Nani hasa anaimiliki na kuitawala dunia tunayoishi?

Nani hasa anaimiliki na kuitawala dunia tunayoishi?

twende step by step....kabla sijakujibu naomba unijibu ili nikueleze vizuri kwa kufuata point ya swali lako....naomba unambie kama inawezekana kupima intensity ya maumivu ya mtu kama akiumia huku akiwa hai...!!

kaka mbona unazunguka sana...unahitaji kujua maumivu basi jibu kwanza kama inawezekana kujua maumuvu ya mtu akiwa hai kwanza...nitakujibu ukijibu hili swali

Daah,wewe ndi unazunguka mzee,kama unajibu na unaniuliza mimi swali kwanza ili uweze kunijibu,hii ni ishara ya kuwa huna jibu na wewe ndio unae poteza muda.

Kwa kuzingatia adabu za uulizaji maswali na ujibuji wa maswali hapa sitakiwi kujibu swali lako kabla ya wewe kujibu swali langu,kwani kujibu kwangu swali lako kutapelekea haya :

1. Kitafuta pa kutokea kutokana na jibu nitakalo kupa au

2. Kuleta udanganyifu juu ya swali nililo kuuliza.

Sasa basi wewe jibu swalo langu kwanza kisha na mimi nijibu swalo lako. Swali lako ni rahisi sana.
 
usihame maada yetu....unataka kujua maumivu ya mtu anayekata roho....is it possible to measure the pain intensity ya maumivu kwanza...kama inawezekana au haiwezekani sema halafu nitakuelewesha mimi...make nahitaji kujua who person are you deeply kwenye mambo haya...

Sijahama mada na huwa sina tabia,hapa nilishangazwa na kituko hiki ndio maana nikadema chochote.

Tirudi kwenye mjadala wetu.
 
Daah,wewe ndi unazunguka mzee,kama unajibu na unaniuliza mimi swali kwanza ili uweze kunijibu,hii ni ishara ya kuwa huna jibu na wewe ndio unae poteza muda.

Kwa kuzingatia adabu za uulizaji maswali na ujibuji wa maswali hapa sitakiwi kujibu swali lako kabla ya wewe kujibu swali langu,kwani kujibu kwangu swali lako kutapelekea haya :

1. Kitafuta pa kutokea kutokana na jibu nitakalo kupa au

2. Kuleta udanganyifu juu ya swali nililo kuuliza.

Sasa basi wewe jibu swalo langu kwanza kisha na mimi nijibu swalo lako. Swali lako ni rahisi sana.
Hata yesu alikuwa akiulizwa swali anauliza swali kisha mwenyewe unapata jibu kutokana naswali uliloulizwa we jibu swali kwanza.
 
Daah,wewe ndi unazunguka mzee,kama unajibu na unaniuliza mimi swali kwanza ili uweze kunijibu,hii ni ishara ya kuwa huna jibu na wewe ndio unae poteza muda.

Kwa kuzingatia adabu za uulizaji maswali na ujibuji wa maswali hapa sitakiwi kujibu swali lako kabla ya wewe kujibu swali langu,kwani kujibu kwangu swali lako kutapelekea haya :

1. Kitafuta pa kutokea kutokana na jibu nitakalo kupa au

2. Kuleta udanganyifu juu ya swali nililo kuuliza.

Sasa basi wewe jibu swalo langu kwanza kisha na mimi nijibu swalo lako. Swali lako ni rahisi sana.
you are not seriuz at ol.....kabisaa....yani unamuliza mtu kuwa kipindi kimeisha wakati ili mtu akujibu inabidi akuilize kwanza kuwa ni kweli ulitangaziwa kuwa leo kutakuwa na kipindi na hamna ...?? halafu unakomaaa akujibu kuwa kipindi kimeisha au hakikuisha...


yani ukiona hivo basi jibu lako lipo ndani ya swali langu.

.

huwezi ukaquestion results bila kuconsider posibility....

Yani unapaswa uwe na uhakika kwanza kama maumivu yapo au hayapo theni nitakujibu.
..

