Nani atatusaidia kuondoa 'state capture' Tanzania?

Nani atatusaidia kuondoa 'state capture' Tanzania?

Itakuwa ni jembo linofaa endapo upinzani utaungana tena na kuweka kitu kama UKAWA ili kuwa na nguvu moja na sauti moja, kisha kutengeneza stratejia ya ushindi.
Mkuu, hili kwa sasa haliwezekani kwa kuwa ccm imejimilikisha 99.9% ya vyama vya upinzani. Muungano wa aina hiyo utaleta mamluki wa sisiemu kundini, na matokea yake yanajulikana.
Na ukifuatilia utagundua kuwa wanaopigia chapuo muungano wa vyama ni makada (a.k.a machawa), maana wanajua hii itawapa fursa ya kufanya yao
 
Wananchi Hatujitambui tupo busy na mpira na kubet.
Media nazo zimekuwa programmed kutwa nzima uchambuzi wa michezo, kusifu awamu iliyopo madarakani na kutangaza michezo ya kubahatisha.

Cha kufanya tuache woga na tujitambue.
Nchi ni yetu sote. Wananchi tukijitambua hakuna nguvu itakayoishinda nguvu ya umma.
 
Mkuu, hili kwa sasa haliwezekani kwa kuwa ccm imejimilikisha 99.9% ya vyama vya upinzani. Muungano wa aina hiyo utaleta mamluki wa sisiemu kundini, na matokea yake yanajulikana.
Na ukifuatilia utagundua kuwa wanaopigia chapuo muungano wa vyama ni makada (a.k.a machawa), maana wanajua hii itawapa fursa ya kufanya yao
Nakuelewa mkuu lakini penye nia pana njia.
 
Back
Top Bottom