Nani hasa anafanya maamuzi katika nchi hii ya Tanzania?

Nani hasa anafanya maamuzi katika nchi hii ya Tanzania?

busar

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
1,071
Reaction score
1,067
Asalaam,

Kila uchao maswali yanakuwa mengi bila majibu. Katika mijadala inayoendelea hasa hasa kuhusu bandari na mingine inayoanza kusikika kama TFS, TPDC, etc. Kuna eneo nimejaribu kuangalia kama limeongelewa sijaona. Kelele ni nyingi, uchungu ni mwingi, furaha ni kubwa, vijembe na tambo mbali mbali. Wako wanaolaumu na wanatoa sababu, wako wanao sifia na wanatoa sababu japo hawagusi vifungu ndani ya mkataba. Sasa swali la msingi: Je, NI NANI HASA HASA HUWA ANAFANYA MAAUZI JUU YA MASUALA MAZITO YA KIDOLA KAMA HAYA? Au ni Idara gani katika serikali, katika chama au katika bunge au taaisisi nyingine yoyote ile. Huyu mfanya maamuzi akijulikana akijulikana anaweza kuyafafanua haya.

Nimeona na kusikia haya majadiliano ya juzi akiwemo RA, Zitto, Jenerali na wengine wengi. Nao wamejaa vijembe, masengenyo na lugha tamu lkn kali kwa umma. Sijasikia mtu akihoji aliko mfanya maamuzi ya taifa hili, yaani walioamua na kuanza maongezi na hawa watia saini. Hawa wafanya maamuzi huwa wanamulikwa na kuangaliwa na nani au na chombo gani ili wasipige rushwa? Hicho chombo kama kipo kwanini hakijitokezi kuwasemea na kutetea? Kwanini kwanini kwanini kwanini?

Jambo la Pili

Nani hasa ni mlinzi wa hizi mali na rasilimali za taifa? Kwa kawaida huwa anazilinda kwa kutumia mbinu gani? Huyu mlinzi anasemaje juu ya usalama wa mali hizi, huyu mlinzi huwa analipwa na nani kuzilinda.?

Kwa maswali mengi ya namna hii najiuliza hivi Taifa hili lina yeyote anaelijua? Au lina yeyote anaejua linakoenda? Au bado wavumbuzi wanahangaika kulijua?

Mwisho

Hawa wanaoongea Wanasiasa, wapinga mkataba, Waunga mkono mkataba nani anatumia tumbo na nani anatumia akili? Au wote wako sehemu moja.

Tunendelee kujifunza
 
Ngoja tuone 😃
The Baptist hili ni swali la msingi sana. Kuwa na taifa ambalo haijulikani anaefanya maamuzi, haijulikani anaemlinda na kumsimimamia mfanya maamuzi, mfanya maamuzi hajuia adhabu anayoweza kupata akikosea au akila rushwa na mengine mengi basi hilo ni taifa la hovyo. Ni taifa lisilojua linachotaka


Sasa watanzania kila mmoja na kila mtu duniani amejua sisi ni wapumbavu.
 
Asalaam,

Kila uchao maswali yanakuwa mengi bila majibu. Katika mijadala inayoendelea hasa hasa kuhusu bandari na mingine inayoanza kusikika kama TFS, TPDC, etc. Kuna eneo nimejaribu kuangalia kama limeongelewa sijaona. Kelele ni nyingi, uchungu ni mwingi, furaha ni kubwa, vijembe na tambo mbali mbali. Wako wanaolaumu na wanatoa sababu, wako wanao sifia na wanatoa sababu japo hawagusi vifungu ndani ya mkataba. Sasa swali la msingi: Je, NI NANI HASA HASA HUWA ANAFANYA MAAUZI JUU YA MASUALA MAZITO YA KIDOLA KAMA HAYA? Au ni Idara gani katika serikali, katika chama au katika bunge au taaisisi nyingine yoyote ile. Huyu mfanya maamuzi akijulikana akijulikana anaweza kuyafafanua haya.

