Nani hasa anafanya maamuzi katika nchi hii ya Tanzania?

Nani hasa anafanya maamuzi katika nchi hii ya Tanzania?

Asalaam,

Kila uchao maswali yanakuwa mengi bila majibu. Katika mijadala inayoendelea hasa hasa kuhusu bandari na mingine inayoanza kusikika kama TFS, TPDC, etc. Kuna eneo nimejaribu kuangalia kama limeongelewa sijaona. Kelele ni nyingi, mkataba, Waunga mkono mkataba nani anatumia tumbo na nani anatumia akili? Au wote wako sehemu moja.

Tunendelee kujifunza
Watu washasema msoga hadi tumechoka, hatujui kama wanasema ukweli au uongo.
 
Back
Top Bottom