Nani atatusaidia kuondoa 'state capture' Tanzania?

Nani atatusaidia kuondoa 'state capture' Tanzania?

Tanzania kwa sasa ni zaidi ya demu wa mtungo, kila mmoja anajipigia tu, kila mmoja anafikiria namna ya kujichotea mpunga kwa nafasi yake.
Hatuna msaada wa jeshi, hatuna msaada wa bunge wala mahakama.
Na kwa kuwa sisi wenyewe, tumeamua kunung'unikia moyoni, basi tuishi tu kila mmoja akisubiri nafasi yake, apige pesa, na kusubiri siku ya kufa.

Kweli kabisa mkuu.
 
Itaondolewa siku wananchi wote wakiondoa uoga.wakiamua kufanya maandamano yasiyo na kikomo kama walivyofanya Kenya,misiri au Tunisia.viongozi Huwa wanaogopa sana nguvu ya umma ikiamua kuwawajibisha.

Kweli kabisa mkuu
 
Kwa Sasa Tanzania ipo kwenye Hali ya state capture, baada ya serikali, vyombo vya Dola , mahakama na bunge kuwa kitu kimoja na kuondoa uwajibikaji. Leo bunge limeacha kazi yake ya kuisimamia serikali baadala yake limekuwa rubber stamp ya maamuzi ya serikali. Kwa mfano bunge la Tanzania limetumika kupokea wabunge wasiokuwa na chama au waliofukuzwa kwenye chama chao.

Ila kwa sababu ya state capture bunge linafanya maovu na hakuna wa kuligusa. Bunge kupitia Spika wake wameona suala la wananchi kutekwa sio la msingi kujadiliwa bungeni ila kumpongeza Rais Kwa hotuba yake ndio la muhimu zaidi.

Swali ni je, nani atasaidia tuondokkane na bunge la mchongo lililojaa machawa wa serikali wasiojua majukumu yao?.

Mahakama ndio imeoza kupindukia. Kuna kipindi Jaji Mkuu Ibrahim Juma alisema hadharani ya kwamba majaji watoe hukumu kwa kuangalia falsafa ya serikali.

Yani baadala ya mahakama kuwa huru na kufanya maamuzi stahiki, Jaji Mkuu anashauri majaji waangalie muelekeo wa serikali ni upi.

Jaji Mkuu mwenyewe alitakiwa kustaafu kwa mujibu wa Katiba ila kutokana na state capture aliongezewa muda kinyemela. Ndio maana Rostam Aziz alidai ya kwamba mahakama zetu zinapigiwa simu tu na kutoa maamuzi.

Swali ni nani atawasaidia wananchi waondokane na mahakama mbovu ya Tanzania?

Vyombo vya Dola navyo vinajiendesha under state capture.

Ndio maana mpaka Leo tunajikanyaga kuhusu nani anateka watu na kuwapoteza. Polisi hawajui, TISS hawajui na hata JWTZ hawajui. Sasa nani atawalinda wananchi dhidi ya utekaji . Leo Kuna wananchi jumla ya 89 wamepotezwa mpaka Leo ila kila mtu hajui wapi wapi. Yani raia anaondolewa kwenye basi na kuuawa na hakuna anayewajibika.

Inasikitisha sana. Kutokana na state capture wananchi watazidi kupotezwa na hata kuuawa bila ya msaada. Nani atawasaidia wananchi na huu ukatili?

Serikali imejaa dharau na kebehi. Waziri wa Fedha alifikia sehemu ya kusema asiyeridhika na tozo ya miamala ya simu ahamie Burundi. Kauli za dharau na kiburi maana hakuna wa kumwajibisha. Rais Samia akatoa Lugha ya dharau kwamba wanaotekwa wanajiteka wenyewe.

Na hakuishia hapo akaendelea kudai hata waliouawa kwenye matukio ya utekaji Vifo vyao ni vya kawaida. Yani kwake uhai wa raia ni kawaida tu. Anaongea hivyo maana state capture inamsaidia na hakuna uwajibikaji na hakuna atakalofanywa. Ni nani atatusaidia tuondokkane na Rais mwenye kiburi na dharau Kama huyu?

Leo Tanzania Tume ya Uchaguzi inaweza kuamua kuwapa CCM majimbo yote na hakuna atayeiwajibisha.

Leo watu wanaweza kuamka asubuhi na kwenda kuapishwa bungeni bila kuwa na chama na Wakaaapishwa.

