ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Inajulikana African Lyon ndio walishuka daraja msimu huu lakini kumepita mkanganyiko mkubwa wa kutokua na uhakika anayeshuka anashuka na Nani kati ya stand na kagera sugar
Mwanzo ikasemwa kashuka Stand Mara Kagera mara tena Stand..... Tena jana nimesikia kagera anacheza play off kupigania abaki Tpl... Kwa kweli Tff sijawaelewa....
Mwanzo ikasemwa kashuka Stand Mara Kagera mara tena Stand..... Tena jana nimesikia kagera anacheza play off kupigania abaki Tpl... Kwa kweli Tff sijawaelewa....