Nani atatusaidia kuondoa 'state capture' Tanzania?

SWALI HIVI KWELI Jeshi letu linajielewa vzr kabisa?au kuna changamoto kubwa ndani yake.

Jeshi letu lipo kwa ajili ya kulinda maslahi ya serikali. Ndio maana maandamano yakiitishwa jeshi linatumika kutishia waandamanaji
 

Aiseeh! Simba na Yanga nazo ni janga.
 
Jeshi letu lipo kwa ajili ya kulinda maslahi ya serikali. Ndio maana maandamano yakiitishwa jeshi linatumika kutishia waandamanaji
Sio kwamba polisi hawafahamu sheria au wajibu wao lakini ni kwamba akili zao zimefumbwa na wamekuwa ni lazima wasikilize serikali inoongozwa na chama tawala yataka wao watende vipi kazi zao.

Ndo maana moja ya ushauri wangu mwingine ni kwamba siku mara paap Yesu kashuka basi polisi wote ni lazima wawe na shahada ya kwanza ya chuo kikuu. nasisistiza shahada sio diploma.

Pia polisi ifungue njia kwa wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali kutoka ndani na nje wenye utaalam na ujuzi mbalimbali waingie polisi.

Hapa nilipo sasa hivi mbwa wa polisi wavaa body camera wakienda kumtafuta mhalifu mahala hivyo wafundishwa wakiwa wadogo kutumia body camera na sehemu ya mdomo kuachwa wazi.

Hivyo polisi wahitaji masuala kama uvumbuzi (innovations), teknolojia na maendeleo mengine ya kisayansi ili wafanye kazi zao kisayansi zaidi badala ya kuanza kutafutana na kutekana, kwani hiyo yaonyesha polisi wamekosa majukumu mengine ya kufanya wapo kusubiri orodha ya watekwaji.
 
Tangu lini mihimili ya serikali ya Tanzania ya kawa huru wa kulaumu ni Nyerere ndo chanzo cha siasa za state supremancy
Kati ya walio hai na wafu nani wenye nguvu?
Haiingii akilini kwa mtu aliye hai kumlaumu mfu.
Akili ya kawaida inaonesha kwamba walio hai hupambana wenyewe hata kuuana ili kufanya mabadiliko. Sasa mfu ambaye nguvu na habari yake imekwisha kwa nini alaumiwe?
 
Mungu atatusaidia. kwani kipindi cha nyuma nani alitusaidia?
 
Hii nchi inachosha sana, Wananchi wameshaichoka kwa mambo haya

Sasa kama Jaji msomi kabisa na Elimu yake eti anapigiwa simu kutoka juu aamue kesi kwa namna Serikali inavyotaka

Ajabu sana hii
Na ndiyo sababu 2020 watawala walikuwa na jeuri ya kuiba uchaguzi mkuu kwa ujumla wake, maana wanajua hakuna cha kuwafanya.
Hata mkienda mahakamani kudai ni hakuna kitu, kwa kuwa mahakama haipo huru, inaamua wanavyotaka
 
Kumuomba Mungu afanye miujiza tuondokane na hii laana ya state capture.
Hili
.https://www.jamiiforums.com/threads/nusura-ya-tanganyika-ni-anguko-la-ccm.2264411/
 
Kwanza state capture unayosema na umaiti tuliofikia suala la watu kuungana kubadiri mambo sahau kabsa.
Kwa sababu wanaotakiwa kuungana ndo tatizo lenyewe.
Njia pekee imebaki ni
1. Kanuni ya asili ya ubaya.
Ubaya una tabia ya kujivuruga maana ndan yake kuna ulafi na ubinafsi, roho mbaya, fitina na dhulma. Ujinga na upumbavu.
Kuna maslahi ya mmoja yataguswa watanukiana.
2. Kundi dogo sana la wenye maamuzi, weredi na malengo wakiamua kuondoa mmoja mmoja katika wadhalimu.
Wakiwa pamoja katika karamu hakuna wa kuwamudu.
Njia hii huondoa kiini cha tatizo once and for all
Hata hivyo jamii yenyewe ina tatizo kubwa zaidi ndo mana kila mmoja anawaza kuiba kama wao.
 

Kweli kabisa mkuu, ushauri wako ufanyiwe kazi
 

Kweli kabisa mkuu. Ni muda wa kuacha lawama na kuangalia reforms zitakazo ipeleka nchi mbele.
 
Na ndiyo sababu 2020 watawala walikuwa na jeuri ya kuiba uchaguzi mkuu kwa ujumla wake, maana wanajua hakuna cha kuwafanya.
Hata mkienda mahakamani kudai ni hakuna kitu, kwa kuwa mahakama haipo huru, inaamua wanavyotaka

Kweli kabisa mkuu. Uchaguzi mkuu wa 2020 ni mfano mzuri wa state capture.
 

Umeongea hoja ya msingi Sana. Tusubirie asili ichukue mkondo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…