Nani atadaka mechi za Simba huko Sudan? Msituaibishe jamani Afrika itatucheka

kwenye uzi ukisoma vizuri nimesema its time for mwenda, ally salumu na gadiel michael to MAN UP siyo kila mara wahusika wakuu wakikosekana inakuwa headache, ni kweli ni mechi za majaribio lakinihakuna mwanasimba atakayependa kusikia kipa alikuwa anadaka hewa team ikala mabao ya kutosha hata kocha hatafurahi na kusingizia ni ffriendly matches
 
Ilo ni tamasha la timu Vilaza Kwaiyo usihofu Kwa Simba kubebeshwa zigo la Magoli hakuna Elite kwabu yoyote iitakayo shiriki bonanza ilo. Nikama Emirate cup ya Arsenal, mnachaguana vibonde mnakipiga.
 
Ilo ni tamasha la timu Vilaza Kwaiyo usihofu Kwa Simba kubebeshwa zigo la Magoli hakuna Elite kwabu yoyote iitakayo shiriki bonanza ilo. Nikama Emirate cup ya Arsenal, mnachaguana vibonde mnakipiga.
al hilal na kotoko ni vilaza?simba ndo kachagua? au kaalikwa?
 
al hilal na kotoko ni vilaza?simba ndo kachagua? au kaalikwa?
Wote Vilaza ao, Ao Al hilal tukonao kwenye ukanda wa Afrika Mashariki na timu za Sudani tumecheza nazo sana hakuna timu tishio. Kotoko ilikua Zamani kwasasa wameporoka vibaya mno.
 
Mchambuz wa football ambaye ktk maisha yake HAJAWAHI KUCHEZA HIO FOOTBALL KWA MAFANIKIO HATA KDGO
 
Wote Vilaza ao, Ao Al hilal tukonao kwenye ukanda wa Afrika Mashariki na timu za Sudani tumecheza nazo sana hakuna timu tishio. Kotoko ilikua Zamani kwasasa wameporoka vibaya mno.
Vilaza zaidi ya utopolo ambae mtoto alieanza darasa la kwanza 2016 na leo Yuko darasa 7 hajawahi kuona uto anashinda mechi yoyote ile ya kimataifa?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Vilaza zaidi ya utopolo ambae mtoto alieanza darasa la kwanza 2016 na leo Yuko darasa 7 hajawahi kuona uto anashinda mechi yoyote ile ya kimataifa?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Wakati Yanga anamfunga na kumtoa Township Rollers 2019 Tena ugenini Kama ulikua bado uko kwenu Mbwinde Mimi nikusaidiaje!! Msirukie mambo ya mipira ambayo hamyajui[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Vilaza zaidi ya utopolo ambae mtoto alieanza darasa la kwanza 2016 na leo Yuko darasa 7 hajawahi kuona uto anashinda mechi yoyote ile ya kimataifa?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Umeandika uongo wa dhahiri! Katika hicho kipindi Yanga ilifika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho mara 2! Labda kama ulikuwa hujaanza kufuatilia soka!
 
Karibu tena kwa comments mpya
 
Haya sasa futa huu utumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…