njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
wachezaji 9 wako national team, magolikipa wawili, nani atadaka? Ally salim na Ferouz?
Haya kama ndiyo hivyo iwe heri msije mkatuabisha mkala magoli mengi afrika nzima itajua simba kapigwa story za kwamba kina manula hawakuwepo hakuna atakayetaka kuzisikia
Hapo namba 2 kwa mwenda dah Mungu amsaidie tu yule kijana sijajua hadi leo ubora wake ni nini? hajui kujiposition,kukaba, kupiga kross wala kutoa pass,duchu ni better zaidi mara 100
namba 3 atakuwa Gadiel siyo? haya pambana mpare no excuses ndugu kotoko na hilal teams kubwa msituaibishe
Haya kama ndiyo hivyo iwe heri msije mkatuabisha mkala magoli mengi afrika nzima itajua simba kapigwa story za kwamba kina manula hawakuwepo hakuna atakayetaka kuzisikia
Hapo namba 2 kwa mwenda dah Mungu amsaidie tu yule kijana sijajua hadi leo ubora wake ni nini? hajui kujiposition,kukaba, kupiga kross wala kutoa pass,duchu ni better zaidi mara 100
namba 3 atakuwa Gadiel siyo? haya pambana mpare no excuses ndugu kotoko na hilal teams kubwa msituaibishe