Ni bora mkatudadavuliya ili tujue ni nani na kipi kinatofautisha udikteta.
Vipimo vitasaidia na kuwasaidia waamuzi wanapoamua ili watazamaji wasione kuna upendeleo.
Kuna mtu alimwita jamaa dikteta uchwara kisha akatoka baru ,sikuelewa hadi leo hajarudi ,nikimaanisha akimuogopa Dicteta au serikali ? Hapo ndipo lilipo suali ni mtu au serikali ?
Vipimo vitasaidia na kuwasaidia waamuzi wanapoamua ili watazamaji wasione kuna upendeleo.
Kuna mtu alimwita jamaa dikteta uchwara kisha akatoka baru ,sikuelewa hadi leo hajarudi ,nikimaanisha akimuogopa Dicteta au serikali ? Hapo ndipo lilipo suali ni mtu au serikali ?