Nani dalali Arusha? Natafuta nyumba ya kukaa

Nani dalali Arusha? Natafuta nyumba ya kukaa

Joke:
Just remember something in the retelling of the story of the farmer’s donkey that fell in the well: All the neighbors came to help the farmer when his ass fell into a deep hole. They worked diligently but to no avail so it was decided to simply bury the poor beast. So, all of the people took their shovels and started dumping dirt in the hole to bury the donkey. All present were shocked when eventually the donkey simply walked out of the hole having used the dirt as climbing steps. Moral? None at this point. After the donkey was clear he promptly went angrily to the farmer and kicked him in the ass. Then, being even more infuriated he went from one to the other of the shovelers and kicked them soundly as well. Why? Because it never pays to try to cover or bury your ass, my friends, for the donkey just MIGHT escape.

Hii joke inafuatiwa na maelezo ya Freemasons. Inasema modern Freemasonry ni Protestant na lengo lake ni kuupiga vita Ukatoliki.
 
Labda sihitaji kutafuta nyumba tena Arusha.
Jana nilikuwa nimetuma post kwa uchungu mkubwa ya matatizo niliyoyapata. JF wameifuta posti yangu baada ya dakika tano.
Kwa hiyo,nikafikiri dakika tano na nikaamua kuandika hiyo posti ya kutafuta apartment Arusha.
Hawa JF wana huruma sana. Kwa hiyo sasa wakaifuta posti yangu nikawa absolutely defenceless.
Lakini hidaya imepita usiku.

Jambo JF waliloona huruma kufanya,limefanywa na hidaya.
Yule mtu aliyekuwa ananisumbua yuko hospitali sasa hivi,na,in fact,mimi ndiye namuuguza.
Sitaki kuzungumza vibaya kuhusu watu ambao wako hospitali,but this is what happened.
 
Labda sihitaji kutafuta nyumba tena Arusha.
Jana nilikuwa nimetuma post kwa uchungu mkubwa ya matatizo niliyoyapata. JF wameifuta posti yangu baada ya dakika tano.
Kwa hiyo,nikafikiri dakika tano na nikaamua kuandika hiyo posti ya kutafuta apartment Arusha.
Hawa JF wana huruma sana. Kwa hiyo sasa wakaifuta posti yangu nikawa absolutely defenceless.
Lakini hidaya imepita usiku.

Jambo JF waliloona huruma kufanya,limefanywa na hidaya.
Yule mtu aliyekuwa ananisumbua yuko hospitali sasa hivi,na,in fact,mimi ndiye namuuguza.
Sitaki kuzungumza vibaya kuhusu watu ambao wako hospitali,but this is what happened.
Ongeza ongeza nyama
 
Sema mzee wangu wanakubania sana wale jamaa zako ambao kutwa kucha visanga haviishi
 
Labda sihitaji kutafuta nyumba tena Arusha.
Jana nilikuwa nimetuma post kwa uchungu mkubwa ya matatizo niliyoyapata. JF wameifuta posti yangu baada ya dakika tano.
Kwa hiyo,nikafikiri dakika tano na nikaamua kuandika hiyo posti ya kutafuta apartment Arusha.
Hawa JF wana huruma sana. Kwa hiyo sasa wakaifuta posti yangu nikawa absolutely defenceless.
Lakini hidaya imepita usiku.

Jambo JF waliloona huruma kufanya,limefanywa na hidaya.
Yule mtu aliyekuwa ananisumbua yuko hospitali sasa hivi,na,in fact,mimi ndiye namuuguza.
Sitaki kuzungumza vibaya kuhusu watu ambao wako hospitali,but this is what happened.
Andrew si uachage kulewa? Ama umeanza kuvuta bange?
 
Kwani pale kwa braza maeneo ya uzunguni hawezi kukupa hata rum moja??
 
Ongeza ongeza nyama
Yule mtu yuko hospitali. Nyumba yake imeangukiwa na mti usiku,kwa ajili ya upepo mkali,ukuta wa nyumba unebomoka. Sasa yule mtu nilikuwa Nate katika simu,kwa hiyo hali yake labda siyo mbaya sana.
Lakini kama jambo baya sana likimfika,nitaitwa "Black Magician". Hiyo sidhani kama itanisaidia kitu chochote.
 
Unataka mitaa ipi kama ni Moshono,Kijenge,Kimandolu njoo dm
 
Back
Top Bottom