Wiki iliyopita Nikiwa katika shughuli zangu Jijini Dar es salaam napigiwa simu toka nyumbani, ujumbe ni kwamba Mshikaji wangu S Amefaiki (Mungu Amrehemu)
Ni msiba ulionistua sana hasa kwa sababu ni msiba wa mtu wangu wa karibu, kijana ambaye hata Miaka 30 hana, mke hana.. ndio maisha yalishamkalia Poa.. mtu aliyekuwa anamalizia kujenga, ana kausafiri kake na kazi nzuri.. Katika umri mdogo kama wake tayari alikuwa akipata shahada yake ya pili.. lakini amefariki!
Hii ni ishara kuwa kifo kipo muda wowote, tazama waliofariki ghafla ajali ya Mv Nyerere.. watu ghafla wanaondoka hawajajipanga, Naguswa sana na hii misiba, najiuliza nawe pia jiulize ghafla kifo kikakuta utakumbukwa kwa Mema yapi? Jambo lipi Jema litabaki juu ya jina lako!
Nikajikuta Nakumbuka Maneno ya Mtu anayeaminika Kuwa Miongoni mwa watu wenye akili nyingi kuwahi kutokea yaani Leornado Da Vinci, wakati wa kufa kwake aliwaomba watu na Mungu Radhi kwa Kutotumia uwezo aliopewa na Mungu kwa kadri ilivyostahili!
Tufanye Mema ya Kukumbukwa Maana Kifo Hutuchukua wakati wowote!
Rest in Peace Mwanangu Samson, Mungu Ailaze Roho yako Mahali Pema Peponi, Nakumbuka Nyakati zile tukifurahi Pamoja kwa Kucheza Draft!
Santana
Ni msiba ulionistua sana hasa kwa sababu ni msiba wa mtu wangu wa karibu, kijana ambaye hata Miaka 30 hana, mke hana.. ndio maisha yalishamkalia Poa.. mtu aliyekuwa anamalizia kujenga, ana kausafiri kake na kazi nzuri.. Katika umri mdogo kama wake tayari alikuwa akipata shahada yake ya pili.. lakini amefariki!
Hii ni ishara kuwa kifo kipo muda wowote, tazama waliofariki ghafla ajali ya Mv Nyerere.. watu ghafla wanaondoka hawajajipanga, Naguswa sana na hii misiba, najiuliza nawe pia jiulize ghafla kifo kikakuta utakumbukwa kwa Mema yapi? Jambo lipi Jema litabaki juu ya jina lako!
Nikajikuta Nakumbuka Maneno ya Mtu anayeaminika Kuwa Miongoni mwa watu wenye akili nyingi kuwahi kutokea yaani Leornado Da Vinci, wakati wa kufa kwake aliwaomba watu na Mungu Radhi kwa Kutotumia uwezo aliopewa na Mungu kwa kadri ilivyostahili!
Tufanye Mema ya Kukumbukwa Maana Kifo Hutuchukua wakati wowote!
Rest in Peace Mwanangu Samson, Mungu Ailaze Roho yako Mahali Pema Peponi, Nakumbuka Nyakati zile tukifurahi Pamoja kwa Kucheza Draft!
Santana