muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Hivi Kapama hawezi cheza kulia?kumsaidia Kapombe?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ana uwezo huo kabisaHivi Kapama hawezi cheza kulia?kumsaidia Kapombe?...
kwenye uzi ukisoma vizuri nimesema its time for mwenda, ally salumu na gadiel michael to MAN UP siyo kila mara wahusika wakuu wakikosekana inakuwa headache, ni kweli ni mechi za majaribio lakinihakuna mwanasimba atakayependa kusikia kipa alikuwa anadaka hewa team ikala mabao ya kutosha hata kocha hatafurahi na kusingizia ni ffriendly matchesKakujibu vzr. Friendly match ni kioo unajitazama sehem yeny ukurutu unaipaka mafuta.
Mnakumbuka yanga iliweka kikosi A kikacheza soka safi na kupeleka moto balaa lkn kipindi cha pili Nabbi akaleta kikosi B kikawa kinacheza bila combination. Unadhan kwa nn?
Alipoteza ile mechi na akachekwa sana na kutaniwa. What happened to derby? Alileta kile kikosi A ndo kikamuua mnyama. Isingekua ile mechi Nabbi angejua kikosi gani bora?
Myama apeleke timu icheze Zoran ajiangalie. Asibweteke na matokeo ya akna Kagera atakuja kupigwa mkono kama kasimama.
Ata Juma yupoKuna dogo katoka simba B nasikia anadaka mpaka mishale
al hilal na kotoko ni vilaza?simba ndo kachagua? au kaalikwa?Ilo ni tamasha la timu Vilaza Kwaiyo usihofu Kwa Simba kubebeshwa zigo la Magoli hakuna Elite kwabu yoyote iitakayo shiriki bonanza ilo. Nikama Emirate cup ya Arsenal, mnachaguana vibonde mnakipiga.
Wote Vilaza ao, Ao Al hilal tukonao kwenye ukanda wa Afrika Mashariki na timu za Sudani tumecheza nazo sana hakuna timu tishio. Kotoko ilikua Zamani kwasasa wameporoka vibaya mno.al hilal na kotoko ni vilaza?simba ndo kachagua? au kaalikwa?
Mchambuz wa football ambaye ktk maisha yake HAJAWAHI KUCHEZA HIO FOOTBALL KWA MAFANIKIO HATA KDGOwachezaji 9 wako national team, magolikipa wawili, nani atadaka? Ally salim na Ferouz?
Haya kama ndiyo hivyo iwe heri msije mkatuabisha mkala magoli mengi afrika nzima itajua simba kapigwa story za kwamba kina manula hawakuwepo hakuna atakayetaka kuzisikia
Hapo namba 2 kwa mwenda dah Mungu amsaidie tu yule kijana sijajua hadi leo ubora wake ni nini? hajui kujiposition,kukaba, kupiga kross wala kutoa pass,duchu ni better zaidi mara 100
namba 3 atakuwa Gadiel siyo? haya pambana mpare no excuses ndugu kotoko na hilal teams kubwa msituaibishe
Vilaza zaidi ya utopolo ambae mtoto alieanza darasa la kwanza 2016 na leo Yuko darasa 7 hajawahi kuona uto anashinda mechi yoyote ile ya kimataifa?Wote Vilaza ao, Ao Al hilal tukonao kwenye ukanda wa Afrika Mashariki na timu za Sudani tumecheza nazo sana hakuna timu tishio. Kotoko ilikua Zamani kwasasa wameporoka vibaya mno.
Wakati Yanga anamfunga na kumtoa Township Rollers 2019 Tena ugenini Kama ulikua bado uko kwenu Mbwinde Mimi nikusaidiaje!! Msirukie mambo ya mipira ambayo hamyajui[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Vilaza zaidi ya utopolo ambae mtoto alieanza darasa la kwanza 2016 na leo Yuko darasa 7 hajawahi kuona uto anashinda mechi yoyote ile ya kimataifa?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Umeandika uongo wa dhahiri! Katika hicho kipindi Yanga ilifika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho mara 2! Labda kama ulikuwa hujaanza kufuatilia soka!Vilaza zaidi ya utopolo ambae mtoto alieanza darasa la kwanza 2016 na leo Yuko darasa 7 hajawahi kuona uto anashinda mechi yoyote ile ya kimataifa?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Karibu tena kwa comments mpyawachezaji 9 wako national team, magolikipa wawili, nani atadaka? Ally salim na Ferouz? Haya kama ndiyo hivyo iwe heri msije mkatuabisha mkala magoli mengi afrika nzima itajua simba kapigwa story za kwamba kina manula hawakuwepo hakuna atakayetaka kuzisikia. Hapo namba 2 kwa mwenda dah Mungu amsaidie tu yule kijana sijajua hadi leo ubora wake ni nini? hajui kujiposition,kukaba, kupiga kross wala kutoa pass,duchu ni better zaidi mara 100. namba 3 atakuwa Gadiel siyo? haya pambana mpare no excuses ndugu kotoko na hilal teams kubwa msituaibishe
Haya sasa futa huu utumbowachezaji 9 wako national team, magolikipa wawili, nani atadaka? Ally salim na Ferouz?
Haya kama ndiyo hivyo iwe heri msije mkatuabisha mkala magoli mengi afrika nzima itajua simba kapigwa story za kwamba kina manula hawakuwepo hakuna atakayetaka kuzisikia
Hapo namba 2 kwa mwenda dah Mungu amsaidie tu yule kijana sijajua hadi leo ubora wake ni nini? hajui kujiposition,kukaba, kupiga kross wala kutoa pass,duchu ni better zaidi mara 100
namba 3 atakuwa Gadiel siyo? haya pambana mpare no excuses ndugu kotoko na hilal teams kubwa msituaibishe