Nani anayetajwa na Mwenyekiti wa CCM Mwanza, Dkt. Diallo kwamba ana faili Hospitali ya Akili Milembe?

Laana ya uchafuzi wa 28/10/2020. "There is more to come and see".
 
Sijaona kibaya ambacho Dialo kaongea
Watz na waafrika walio wengi mambo haya ndio chanzo cha kutoendelea kwao kwani kuutanguliza umimi, na unafiki kwa maslahi ya kundi la wachache no sababu ya kushindwa kuona umbali wa zaidi ya mita tano mbele yao, anaejitahidi kuona zaidi ya hapo no adui yao na sii mzalendo.
 
Kidogo unaonyesha 'sense of reasoning' katika mstari wako wa mwisho; lakini wewe, kama alivyokuwa huyo unayemshabikia huonyeshi 'consistence' katika fikra zako.
Hili ndilo tatizo, pengine ndiyo sehemu ya ugonjwa wenyewe.
 
Nani ameruhusu mtindo huu wa kuwatukana na kuwadhalilisha Marais wasitaafu au ambao wamefariki.Ni mtindo wa kukosa fikira chanya za kuleta maendeleo .Ni mtindo mbovu ambao ,unatufanya tusiwe na uwezo wa kufikiri ,zaidi ya malalamiko .Tunaomba Rais Samia ,upige marufuku hii tabia ya kijinga ya kumlalamikia marehemu.Ni tabia ya kipumbavu na kijinga.Marehemu hayupo ,ww eti unataka kuonyesha uanaume wako.Kwann ukuonyesha wakati yupo hai?
 
Marehemu nae aliwahi kukosea hakuna binadamu aliyekamilika ndiyo maana yatupasa kujifunza kutokana na makosa yake. Musiwe na wax flexibility Kama mishumaa.
Sikatai hilo, ila Diallo hana credibility ya kumkosoa Magu au kuelekeza lawama kwa Magu. Diallo ni tapeli wa kutupwa. Wafanyakazi wake wanalia mishahara, benki zinalia kwa utapeli wake. Ukitaka kujua huyu ndugu ni muongo angalia wakati Mh. J.P.M alipokuwa anakagua daraja la Kigogo Busisi yeye Diallo alikuwa mbele au nyuma kama anavyolalama.



 
Kidogo unaonyesha 'sense of reasoning' katika mstari wako wa mwisho; lakini wewe, kama alivyokuwa huyo unayemshabikia huonyeshi 'consistence' katika fikra zako.
Hili ndilo tatizo, pengine ndiyo sehemu ya ugonjwa wenyewe.

Label ya ukichaa wa aina hiyo nitaivaa with the greatest pride possible and an enormous feeling of being lucky!
 
Vichaa wote wapo hivyo hivyo, usinipotezee muda!

Gimme a break; wewe ndiye unanipotezea muda kwa kung’ang’ana na outrageous claims! Only Chadema loonies can hold tight to such emptiness!
 
"No problem can be solved from the same level of consciousness that created it." - Albert Einstein
 
Gimme a break; wewe ndiye unanipotezea muda kwa kung’ang’ana na outrageous claims! Only Chadema loonies can hold tight to such emptiness!
You categorize them as "outrageous claims", because of the 'emptiness' of your level of judgement. Who is loonier here than those you claim to be looniest!
 
You categorize them as "outrageous claims", because of the 'emptiness' of your level of judgement. Who is loonier here than those you claim to be looniest!

Do you even have a faculty for judgment? You don’t have even a murky resemblance to those who do!
 
Do you even have a faculty for judgment? You don’t have even a murky resemblance to those who do!
"...a faculty for judgement", like that possessed by 'pulchra',?

No, I do not have that type, that's why I do not have even the slightiest murky resemblance of him!

That would be a terrible quality to have by any self respecting individual.
 
Kwa nini hakumwambia hapo awali??
Dialoo tunajua uchafu wke wte.
Huyu nikundi msoga hakuna asiyejua, anachoshangaza nikusema leo baada ya aneyemtuhumu kutomtaja au kusemea huko kwenye vikao vya chama.
Hili zee likichaguliwa hata ubarozi wa nyumba kumi 2025 mtazika chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…