Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Leo ni mpambano mkali kati Jake paul na Mkongwe Mike Tyson nani unadhani ataibuka mshindi?
Kwa huku kwetu ni saa 10 Alfajiri kesho
Kwa huku kwetu ni saa 10 Alfajiri kesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa Moja na robo kesho asbhHiyo game inapigwa saa ngapi kwa saa za Africa mashariki?
Tyson kusipokuwa na figisu atapeta japo keshakuwa kibongeLeo ni mpambano mkali kati Jake paul na Mkongwe Mike Tyson nani unadhani ataibuka mshindi?View attachment 3153031
Naamini hili litakua pambano lenye mvuto zaidi ya lile la Mayweather Vs Manny Pacquiao, wale walituibia Pesa bure ila hili naamini itakua burudani nzuri watu watataka kuona The Left behind of Mike Tyson speedy jabsHapa hapatakiwa na ngumi zaidi ya kuangalia pesa
Daaaa walizingua sana wajingaNaamini hili litakua pambano lenye mvuto zaidi ya lile la Mayweather Vs Manny Pacquiao, wale walituibia Pesa bure ila hili naamini itakua burudani nzuri watu watataka kuona The Left behind of Mike Tyson speedy jabs
Daaaa walizingua sana wajingaNaamini hili litakua pambano lenye mvuto zaidi ya lile la Mayweather Vs Manny Pacquiao, wale walituibia Pesa bure ila hili naamini itakua burudani nzuri watu watataka kuona The Left behind of Mike Tyson speedy jabs
Lakini hii siku hizi imekuwa kawaida sio zile ngumi za Tyson vs EvanderHili pambano litakua kama mieleka maagizo matupi, Kuna mtu kavujisha kua Kuna non disclosure agreement hakuna kushinda k.o round ya kwanza, kwa io round ya kwanza tutegemee maigizo tu, pesa zimeharibu ngumi Leo patakua hamna tofauti na ujinga wa wrestling wa Mayweather kumpiga big show
Ni kweli kabisa, sikuhizi Boxers wanacheza kwa kujilinda sanaa wanakimbia kimbia na kushikana shikana tu hakuna Jabs zile heavy za double double kama zamanDaaaa walizingua sana wajinga
Lakini hii siku hizi imekuwa kawaida sio zile ngumi za Tyson vs Evander
Njaa? Mwenzako anavuta dollar milion 20 in just a few minutes!! Hio hela kuanzia Babu zako wa utumwa mpaka kizazi chako Cha 4 wewe hapo hamtakaa muishike maisha yenu yote!!!Tyson kamuiga mandonga mtu kazi daaa uyu mzee itakuwa njaaaa apo alipo.!!