Nimeona na kusikia haya majadiliano ya juzi akiwemo RA, Zitto, Jenerali na wengine wengi. Nao wamejaa vijembe, masengenyo na lugha tamu lkn kali kwa umma. Sijasikia mtu akihoji aliko mfanya maamuzi ya taifa hili, yaani walioamua na kuanza maongezi na hawa watia saini. Hawa wafanya maamuzi huwa wanamulikwa na kuangaliwa na nani au na chombo gani ili wasipige rushwa? Hicho chombo kama kipo kwanini hakijitokezi kuwasemea na kutetea? Kwanini kwanini kwanini kwanini?

Jambo la Pili

Nani hasa ni mlinzi wa hizi mali na rasilimali za taifa? Kwa kawaida huwa anazilinda kwa kutumia mbinu gani? Huyu mlinzi anasemaje juu ya usalama wa mali hizi, huyu mlinzi huwa analipwa na nani kuzilinda.?

Kwa maswali mengi ya namna hii najiuliza hivi Taifa hili lina yeyote anaelijua? Au lina yeyote anaejua linakoenda? Au bado wavumbuzi wanahangaika kulijua?

Mwisho

Hawa wanaoongea Wanasiasa, wapinga mkataba, Waunga mkono mkataba nani anatumia tumbo na nani anatumia akili? Au wote wako sehemu moja.

Tunendelee kujifunza
Mlinda mali anajulikana , na hata wewe unamjua tu bila chenga chenga... ni yeye aliyeaapishwa ku- help, protect, defend the constituinon of the united repuclic-Katiba ya Tanzania . Sasa kaamua kafungulia zizi kwa wajomba zake na anataka watu waamuunge mkono kuwafungulia zizi wajomba zake... Ndio chanzo cha makelele yote haya. Na sijui ni kwa nini wajomba zake wasizire na wasepe.
 
Asalaam,

Kila uchao maswali yanakuwa mengi bila majibu. Katika mijadala inayoendelea hasa hasa kuhusu bandari na mingine inayoanza kusikika kama TFS, TPDC, etc. Kuna eneo nimejaribu kuangalia kama limeongelewa sijaona. Kelele ni nyingi, uchungu ni mwingi, furaha ni kubwa, vijembe na tambo mbali mbali. Wako wanaolaumu na wanatoa sababu, wako wanao sifia na wanatoa sababu japo hawagusi vifungu ndani ya mkataba. Sasa swali la msingi: Je, NI NANI HASA HASA HUWA ANAFANYA MAAUZI JUU YA MASUALA MAZITO YA KIDOLA KAMA HAYA? Au ni Idara gani katika serikali, katika chama au katika bunge au taaisisi nyingine yoyote ile. Huyu mfanya maamuzi akijulikana akijulikana anaweza kuyafafanua haya.

Nimeona na kusikia haya majadiliano ya juzi akiwemo RA, Zitto, Jenerali na wengine wengi. Nao wamejaa vijembe, masengenyo na lugha tamu lkn kali kwa umma. Sijasikia mtu akihoji aliko mfanya maamuzi ya taifa hili, yaani walioamua na kuanza maongezi na hawa watia saini. Hawa wafanya maamuzi huwa wanamulikwa na kuangaliwa na nani au na chombo gani ili wasipige rushwa? Hicho chombo kama kipo kwanini hakijitokezi kuwasemea na kutetea? Kwanini kwanini kwanini kwanini?

Jambo la Pili

Nani hasa ni mlinzi wa hizi mali na rasilimali za taifa? Kwa kawaida huwa anazilinda kwa kutumia mbinu gani? Huyu mlinzi anasemaje juu ya usalama wa mali hizi, huyu mlinzi huwa analipwa na nani kuzilinda.?

