OkNdio mshindi wa kura za maoni za ccm hapo jana
Godbless Lema ni mbunge aliyemaliza muda wake na Mrisho Gambo ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha aliyetumbuliwa.
Gambo kapita?
AMEOMBAAA RUHUSA. NGOJA NKAKOJOE KWANZA PLS SOMA BARUA ZAOO' Logically ' tu Kitendo cha aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Gambo ' Kutumbuliwa ' na Rais JPM tayari ' ameshahalalisha ' Kutokushinda Kwake Ubunge.
' Logically ' tu Kitendo cha aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Gambo ' Kutumbuliwa ' na Rais JPM tayari ' ameshahalalisha ' Kutokushinda Kwake Ubunge.
Mchezo ndio umeishia hapo, wa Makonda unaandaliwa kivingine ngoja tusubiri tuone maana na yeye anahitajika bungeni katika kuungurumisha hoja ya aendelee mheshimiwa, spika atawaruhusu walijadili hili vizuri tu.Ndio mshindi wa kura za maoni za ccm hapo jana