Nani humu unataka kumuambia nini?

Out of mada

Kuna mtu alianzisha uzi kwamba eti kwann jamiiforum haina ads halafu saivi naona kuna ads za vodacom kwahiyo tunaona huyo mtu kasikilizwa ,
lakini kuna wengine wanaripoti kila siku matatizo yao kwamba pm hazifunguki hawasikilizwi kwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…