shit......unataka kujua kiwango cha maivu ili hali hutaki kusema maumivu yanaweza pimwa au laaah....
Yani sijui sehemu gani hujaelewa wew jamaaa....unahitaji kujua maumivu ...umeulizwa kuwa inawezekana kuyapima maumivu ya kawaida kabla hujafika huko kwenye kifo....??
usikalili kuwa siwezi kukujibu...hiyo ni kwa sababu unakalili ....yani elimu yako ni measurable aise...ww can detect your finite knowlege aise...kama huwezi kusema shortly basi hujui unachohoji...
Hapa kwangu lazima utakaa sawa tu.
Nimeamua kukufundisha sasa.