Kwa maswali mengi ya namna hii najiuliza hivi Taifa hili lina yeyote anaelijua? Au lina yeyote anaejua linakoenda? Au bado wavumbuzi wanahangaika kulijua?

Mwisho

Hawa wanaoongea Wanasiasa, wapinga mkataba, Waunga mkono mkataba nani anatumia tumbo na nani anatumia akili? Au wote wako sehemu moja.

Tunendelee kujifunza
Nchi hii haina utaratibu mzuri katika mambo mengi ni wakati wa kujenga utaratibu mzuri kwa kila jambo.
 
sasa wee hohehahe kusema ukweli ndo uropokaji? kwa nini mnapenda unafiki.
Huna ujualo... umejawa na chuki tu!

Mfano rahisi... "ufungue biashara wewe wa bara na jirani yako awe mpemba/mzanzibar na wote mfanye biashara inayofanana, alafu tuwape miaka mitatu ("3") tuone nani atakuwa mbali kibishara na kimafanikio"

Utasema wa visiwani wachawi 😂😂😂😂🙌🏾

Wale ni matajiri kwa taarifa yako kuzidi nyinyi mnaojinadi kwa maneno. Na hilo ndo linalowadumaza wengi mnakufa malofa kwa kupenda sifa za midomo zisizo na tija. Huo utajiri umekunufaisha nini wewe?!

Nenda basi Bulyang'ulu kule waambie wakupe kilo moja ya almasi ukauze uwe mdosi na wewe wakikuzuia anzisha tifu sema hizi ni mali zetu mimi ni mzawa nataka kutajirika nipeni ni haki yangu 😊
 
Asalaam,

Kila uchao maswali yanakuwa mengi bila majibu. Katika mijadala inayoendelea hasa hasa kuhusu bandari na mingine inayoanza kusikika kama TFS, TPDC, etc. Kuna eneo nimejaribu kuangalia kama limeongelewa sijaona. Kelele ni nyingi, uchungu ni mwingi, furaha ni kubwa, vijembe na tambo mbali mbali. Wako wanaolaumu na wanatoa sababu, wako wanao sifia na wanatoa sababu japo hawagusi vifungu ndani ya mkataba. Sasa swali la msingi: Je, NI NANI HASA HASA HUWA ANAFANYA MAAUZI JUU YA MASUALA MAZITO YA KIDOLA KAMA HAYA? Au ni Idara gani katika serikali, katika chama au katika bunge au taaisisi nyingine yoyote ile. Huyu mfanya maamuzi akijulikana akijulikana anaweza kuyafafanua haya.

Nimeona na kusikia haya majadiliano ya juzi akiwemo RA, Zitto, Jenerali na wengine wengi. Nao wamejaa vijembe, masengenyo na lugha tamu lkn kali kwa umma. Sijasikia mtu akihoji aliko mfanya maamuzi ya taifa hili, yaani walioamua na kuanza maongezi na hawa watia saini. Hawa wafanya maamuzi huwa wanamulikwa na kuangaliwa na nani au na chombo gani ili wasipige rushwa? Hicho chombo kama kipo kwanini hakijitokezi kuwasemea na kutetea? Kwanini kwanini kwanini kwanini?

Jambo la Pili

Nani hasa ni mlinzi wa hizi mali na rasilimali za taifa? Kwa kawaida huwa anazilinda kwa kutumia mbinu gani? Huyu mlinzi anasemaje juu ya usalama wa mali hizi, huyu mlinzi huwa analipwa na nani kuzilinda.?

Kwa maswali mengi ya namna hii najiuliza hivi Taifa hili lina yeyote anaelijua? Au lina yeyote anaejua linakoenda? Au bado wavumbuzi wanahangaika kulijua?

Mwisho

Hawa wanaoongea Wanasiasa, wapinga mkataba, Waunga mkono mkataba nani anatumia tumbo na nani anatumia akili? Au wote wako sehemu moja.

