Sisi wanaume tunavumilia mengi sana inahitaji moyo kuwa na mke wa namna hiyo.Umeshiba au bado una hangover ya usingizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wanaume tunavumilia mengi sana inahitaji moyo kuwa na mke wa namna hiyo.Umeshiba au bado una hangover ya usingizi
Kumbuka wanapovuta bangi na kutumia pombe kali wanatumia pesa za umma.Nakushauri uache kuteseka na CDM kile chama cha umma sioni kwanini mnakiogopa CDM na Viongozi wake wakati tayari mlisha wafunga na kuwaumiza na hata kuwauwa wengine. Hiyo hofu yenu ya kutumia mabilioni kushindana na wagonjwa wanojiuguza hospitalini inatoka wapi?!
Nani kasema anavuta?!Havuti madawa ya kulevya bali anakunywa bia pia hatumii madawa ya kulevya.
Anakupa tofauti yake na wabunge wa Chadema ambao huvuta bangi na madawa ya kulevya huku wakishushia na konyagiNani kasema anavuta?!
Hata Kishimba na Musukuma wanatumia bangi na wanafanya vizuri bungeni!Anakupa tofauti yake na wabunge wa Chadema ambao huvuta bangi na madawa ya kulevya huku wakishushia na konyagi
Kondomu wwInasemekana wasagaji na mashoga pia mnao.
Hilo la Kishimba na Msukuma halina ushahidi . Bali wao walipendekeza kuwe na kilimo halali ili itumike kwa matibabuHata Kishimba na Musukuma wanatumia bangi na wanafanya vizuri bungeni!
Bangi inatumiwa na wengi tu iwe viongozi wa kisiasa ama wanataaluma......sema watoto wa siku hizi wako kidigitali zaidi wanajipoza kwa mitandao!
Walijuaje kuwa inatibu?!Hilo la Kishimba na Msukuma halina ushahidi . Bali wao walipendekeza kuwe na kilimo halali ili itumike kwa matibabu
Hujui nchi za Ulaya na Usa zinatumika? Msukuma na Kishimba pamoja kuwa darasa la saba wanauelewa mkubwa sana.Walijuaje kuwa inatibu?!