Unauliza naweza kukueleza maimivu ya mtu anayekata roho wakati umeshindwa kudhibitisha maumivu ya kawaida yanapimwa au hayapimwi....
 
Hata yesu alikuwa akiulizwa swali anauliza swali kisha mwenyewe unapata jibu kutokana naswali uliloulizwa we jibu swali kwanza.

Sio kila swali linajibiwa kwa swali mzee. Ni sawa sawa na wewe nikuulize swali. "Jina lako nani ?". Kisha na wewe unijibu kwa kuniuliza swali "Kwani wewe unaitwa nani ?" Hiki kinakuwa ni kituko.

Sasa usiwe unaishia tu kusema mbona Yesu alikuwa anajibu swali kwa swali. Swali la msingi ni je maswalo gani alikuwa anayajibu kwa swali. Hivi ndio wale wenye akili salama wana ng'amua mambo,huwa wanafikiria zaidi.

Nipo ...
 
Sijahama mada na huwa sina tabia,hapa nilishangazwa na kituko hiki ndio maana nikadema chochote.

Tirudi kwenye mjadala wetu.
nimekwambia hivi nitakujibu ila naomba unambie is it posible to measure the intensity of pain katika hali ya kawaida...??

labda nikurahisishie....unaweza pima neuronal firing rate katika Somatic impulse transfer kwenda kwenye central nervous system via sensory carry out....? labda nitakuwa nimekurahisishia ...
 
Sio kila swali linajibiwa kwa swali mzee. Ni sawa sawa na wewe nikuulize swali. "Jina lako nani ?". Kisha na wewe unijibu kwa kuniuliza swali "Kwani wewe unaitwa nani ?" Hiki kinakuwa ni kituko.

Sasa usiwe unaishia tu kusema mbona Yesu alikuwa anajibu swali kwa swali. Swali la msingi ni je maswalo gani alikuwa anayajibu kwa swali. Hivi ndio wale wenye akili salama wana ng'amua mambo,huwa wanafikiria zaidi.

Nipo ...
Kwani hilo alokuuliza lina ugumu gani si umjibu au unaleta ubishi wa simba yanga? au kama hujui mwambie sijui alafu yeye akupe jibu, simple tu.
 
you are not seriuz at ol.....kabisaa....yani unamuliza mtu kuwa kipindi kimeisha wakati ili mtu akujibu inabidi akuilize kwanza kuwa ni kweli ulitangaziwa kuwa leo kutakuwa na kipindi na hamna ...?? halafu unakomaaa akujibu kuwa kipindi kimeisha au hakikuisha...


yani ukiona hivo basi jibu lako lipo ndani ya swali langu.

.

huwezi ukaquestion results bila kuconsider posibility....

Yani unapaswa uwe na uhakika kwanza kama maumivu yapo au hayapo theni nitakujibu.
..

Unauliza naweza kukueleza maimivu ya mtu anayekata roho wakati umeshindwa kudhibitisha maumivu ya kawaida yanapimwa au hayapimwi....

Nacheka sana japokuwa sipaswi kucheka. Akili mmepewa lakini hamzitumii kwazo. Mpaka nimekuuliza kuhusu maumivu ujue yapo. Sasa tusipoteze muda unajibu swali au limekushinda ? Kiri.

Huwa najitahidi sana kuwa muadilifu ninapojadiliana na watu kama nyinyi ili kuepuka kuwadhulumu.

Nahitimisha,nilikuuliza swali la maumivu ili kudhihirisha ujinga na wala sikutarajia majibu kutoka kwako sababu uwezo huna wala hamnakuwa nao.

Nipo....
 
Kwanza mimi kitabu changu ni Qur'an,hapa nakuweka sawa.

Pili,yule wa google sikumjibu sababu niliona yuko mbali sana vitabu,kwa wanao jua umuhimu wa hard copy dhidi ya soft copy wanajua,kwahiyo ile haikuwa mada ya kupoteza muda.
wewe sikia ni kwambie kitu....aliyekwambia kuwa hard copy ina umuhimu wake nani ....??

kwamba material yako tofauti....?? yani wakati mwingine unapinga mambo ambayo hujui chochote am sure ndo mana wanakupotezea tu....hapa nimekubana kidogo tu toa utofauti kati ya hardcopy na soft copy katika kusoma content zake...!!kwa hiyo amazon wanauza vitabu kwa soft copy ni wapuuzi hadi watoe hardcipy..na ipi njia bora ya kuuza vitabu au ipi njia bora ya kumfikishia msomoji kitabu kwa haraka zaid kati ya soft na hardcipy...??..

