Nani atakuwa Mchezaji bora wa Msimu EPL kati ya Salah na De Bruyne?

Nani atakuwa Mchezaji bora wa Msimu EPL kati ya Salah na De Bruyne?

Salah has no competition Mkuu. He is the best player for season 2017/2018

Salah anafunga sana, KDB ana assist sana, na wote ni tegemeo kwenye timu zao, unahisi nani anapaswa kuwa Mchezaji bora wa Msimu?
Kwangu mimi nampa nafasi Salah.
 
Huo ni ukweli, lakini kawapa nini Liverpool?

Mohamed Salah ni mchezaji mzuri anapoteza muda Liverpool

Hata hii nafasi ya kumweka katika kundi la wachezaji wazuri umeipata baada ya kumuona anafanya vizuri Liverpool.... sasa anapoteza muda katika upande upi unaouzungumzia labda
 
Mjadala umefungwa rasmi
IMG_20180513_123343_155.jpg
ce6815a23be9ec8888f1d9fa861d580f.jpg
 
Back
Top Bottom