Tunendelee kujifunza
Katika nchi yetu kama zilivyo katika nchi zingine nyingi za kidikteta hapa duniani, mamlaka yote ya nchi yapo kwa watawala, hususani mtawala mkuu wa nchi husika pamoja na wafuasi au vibaraka wake, ingawaje utaratibu sahihi unaotakiwa ni kwamba mamlaka yote ya nchi yapo kwa umma wa wananchi ktk nchi husika..
Katika nchi chache ambazo watu wake wamestaarabika, na hata watawala na utawala wao umestaarabika pia, mamlaka ya nchi husika yapo zaidi kwa wananchi. Wananchi walio wengi ndio wenye maamuzi ya mwisho kuhusu mustakabali wa nchi yao.
 
Umeshawahi kuona wale madereva mahiri wanaotingisha wakifika Ilula bila kujua huko kitinga kuko vizuri na bila hata kukagua Kama breki zinafanya kazi au laa.
Sisi tumezima engine kabisa na kutoa switch.
 
Huna ujualo... umejawa na chuki tu!

Mfano rahisi... "ufungue biashara wewe wa bara na jirani yako awe mpemba/mzanzibar na wote mfanye biashara inayofanana, alafu tuwape miaka mitatu ("3") tuone nani atakuwa mbali kibishara na kimafanikio"

Utasema wa visiwani wachawi 😂😂😂😂🙌🏾

Wale ni matajiri kwa taarifa yako kuzidi nyinyi mnaojinadi kwa maneno. Na hilo ndo linalowadumaza wengi mnakufa malofa kwa kupenda sifa za midomo zisizo na tija. Huo utajiri umekunufaisha nini wewe?!

Nenda basi Bulyang'ulu kule waambie wakupe kilo moja ya almasi ukauze uwe mdosi na wewe wakikuzuia anzisha tifu sema hizi ni mali zetu mimi ni mzawa nataka kutajirika nipeni ni haki yangu 😊
Povu lote la nini wee mla urojo, zanzibar hakuna bandari za kuuza?
 
Mwanamke ni rahisi kumlaghai. Tangu maza aalikwe kwenye ile dinner kule uarabuni mambo si mambo. Jamaa walimsainisha makubaliano kibao, sidhani hata kama mwanasheria mkuu wa serikali alipata nafasi ya kuona hayo makubaliano.

Sasa kazi inaanza kuwa ngumu kwenye utekelezaji kwasababu mengi ya makubaliano hayo ni ya hovyo. Kwenye hili wa kulaumiwa ni yeye mwenyewe na watu wake waliobebana kwenda Dubai na kusaini makaratasi baada ya kuwa 'wined and dined'.
 
Mwanamke ni rahisi kumlaghai. Tangu maza aalikwe kwenye ile dinner kule uarabuni mambo si mambo. Jamaa walimsainisha makubaliano kibao, sidhani hata kama mwanasheria mkuu wa serikali alipata nafasi ya kuona hayo makubaliano.

Sasa kazi inaanza kuwa ngumu kwenye utekelezaji kwasababu mengi ya makubaliano hayo ni ya hovyo. Kwenye hili wa kulaumiwa ni yeye mwenyewe na watu wake waliobebana kwenda Dubai na kusaini makaratasi baada ya kuwa 'wined and dined'.
Kusema ukweli bimaza lazima walimpa pombe ndo wakamsainisha hii mikataba ambayo kichaa tu ndo anaweza kukubali
 
Asalaam,

Kila uchao maswali yanakuwa mengi bila majibu. Katika mijadala inayoendelea hasa hasa kuhusu bandari na mingine inayoanza kusikika kama TFS, TPDC, etc. Kuna eneo nimejaribu kuangalia kama limeongelewa sijaona. Kelele ni nyingi, uchungu ni mwingi, furaha ni kubwa, vijembe na tambo mbali mbali. Wako wanaolaumu na wanatoa sababu, wako wanao sifia na wanatoa sababu japo hawagusi vifungu ndani ya mkataba. Sasa swali la msingi: Je, NI NANI HASA HASA HUWA ANAFANYA MAAUZI JUU YA MASUALA MAZITO YA KIDOLA KAMA HAYA? Au ni Idara gani katika serikali, katika chama au katika bunge au taaisisi nyingine yoyote ile. Huyu mfanya maamuzi akijulikana akijulikana anaweza kuyafafanua haya.

