Nani anayetajwa na Mwenyekiti wa CCM Mwanza, Dkt. Diallo kwamba ana faili Hospitali ya Akili Milembe?

Nani anayetajwa na Mwenyekiti wa CCM Mwanza, Dkt. Diallo kwamba ana faili Hospitali ya Akili Milembe?

Una kila kiashiria cha uoga.Kuna kipindi kumnyamazia mjinga ni silaha tosha.Hivi kipindi cha Magufuli nani angeweza kumkosoa hadharani?Ni wachache na kwa taaaaaabuuuu walithubutu.Nani angetaka risasi "salasini na nane" zimpate mwilini?Think twice.๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Sasa kusema sahizi haina maana the past is history
 
Dialo ana makando kando mengi sana huko Mwanza. Ni Nani asiemjua? Ni mhuni na pia ni anatuhuma nyingi tu za uovu pia. Sishangai
 
Busara ni ipi; kukaa pembeni mwendawazimu mwenye panga kali apite zake ubaki salama au kushindana naye ugeuzwe "bucha"? Think twice.
Watanzania wengi wapo afraid to take the beating and consequences za kuongea mbele ya jiwe ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ila sasa wanajitia ushujaa this is a gayish behaviour ni aheri wafe nayo moyoni
 
Dialo ana makando kando mengi sana huko Mwanza. Ni Nani asiemjua? Ni mhuni na pia ni anatuhuma nyingi tu za uovu pia. Sishangai
Ni mshenzi tu huyu jamaa yake hayasemwi tu ila Magufuli hakumdhuru mtu innocent wengi waliopigwa spana ni wana makando kando tu
 
Kwamba viongozi wa CCM inabidi wapewe kipaumbele kwenye maswala ya nchi? Katika hilo la kutenganisha viongozi wa chama cha siasa na maswala ya nchi naona ni sahihi kabisa.
 
Ukiona mtu yeyote anaemsema vibaya mwenzie akiwa hayupo ni bure kabisa.

Sijuhi nani kamdanganya aropoke kisa kutetea ugali?
Nauona mwisho wa huyu mlopokaji. Macho yetu.........
Kukaa kimya ni dawa tosha hatuwezi jua yajayo baada ya 2025.
Habari yake iko tamati huyo, very gayish kumsema marehem bora hata angekuwa hai! Ye kutapeli watu kisha kukimbilia ubavu wa CCM aliona sawa ila ilipofika zamu yake akapigwa na CCM hao hao eti analia lia na kumdhikhaki mwenyekiti๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜… wakat cheo chake pia alikitumia kipumbavu tu!
 
Mkuu,is that you for real?Hivi kweli Magufuli was that much clean?๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”
He might not be clean ila atleast you would need to have an issue with him that he finds irritating ndio astrike back. Sio kwamba alimfata fata huyo Diallo ila mwenyewe Diallo alikuwa na issues akachezea spana!

How do you deal with a traitor?
 
Habari yake iko tamati huyo, very gayish kumsema marehem bora hata angekuwa hai! Ye kutapeli watu kisha kukimbilia ubavu wa CCM aliona sawa ila ilipofika zamu yake akapigwa na CCM hao hao eti analia lia na kumdhikhaki mwenyekiti๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜… wakat cheo chake pia alikitumia kipumbavu tu!
Tumpe muda gani kubaki chamani? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nawaona ccm wanavyo mzoom after 2025
 
He might not be clean ila atleast you would need to have an issue with him that he finds irritating ndio astrike back. Sio kwamba alimfata fata huyo Diallo ila mwenyewe Diallo alikuwa na issues akachezea spana!

How do you deal with a traitor?
Alikuwa na muono huo lakini baadaye akalewa pombe ya madaraka na kuanza uonevu kwa sababu ya kushangiliwa bila kukosolewa
 
Back
Top Bottom