Mimi nadhani Kuna njia nne za kuondokana na huu ufirauni wa state capture nchini Tanzania.

1. Katiba Mpya itakayoweka structures na uwajibikaji. Yani mtu akitekwa hadharani mchana akaenda kuuawa , RPC wa eneo lililotokea utekwaji anawajibika mwenyewe kwa kutochukua hatua. Juzi hapo Kenya IGP Msaidizi alihukumiwa miezi SITA jela kwa kudharau mahakama baada ya raia kupotea bila sababu. Pona yake wale raia wawili waliopotea walipatikana siku hiyo na yeye kuomba msamaha mahakama na kusamehewa.

2. Mass Uprising. Wananchi waanazishe maandamano nchi nzima kushinikiza kuoondka kwa state capture Tanzania. Hii kwa Tanzania itakuwa ngumu mpaka pale kila mmoja atakapoguswa .

3. Second Liberization movement. Hapa ni kuanzisha kikundi Cha uasi kuondoka state capture na kurudisha mamlaka kwa wananchi. Hii njia sio nzuri maana itapelekea vita na mauaji na mambo mengi kurudi nyuma.

4. Kumuomba Mungu afanye miujiza tuondokane na hii laana ya state capture.
Camera ipi hiyo yeneye kuchuku "cupture" state nzima?

leo naona umeamka na "kapcha" na "stecha". Ni mwendo wa ma cha cha cha tu.

Kondoo likitoka zizini na chafya, ujuwe siku nzima litapiga chafya tu.
 
Kwa Sasa Tanzania ipo kwenye Hali ya state capture, baada ya serikali, vyombo vya Dola , mahakama na bunge kuwa kitu kimoja na kuondoa uwajibikaji. Leo bunge limeacha kazi yake ya kuisimamia serikali baadala yake limekuwa rubber stamp ya maamuzi ya serikali. Kwa mfano bunge la Tanzania limetumika kupokea wabunge wasiokuwa na chama au waliofukuzwa kwenye chama chao.

Ila kwa sababu ya state capture bunge linafanya maovu na hakuna wa kuligusa. Bunge kupitia Spika wake wameona suala la wananchi kutekwa sio la msingi kujadiliwa bungeni ila kumpongeza Rais Kwa hotuba yake ndio la muhimu zaidi.

Swali ni je, nani atasaidia tuondokkane na bunge la mchongo lililojaa machawa wa serikali wasiojua majukumu yao?.

Mahakama ndio imeoza kupindukia. Kuna kipindi Jaji Mkuu Ibrahim Juma alisema hadharani ya kwamba majaji watoe hukumu kwa kuangalia falsafa ya serikali.

Yani baadala ya mahakama kuwa huru na kufanya maamuzi stahiki, Jaji Mkuu anashauri majaji waangalie muelekeo wa serikali ni upi.

Jaji Mkuu mwenyewe alitakiwa kustaafu kwa mujibu wa Katiba ila kutokana na state capture aliongezewa muda kinyemela. Ndio maana Rostam Aziz alidai ya kwamba mahakama zetu zinapigiwa simu tu na kutoa maamuzi.

Swali ni nani atawasaidia wananchi waondokane na mahakama mbovu ya Tanzania?

Vyombo vya Dola navyo vinajiendesha under state capture.

Ndio maana mpaka Leo tunajikanyaga kuhusu nani anateka watu na kuwapoteza. Polisi hawajui, TISS hawajui na hata JWTZ hawajui. Sasa nani atawalinda wananchi dhidi ya utekaji . Leo Kuna wananchi jumla ya 89 wamepotezwa mpaka Leo ila kila mtu hajui wapi wapi. Yani raia anaondolewa kwenye basi na kuuawa na hakuna anayewajibika.

Inasikitisha sana. Kutokana na state capture wananchi watazidi kupotezwa na hata kuuawa bila ya msaada. Nani atawasaidia wananchi na huu ukatili?

Serikali imejaa dharau na kebehi. Waziri wa Fedha alifikia sehemu ya kusema asiyeridhika na tozo ya miamala ya simu ahamie Burundi. Kauli za dharau na kiburi maana hakuna wa kumwajibisha. Rais Samia akatoa Lugha ya dharau kwamba wanaotekwa wanajiteka wenyewe.