Nimeona na kusikia haya majadiliano ya juzi akiwemo RA, Zitto, Jenerali na wengine wengi. Nao wamejaa vijembe, masengenyo na lugha tamu lkn kali kwa umma. Sijasikia mtu akihoji aliko mfanya maamuzi ya taifa hili, yaani walioamua na kuanza maongezi na hawa watia saini. Hawa wafanya maamuzi huwa wanamulikwa na kuangaliwa na nani au na chombo gani ili wasipige rushwa? Hicho chombo kama kipo kwanini hakijitokezi kuwasemea na kutetea? Kwanini kwanini kwanini kwanini?

Jambo la Pili

Nani hasa ni mlinzi wa hizi mali na rasilimali za taifa? Kwa kawaida huwa anazilinda kwa kutumia mbinu gani? Huyu mlinzi anasemaje juu ya usalama wa mali hizi, huyu mlinzi huwa analipwa na nani kuzilinda.?

Kwa maswali mengi ya namna hii najiuliza hivi Taifa hili lina yeyote anaelijua? Au lina yeyote anaejua linakoenda? Au bado wavumbuzi wanahangaika kulijua?

Mwisho

Hawa wanaoongea Wanasiasa, wapinga mkataba, Waunga mkono mkataba nani anatumia tumbo na nani anatumia akili? Au wote wako sehemu moja.

Tunendelee kujifunza
Hili Taifa la Tanzania kwa sasa ni sawa na Gari lisilokuwa na dereva., Ndege isiyokuwa na rubani, Meli isiyokuwa na nahodha, shamba la matunda lisilokuwa na mwenyewe. Kila kukicha tumesaini mikataba abc, daah mnaisoma mda gani jaman., au ndio kama kale kawimbo kao waleee chenye kibwagizo cha "SISIEM MBELE KWA MBELEEEE"
 
Mwanamke ni rahisi kumlaghai. Tangu maza aalikwe kwenye ile dinner kule uarabuni mambo si mambo. Jamaa walimsainisha makubaliano kibao, sidhani hata kama mwanasheria mkuu wa serikali alipata nafasi ya kuona hayo makubaliano.

Sasa kazi inaanza kuwa ngumu kwenye utekelezaji kwasababu mengi ya makubaliano hayo ni ya hovyo. Kwenye hili wa kulaumiwa ni yeye mwenyewe na watu wake waliobebana kwenda Dubai na kusaini makaratasi baada ya kuwa 'wined and dined'.
Wanajaribu kupooza mambo kwa kusema yale ni makubaliano, MoU au agreements. Kama ni makubaliano yanatakiwa yataje tu maeneo ya makubaliano na mambo yanayotakiwa kutekelezwa. Haiwezekani makubaliano yawe na binding terms ikiwemo kuweka vifungu vya kuzuia mkataba kuvunjwa ili hali hayo ni makubaliano.​
 
Kwa maswali mengi ya namna hii najiuliza hivi Taifa hili lina yeyote anaelijua? Au lina yeyote anaejua linakoenda? Au bado wavumbuzi wanahangaika kulijua?

Mwisho

Hawa wanaoongea Wanasiasa, wapinga mkataba, Waunga mkono mkataba nani anatumia tumbo na nani anatumia akili? Au wote wako sehemu moja.

Tunendelee kujifunza
Kama ni maamuzi yenye nia njema maamuzi hupitia kwenye baraza la mawaziri lakini kama magumashi basi ni hao wasio na maadili
 
Back
Top Bottom