SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
- #21
Sawa huyo huyooninaye mmoja tu, kwani wanahitajika wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa huyo huyooninaye mmoja tu, kwani wanahitajika wangapi?
Nina mmoja na nishamuoa, kama inahitajika kuongeza niambieLeta wake zako wako nikuambie nani anakufaa uoe
nikuletee wapi sasaSawa huyo huyoo
Sasa unasema hujaoa ulikuwa unanichora auNina mmoja na nishamuoa, kama inahitajika kuongeza niambie
Unazinguanikuletee wapi sasa
wapi nimesema sijaoa mimiSasa unasema hujaoa ulikuwa unanichora au
Jamani usinichukulie serious nimesoma comment zako ndio nikajibuwapi nimesema sijaoa mimi
Out of mada
Kuna mtu alianzisha uzi kwamba eti kwann jamiiforum haina ads halafu saivi naona kuna ads za vodacom kwahiyo tunaona huyo mtu kasikilizwa ,
lakini kuna wengine wanaripoti kila siku matatizo yao kwamba pm hazifunguki hawasikilizwi kwa nini?
Wapo je wewe utakubali mkeo achepuke ??Siku nikipata mwanamke wa kuniruhusu kuchepuka nitaoa tena
Inawezekana mkuu kwanza wazitoe tuHv hz ads haziongez ulaji wa bando kweli
Mnaendana 🤣🤣Why?
Aku sitaki waganga mimi nenda weweMnaendana 🤣🤣
Sio mganga huyo bhana ni jentroman 🤣🤣😎Aku sitaki waganga mimi nenda wewe
Yeye yupo chini yangu hatakiw kuchepuka,maana mwili wake ni mali yanguWapo je wewe utakubali mkeo achepuke ??
Sio freshYeye yupo chini yangu hatakiw kuchepuka,maana mwili wake ni mali yangu
Nimejipakulia minyama mimi kama mwanaume
SimtakiSio mganga huyo bhana ni jentroman 🤣🤣😎
Punguza ukali wa maneno basiSimtaki