Hujui na hilo ndo mana unabisha mambo ambayo huyaelewi...
 
Kwani hilo alokuuliza lina ugumu gani si umjibu au unaleta ubishi wa simba yanga? au kama hujui mwambie sijui alafu yeye akupe jibu, simple tu.

Sasa kwanini yeye asijibu swali nililo muuliza masiku kadhaa nyuma na hapa nimemkumbusha tu.

Mwambie ajibu swali langu na asipoteze muda.


Wewe naona umenielewa na mimi huwa sibishani kaka,nikiona huelewi huwa nafanya shughuli zangu.

Hapa hatufutwi mshindi nani.
 
Nacheka sana japokuwa sipaswi kucheka. Akili mmepewa lakini hamzitumii kwazo. Mpaka nimekuuliza kuhusu maumivu ujue yapo. Sasa tusipoteze muda unajibu swali au limekushinda ? Kiri.

Huwa najitahidi sana kuwa muadilifu ninapojadiliana na watu kama nyinyi ili kuepuka kuwadhulumu.

Nahitimisha,nilikuuliza swali la maumivu ili kudhihirisha ujinga na wala sikutarajia majibu kutoka kwako sababu uwezo huna wala hamnakuwa nao.

Nipo....
sasa mbona unakimbilia kuhitimisha kuwa siwezi kukujibu...?? ha ha ha daaa we jamaaa ni schizoaffective kinyama ....

unafikilia kuandika makala ndefu ndo kumkomoa mtu...we look the content inside kama zina tale na unachouliza....

kama unajua maumivu yapo basi jibu kuwa tunaweza pima au hatuwezi theni nitakupa majibu ya maumivu hayo...kwa sababu unahitaji kujua kiwango cha maumivu wakatu hujasema kama yanaweza pimwa au laaàa....

mimi nimekurahisishia kuwa unaweza pima maumivu ya mtu akiwa hai...?? sasa kama unaweza pima sema kwamba ndio tunaweza pima au hatuwezi pima....kila mtu anajua nini maana ya maumivu hakuna mtu anayekataaa...swali ni kujibu kuwa tunaweza kupima ya mtu akiwa hai au haiwezekani ?? halafu nitakujibu quantity ya maumivu ya mtu anayekata roho..
 
Sasa kwanini yeye asijibu swali nililo muuliza masiku kadhaa nyuma na hapa nimemkumbusha tu.

Mwambie ajibu swali langu na asipoteze muda.


Wewe naona umenielewa na mimi huwa sibishani kaka,nikiona huelewi huwa nafanya shughuli zangu.

Hapa hatufutwi mshindi nani.
umesema yapo maumivu....??jibu shortly kuwa inawezekana kupima maumivu ya mtu akiumia akiwa hai halafu mimi nitakujibu hayo maumivu ya mtu akiwa anakata roho....

punguza kutetema nitakujibu vizuri but i want to know who person of a type are you...?

kwa sababu unauliza vitu ambavyo unadhani kila mtu hawezi kukujibu kwa sababu uwezo wako side way umeishia hapo...
 
wewe sikia ni kwambie kitu....aliyekwambia kuwa hard copy ina umuhimu wake nani ....??

kwamba material yako tofauti....?? yani wakati mwingine unapinga mambo ambayo hujui chochote am sure ndo mana wanakupotezea tu....hapa nimekubana kidogo tu toa utofauti kati ya hardcopy na soft copy katika kusoma content zake...!!kwa hiyo amazon wanauza vitabu kwa soft copy ni wapuuzi hadi watoe hardcipy..na ipi njia bora ya kuuza vitabu au ipi njia bora ya kumfikishia msomoji kitabu kwa haraka zaid kati ya soft na hardcipy...??..

