Nani atalia Ukifa?

Tujitahid tutende mema tnapokua hai.. na tuishi maisha ya kumtukuza Mungu!!
Watu wanasahau wafu haraka sana usiwajali sana... Nadhan kutenda mema kwa imani yako inapaswa iwe kipaumbele zaidi.

Apumzike kwa amani huyo kijana
Kabisa matendo yetu mema tutakayokumbukwa nayo yatafanya hata kizazi chetu hai kitachobaki kithaminiwe!
 
Rip
 
Kaka kuna kufa kuacha kumbukumbu.

Nakuna kufa kuacha Historia.

Which one are you???.

Ukiacha kumbukumbu. Siku ukifa kuanzia mtoto mpaka wazee wa mitaani watalia sana.
 
Kwa kweli inahuzunisha pale ambapo unapotelewa mpendwa wako. cha msini ni kumuomba Mungu atusaidie kuishi maisha yaliyo mema ambayo yatawavutia na wengine watamani wawe kama mimi au wewe siku ya kifo
 
Lesson learnt bro naimani kuna kitu nitabadilisha pia maishani
 
siku ipo utaelewa, kumbukwa kwa mabaya uone hata kizazi chako kitakavyoteseka!
Mabaya na Mazuri yapo kwa kila binadamu.
Kila mtu atabeba dhambi zake, uovu wa baba haurithishwi kwa watoto.
Sio kila mtoto mwema na babaye alikuwa mwema na kinyume chake kwa mtoto mbaya.
La msingi ni kutubu mabaya uliyotenda ili Mungu akusamehe hayo mabaya na aku alike katika maisha ya milele katika ufalme wake.
Huyo atakaye kumbuka mabaya yako hawezi kuishi miaka mia mbili.
Kwa Mungu kuna maisha ya milele ambayo ni mazilioni ya miaka.
Mimi naona ni afadhali nichukiwe na binadamu wote, Ila nipendwe na Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…