Uchaguzi 2020 Nani ataibuka mshindi kwenye kinyang'anyiro cha Kiti cha Ubunge 2020 jimbo la Arusha Mjini, kati ya Mrisho Gambo na Godbless Lema?

Uchaguzi 2020 Nani ataibuka mshindi kwenye kinyang'anyiro cha Kiti cha Ubunge 2020 jimbo la Arusha Mjini, kati ya Mrisho Gambo na Godbless Lema?

mbinguni

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
2,759
Reaction score
1,061
Godbless Lema ni Mbunge aliyemaliza muda wake na Mrisho Gambo ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha aliyetumbuliwa.

Lema anekuwa Mbunge kwa zaidi ya miaka kumi sasa lakini mara nyingi amekuwa akizitumikia kesi Mahakamani na kukosa muda wa kutosha wa kuwahudumia wapiga kura wake.

Wakati Gambo amekuwa Mkuu wa Mkoa kwa kipindi kifupi sana amabacho amekitumia kuhamasisha maendeleo kwa baadhi ya maeneo na hasa eneo la Muriet analoishi.
 
Huyu mmoja ana makando kando lukuki na ulafi wa madaraka kutokana na kauli za mzee wake, sasa sijui km jina lake litarudi ama laah.

Huyu mwingine ni mpambanaji haswa na mtu asiyekubali kushindwa kizembe hasa kwa huyu mwenye makandokando maana si watu wa kupikwa Chungu kimoja wakaiva.

Kama ningekuwa mimi kwa tuhuma za rushwa zilizoanza kuripotiwa basi nisingerudisha jina la huyu mtu jimboni.
Nawasilisha
 
' Logically ' tu Kitendo cha aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Gambo ' Kutumbuliwa ' na Rais JPM tayari ' ameshahalalisha ' Kutokushinda Kwake Ubunge.
AMEOMBAAA RUHUSA. NGOJA NKAKOJOE KWANZA PLS SOMA BARUA ZAOO
 
' Logically ' tu Kitendo cha aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Gambo ' Kutumbuliwa ' na Rais JPM tayari ' ameshahalalisha ' Kutokushinda Kwake Ubunge.

Kuna kila dalili za hawa vijana na yule (aliekuwa) wa DSM wakatibiwa vidonda vilivyotokana na kutumbuliwa.

Baada ya hapo itakuwa ni mshikemshike tu.
 
Ndio mshindi wa kura za maoni za ccm hapo jana
Mchezo ndio umeishia hapo, wa Makonda unaandaliwa kivingine ngoja tusubiri tuone maana na yeye anahitajika bungeni katika kuungurumisha hoja ya aendelee mheshimiwa, spika atawaruhusu walijadili hili vizuri tu.
 
Muda + Kura+ cheusi chekundu vitatoa majibu so kaa kwa kutulia mkuu
 
Back
Top Bottom