikia dola ilivyokuwa haiheshimiwi na akina Manji na kundi lake mpaka kuwatusi mawaziri hadharani.

Watanzania hawa hawa walikuwa wakilalamikia uzembe makazini na ubwanyenye wa watendaji, vyombo vya dola viliogopa matajiri na viongozi kiasi hata cha kushindwa kutimiza majukumu, wenye nguvu ya rushwa walikuwa hawafanywi kitu.

Watanzania hawa hawa walikuwa wakilalamikia ukwepaji wa kodi na ujanjaujanja wa wafanyabiashara na serikali kupoteza mapato yake.......TUNAPOSEMA KUOGOPWA NA KUHESHIMIKA KWA DOLA NI PAMOJA NA WATU KUISHI NA KUFUATA SHERIA INAVYOTAKA...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…