Hujui na hilo ndo mana unabisha mambo ambayo huyaelewi...

Tatizo uaegemea sana kwenye maslahi ya kushikika kuliko elimu.

Suala la hard copy na soft copy sio mjadala na kama hujaona umuhimu wa hard copy dhidi ya soft copy utakuwa hujihusishi na usomaji,hard copy ni bora pakubwa sana kuliko soft copy kwanza kiafya na faida za kihisia nyingine na mfano wake.

Huu sio mjadala kaka na hatupaswi kupoteza muda kuzungumzia hard copy na soft copy,umuhimu wa hard copy ni maarufu sana kama ulivyo umaarufu wa kifo kwa binadamu.
 
sasa mbona unakimbilia kuhitimisha kuwa siwezi kukujibu...?? ha ha ha daaa we jamaaa ni schizoaffective kinyama ....

unafikilia kuandika makala ndefu ndo kumkomoa mtu...we look the content inside kama zina tale na unachouliza....

kama unajua maumivu yapo basi jibu kuwa tunaweza pima au hatuwezi theni nitakupa majibu ya maumivu hayo...kwa sababu unahitaji kujua kiwango cha maumivu wakatu hujasema kama yanaweza pimwa au laaàa....

mimi nimekurahisishia kuwa unaweza pima maumivu ya mtu akiwa hai...?? sasa kama unaweza pima sema kwamba ndio tunaweza pima au hatuwezi pima....kila mtu anajua nini maana ya maumivu hakuna mtu anayekataaa...swali ni kujibu kuwa tunaweza kupima ya mtu akiwa hai au haiwezekani ?? halafu nitakujibu quantity ya maumivu ya mtu anayekata roho..

Katika maswali marahisi niliyo wahi kuuliza mtu ni hili la maumivu ya roho inapotoka.

Nimehitimisha sababu nilikuwa nataka nikuonyeshe kwamba kuna mambo bina damu yako nje ya uwezo wetu,kwa mwenye akili salama hili halipingi.

Sasa swali dogo kama hilo unazunguka mara ooh,uniambie nijibu swali kupima maumivu. Hiki ni kituko kingine,kukujibu kwangu mimi swali lako hakutabadilisha ukweli wa kwamba swali hilo huwezi kujibu.

Sasa nini cha ziada unachotaka juu ya hiki tunacho kijadili ?
 
Tatizo uaegemea sana kwenye maslahi ya kushikika kuliko elimu.

Suala la hard copy na soft copy sio mjadala na kama hujaona umuhimu wa hard copy dhidi ya soft copy utakuwa hujihusishi na usomaji,hard copy ni bora pakubwa sana kuliko soft copy kwanza kiafya na faida za kihisia nyingine na mfano wake.

Huu sio mjadala kaka na hatupaswi kupoteza muda kuzungumzia hard copy na soft copy,umuhimu wa hard copy ni maarufu sana kama ulivyo umaarufu wa kifo kwa binadamu.
you are not seriuz kabsaa we ajamaa....sema kuwa mazingira ukiyokulia ulikuwa unasoma hardcopy snaa...nchi zingine wanacheza na soft copy lakini watu wanaelewa na mfumo wa elimu kwa kuruhusu watu wakasome vitabu unaelekea kufutwa kwa baadhi ya nchi duniani lakini maarifa bado yanazidi kushika kasi...sema mazingira kaka uliyokulia na kupata elimu yako ndo yanayokusumbua na kukufanya uuanze kusifia hardcopy kuwa ni bora zaidi...

Yani ni sawa sawa na maskini anayeshindia dagaaaa kwa kuzisifia kuwa zina calcium na madini ya kutosha kuliko nyama....hiyo yote ni kukosa a well balanced diet mkuu ...hata wew hatukushangai sana..