Na hakuishia hapo akaendelea kudai hata waliouawa kwenye matukio ya utekaji Vifo vyao ni vya kawaida. Yani kwake uhai wa raia ni kawaida tu. Anaongea hivyo maana state capture inamsaidia na hakuna uwajibikaji na hakuna atakalofanywa. Ni nani atatusaidia tuondokkane na Rais mwenye kiburi na dharau Kama huyu?

Leo Tanzania Tume ya Uchaguzi inaweza kuamua kuwapa CCM majimbo yote na hakuna atayeiwajibisha.

Leo watu wanaweza kuamka asubuhi na kwenda kuapishwa bungeni bila kuwa na chama na Wakaaapishwa.

Mimi nadhani Kuna njia nne za kuondokana na huu ufirauni wa state capture nchini Tanzania.

1. Katiba Mpya itakayoweka structures na uwajibikaji. Yani mtu akitekwa hadharani mchana akaenda kuuawa , RPC wa eneo lililotokea utekwaji anawajibika mwenyewe kwa kutochukua hatua. Juzi hapo Kenya IGP Msaidizi alihukumiwa miezi SITA jela kwa kudharau mahakama baada ya raia kupotea bila sababu. Pona yake wale raia wawili waliopotea walipatikana siku hiyo na yeye kuomba msamaha mahakama na kusamehewa.

2. Mass Uprising. Wananchi waanazishe maandamano nchi nzima kushinikiza kuoondka kwa state capture Tanzania. Hii kwa Tanzania itakuwa ngumu mpaka pale kila mmoja atakapoguswa .

3. Second Liberization movement. Hapa ni kuanzisha kikundi Cha uasi kuondoka state capture na kurudisha mamlaka kwa wananchi. Hii njia sio nzuri maana itapelekea vita na mauaji na mambo mengi kurudi nyuma.

4. Kumuomba Mungu afanye miujiza tuondokane na hii laana ya state capture.
Baadhi ya Wananchi wenzetu ni Wananchi ni wanafiki mno,kushabikia hata ujinga uliopitiliza, angalia mtu kama lukasi Mwashambwa!Hapa kati Tundu Lissu alimlalamikia mbele ya Waandishi wa Habari na Wananchi Bashite,Yeye kaja huku na ngonjera za kumsifu mtu Huyo!Kuhusu katiba mpya hiyo ni kama ndoto, serikali iliyopo madarakani unajua itaangukia pua, Narudia Tena itaangukia pua.
 
Watanzania kabla ya kwenda mbele tunarudi nyuma wazee wetu walipambana tena hawakuwa hata na elim kumuondoa Mzungu.Lakini keo kuna baadhi ya viongozi nchi hii wanaona ni mali ya familia yao.Ajabu watanzania tumekua waoga ule ujasiri wa babu zetu imepotea tumekua km mashoga tumeukataa uanaume tunataka tuwe lege lege tu yaan kiongozi hata akiwa mwizi utasikia wanamsifia tu hakuna wa kukemea.
Akitokea wa kukemea anaitwa mhaini,anataka kuharibu amani ya nchi na mtz ilivyo mipumbavu inaitikia kweliiiiiii huyo katumwa na mabeberu ....Wengine tuna hasira hatupendi ufala tumeamua kukaa pembeni maana hata ukitaka kutetea watu yaaan wanakuona kituko ...dah ila sisi hata sokwe ana nafuu ni majingaaa kiwango cha juuu kabisa ...ninyamaze nitakuja kutukana bure inaumiza sana .Hasa nikiwaza kizazi changu nakiacha kwenye jamii ya kipuuzi ya uchawa na kusifu sifu tu upumbavu ...
 
Reforms ni matendo sio mdomo. Reforms zipi wakati anaita katiba kijitabu?. Reforms zingekuwepo watekaji wangekuwa wanawajibika. State capture imekuwa kubwa kipindi chake kuliko wakati mwingine.
MNAJICHETUA SIYO??KWAMBA REFORMS MNAJITIA HAMZIONI??UNATAKA KUMLAUMU YEYE KWA KATIBA,MBONA MWENDAZAKE ALISEMA SIYO KIPAOMBELE CHAKE NA MLIKAA KIMYA??

MIKUTANO YA VYAMA VYA SIASA NI HAKI KWA VYAMA VYOTE,BUT ILIKUWA BANNED,ILA SASA INAENDELEA KAMA KAWAIDA,HUONI HILO??

FREEDOM OF PRESS AND SPEECH ILISHAKUWA NI MWIKO,UNAJIFANYA HAUONI KWA SASA CHANGES??

