SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Siku hizi ni mafumboo umechoka kitu mwanamke
Kama hamsitiriki? unaolewa na Hamisi kumbe moyo wako uko kwa shabaniMimi nataka kuwaambiwa jf kuwa ndoa ni heshima jamani oeni , maana wanaume wanadai wamechoka kusitiri wenzie .
Jamani tusitirini kwani tatizo liko wapi??
Kwanini usijaribu kuangalia kama mtu anakupenda mpe testKama hamsitiriki? unaolewa na Hamisi kumbe moyo wako uko kwa shabani
Kipi hichooWewe
Nakwambia jioe mwenyewe.
Acha kushauri watu kujivisha kitanzi cha kifo
Kwani hujui kama kuna kufake?Kwanini usijaribu kuangalia kama mtu anakupenda mpe test
Mie nakujua tu nakuishi nawewe kofake huwezi nidanganya na huu umri kwangu mie najuaKwani hujui kama kuna kufake?
Wambiie bibieTafuta wa kufanana nawe, size yako. Malalamiko yatapungua
Ndoa tamu
Kipi hichoo
Aaah acha tu, malalamiko hayaishi sababu watu wanaparamia wasivyoweza, au wanaweza kwa kujikakamua sana. Mapenzi sio vitaWambiie bibie
TrueAaah acha tu, malalamiko hayaishi sababu watu wanaparamia wasivyoweza, au wanaweza kwa kujikakamua sana. Mapenzi sio vita
moyo wa mwanadamu ni kiza Kunene mkuu usijiaminisheMie nakujua tu nakuishi nawewe kofake huwezi nidanganya na huu umri kwangu mie najua
Niitie financial services nimwambie kituMimi nataka kuwaambiwa jf kuwa ndoa ni heshima jamani oeni , maana wanaume wanadai wamechoka kusitiri wenzie .
Jamani tusitirini kwani tatizo liko wapi??
Leta wake zako wako nikuambie nani anakufaa uoemoyo wa mwanadamu ni kiza Kunene mkuu usijiaminishe
Mwite mwenyeweNiitie financial services nimwambie kitu
ninaye mmoja tu, kwani wanahitajika wangapi?Leta wake zako wako nikuambie nani anakufaa uoe