By the way umeshindwa kujibu kama inawezekana kupima intensity ya maumivu kwa mtu wa kawaida ili hali nikujibu swali lako...ok any way hiyo ndo tofauti ya unachokiuliza bila kujua majibu yake kwa sababu unakuwa umekalili wanaokujibu...
 
umesema yapo maumivu....??jibu shortly kuwa inawezekana kupima maumivu ya mtu akiumia akiwa hai halafu mimi nitakujibu hayo maumivu ya mtu akiwa anakata roho....

punguza kutetema nitakujibu vizuri but i want to know who person of a type are you...?

kwa sababu unauliza vitu ambavyo unadhani kila mtu hawezi kukujibu kwa sababu uwezo wako side way umeishia hapo...

Hapa nakusaidia mimi ni yule mja dhaifu sana ninayetegemea kutoka kwa Mola mlezi,mimi ni mja ambaye kwangu mimi ubabaishaji na ubahatishaji ni mwiko na ni makapi. Mimi ni yule ambaye nina jua nini maana ya elimu na ni nini ukweli.

Mimi ni yule ambae kusema "sijui" ni nusu ya elimu,na mimi ni yule ambae dipelekwi na hisia.

Na mimi ni yule ambae ninaichukua haki popote ilipo.

Jibu swali mzee,na hapa kuna maswali kama matatu sijakuuliza juu ya maumivu na sikuulizi sababu najua huna uwezo wa kujibu.

Nipo ...
 
Katika maswali marahisi niliyo wahi kuuliza mtu ni hili la maumivu ya roho inapotoka.

Nimehitimisha sababu nilikuwa nataka nikuonyeshe kwamba kuna mambo bina damu yako nje ya uwezo wetu,kwa mwenye akili salama hili halipingi.

Sasa swali dogo kama hilo unazunguka mara ooh,uniambie nijibu swali kupima maumivu. Hiki ni kituko kingine,kukujibu kwangu mimi swali lako hakutabadilisha ukweli wa kwamba swali hilo huwezi kujibu.

Sasa nini cha ziada unachotaka juu ya hiki tunacho kijadili ?
shit......unataka kujua kiwango cha maivu ili hali hutaki kusema maumivu yanaweza pimwa au laaah....

Yani sijui sehemu gani hujaelewa wew jamaaa....unahitaji kujua maumivu ...umeulizwa kuwa inawezekana kuyapima maumivu ya kawaida kabla hujafika huko kwenye kifo....??

usikalili kuwa siwezi kukujibu...hiyo ni kwa sababu unakalili ....yani elimu yako ni measurable aise...ww can detect your finite knowlege aise...kama huwezi kusema shortly basi hujui unachohoji...
 
you are not seriuz kabsaa we ajamaa....sema kuwa mazingira ukiyokulia ulikuwa unasoma hardcopy snaa...nchi zingine wanacheza na soft copy lakini watu wanaelewa na mfumo wa elimu kwa kuruhusu watu wakasome vitabu unaelekea kufutwa kwa baadhi ya nchi duniani lakini maarifa bado yanazidi kushika kasi...sema mazingira kaka uliyokulia na kupata elimu yako ndo yanayokusumbua na kukufanya uuanze kusifia hardcopy kuwa ni bora zaidi...

Yani ni sawa sawa na maskini anayeshindia dagaaaa kwa kuzisifia kuwa zina calcium na madini ya kutosha kuliko nyama....hiyo yote ni kukosa a well balanced diet mkuu ...hata wew hatukushangai sana..


By the way umeshindwa kujibu kama inawezekana kupima intensity ya maumivu kwa mtu wa kawaida ili hali nikujibu swali lako...ok any way hiyo ndo tofauti ya unachokiuliza bila kujua majibu yake kwa sababu unakuwa umekalili wanaokujibu...

Sio "Umekalili" sahihi ni "Umekariri".

Kaka elimu haiongopi na hivi ndivyo mnavyoaibika msio jua maana ya usomaji.

Sasa wewe sababu umeshindwa kujibu swali langu rahisi,nataka nikupe elimu juu ya maumivu japo kwa uchache na salamu hizi uwafikishie wakubwa wako.

Maumivu yako ya aina mbili,na hili najua ulikuwa hulijui.

Kuna maumivu ya :

1. Kihisia na

2. Kimaana.

Nipo ....!

Je unajua wewe unazungumzia maumivu yapi ?
 
Back
Top Bottom