KUBANWA KWA WAFANYABIASHARA NA KUDHULUMIWA WAKULIMA ILIKUWA NI KAWAIDA,UNATAKA KUJIFANYA HUONI CHANGES LEO??
 
MNAJICHETUA SIYO??KWAMBA REFORMS MNAJITIA HAMZIONI??UNATAKA KUMLAUMU YEYE KWA KATIBA,MBONA MWENDAZAKE ALISEMA SIYO KIPAOMBELE CHAKE NA MLIKAA KIMYA??

MIKUTANO YA VYAMA VYA SIASA NI HAKI KWA VYAMA VYOTE,BUT ILIKUWA BANNED,ILA SASA INAENDELEA KAMA KAWAIDA,HUONI HILO??

FREEDOM OF PRESS AND SPEECH ILISHAKUWA NI MWIKO,UNAJIFANYA HAUONI KWA SASA CHANGES??

KUBANWA KWA WAFANYABIASHARA NA KUDHULUMIWA WAKULIMA ILIKUWA NI KAWAIDA,UNATAKA KUJIFANYA HUONI CHANGES LEO??
Jina lako na ujinga wako haviendani,jiite kubwa jinga!
 
Alishaonya Humphrey Pole Pole katika yale masomo yake! sasa tufanyeje?
1728542290713.png

Hawa hapa je? Tuwafanyeje? Kama wameuoa kabisa pamoja na maushahidi yote bado wanazidisha ukandamizaji????
1728542232848.png
 
Sisi wote bado ni generesheni ya wagombania uhuru tu huwezi kumtofautisha Mwl nyerere na Samia iyo yote ni generesheni moja tu ktk historia ya nchi

Miaka 60 ktk historia ya nchi ni miaka midogo sana leo hii Mwl nyerere hayupo ila bado watu wanafanya maamuzi na kuchagua viongozi tokana na ushawishi wa Mwl nyerere aliouacha

Tujipe muda tuendelee kuombea matatizo kibao mybe yanaweza changia kukuza na kutukomaza akili mapema tukaona haja ya mabadiliko
 
Sisi wote bado ni generesheni ya wagombania uhuru tu huwezi kumtofautisha Mwl nyerere na Samia iyo yote ni generesheni moja tu ktk historia ya nchi

Miaka 60 ktk historia ya nchi ni miaka midogo sana leo hii Mwl nyerere hayupo ila bado watu wanafanya maamuzi na kuchagua viongozi tokana na ushawishi wa Mwl nyerere aliouacha

Tujipe muda tuendelee kuombea matatizo kibao mybe yanaweza changia kukuza na kutukomaza akili mapema tukaona haja ya mabadiliko
Jamaa kama una hoja vile! Lakini, kuna Vinchi ambayo tumepewa Uhuru wakati moja na ilichukuwa miaka 30 tu kufanya mageuzi makubwa, hapa kwetu shida ilianza wapi mpaka tukaishia huku?
 
Watanzania kabla ya kwenda mbele tunarudi nyuma wazee wetu walipambana tena hawakuwa hata na elim kumuondoa Mzungu.Lakini keo kuna baadhi ya viongozi nchi hii wanaona ni mali ya familia yao.Ajabu watanzania tumekua waoga ule ujasiri wa babu zetu imepotea tumekua km mashoga tumeukataa uanaume tunataka tuwe lege lege tu yaan kiongozi hata akiwa mwizi utasikia wanamsifia tu hakuna wa kukemea.
Akitokea wa kukemea anaitwa mhaini,anataka kuharibu amani ya nchi na mtz ilivyo mipumbavu inaitikia kweliiiiiii huyo katumwa na mabeberu ....Wengine tuna hasira hatupendi ufala tumeamua kukaa pembeni maana hata ukitaka kutetea watu yaaan wanakuona kituko ...dah ila sisi hata sokwe ana nafuu ni majingaaa kiwango cha juuu kabisa ...ninyamaze nitakuja kutukana bure inaumiza sana .Hasa nikiwaza kizazi changu nakiacha kwenye jamii ya kipuuzi ya uchawa na kusifu sifu tu upumbavu ...
Kuna kakaaangu moja baada ya kuniona nailalamikia jamii yetu juu ujinga uliokithiri aliniambia kuwapigania watz ni sawa na kupigia Mbuzi gitaa. Kwahiyo ndugu huumii pekeyako tupo wengi.
 
Back
Top Bottom