Pole sana, hata katika ngazi ya familia yako, huwezi kufanya maenedelo yoyote bila kufahamu ulikotoka. Hata ukijitahidi ukayafanya, yataishia kwako kama wanao wataridhi tabia yako. Hebu angalia hapo Tanzania watu ambao wanajali mila zao, kila mwisho wa mwaka wako vijijini kwao, wana maendeleo gani ? Jilinganishe na wewe ambaye hutaki hata kupiga simu kijijini kwenu kumsalimia Mama yako.Huku kwetu hakuna mwenye akili za kwenda kutazama mauchafu uko museum ...tunajielewa. puuuuuuuuuuuuuuuu
Wasafi.com imekosa usimamizi wewe eti CEO ni Romy Jones kwa uwezo upi alionao wa kusimamia hiyo platform? Bongo tatizo kujuana kwingi hivi angetafuta mtu professional mwenye uzoefu na uelewa wa kuendesha website kama hiyo angekufa?Sio vya mamilion tu!
Bongo hakuna mashabiki ila mashabiki maandazi!!
Iko wapi wasafi.com?
Zile nyimbo zilikua zinauzwa mamilion?
Si ilipoanza nyimbo zao ilikua hakuna kuweka kwenye free website?
ila Sasa je?
Mimi dhahabu hata sioni thamani yake hata iweje. Lakini hata hayo mashairi yakipata wateja wake ndiyo yanakuwa na thamani. Thamani huja si kutokana na kitu chenyewe chenye thamani bali kutokana na hisia ya watu kuhusu kitu hicho, uchache na upekee wake.Hiyo ni debate inayohitaji separate thread kabisa....
Ila for sure huwezi nipa sentimental value mzee.....ni value ya kufikirika!
Mimi dhahabu hata sioni thamani yake hata iweje. Lakini hata hayo mashairi yakipata wateja wake ndiyo yanakuwa na thamani. Thamani huja si kutokana na kitu chenyewe chenye thamani bali kutokana na hisia ya watu kuhusu kitu hicho, uchache na upekee wake.
Sitak kuleta mjadala wa "fiduciary Money" hapa. Lakini thamani ya dhahabu haiko kwenye kila kitu na ndiyo maana thamani yake haiko kila mahali. Kwenye sanaa Mashairi yana thamani kubwa sana!!Too bad gold standard ndio inatumiwa na dunia to back up your currency...
Alisema masanja hela izungukage humo humo kwenye ukoo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wasafi.com imekosa usimamizi wewe eti CEO ni Romy Jones kwa uwezo upi alionao wa kusimamia hiyo platform? Bongo tatizo kujuana kwingi hivi angetafuta mtu professional mwenye uzoefu na uelewa wa kuendesha website kama hiyo angekufa?
Una hakika kila kitu ulicho nacho una matumizi nacho? Maana kuna watu wana simu za iPhone lakini hawana matumizi nazo ingawa wenyewe wanadhani wana matumizi nazo!!Siwezi nunua kitu ambacho sina matumizi nacho kipato changu kinatosha kufanya matumizi ya msingi tuuu.... na bia mbili tatu.
Sitak kuleta mjadala wa "fiduciary Money" hapa. Lakini thamani ya dhahabu haiko kwenye kila kitu na ndiyo maana thamani yake haiko kila mahali. Kwenye sanaa Mashairi yana thamani kubwa sana!!
Una hakika kila kitu ulicho nacho una matumizi nacho? Maana kuna watu wana simu za iPhone lakini hawana matumizi nazo ingawa wenyewe wanadhani wana matumizi nazo!!
Ukisoma ninachoandika kabla kuandika kwa kudhani unajibu nilichoandika kumbe sikuandika ivo, utanielewa. Kwanza sijasema mahali popote pale kwamba mashairi yana thamani kuliko dhahabu na sijabisha kwamba dhahabu inatumika dunia nzima kupima utajiri wa serikali na nchi ambao ndio huamua thamani ya fedha ya nchi husika.Nimechoka sana pale unaposema Mashairi yana thamani sana kuliko dhahabu...
Ukisoma ninachoandika kabla kuandika kwa kudhani unajibu nilichoandika kumbe sikuandika ivo, utanielewa. Kwanza sijasema mahali popote pale kwamba mashairi yana thamani kuliko dhahabu na sijabisha kwamba dhahabu inatumika dunia nzima kupima utajiri wa serikali na nchi ambao ndio huamua thamani ya fedha ya nchi husika.
Lakini ninachosema ni kwamba kwangu mimi nikiwa na hela halafu kukawa na dhahabu mbele yangu na shairi lililoandikwa kwa mkono wa Shaaban Robert, basi mimi nitanunua shairi badala ya dhahabu.
View attachment 886370
Hizi ndio zilikuwa fedha za zama hizo, wakati huo zilikuwa na thamani kuliko dhahabu. Kwa uchumi wa sasa hata Marekani imeacha kutumia dhahabu kama kipimo kinachoamua thamani ya Dola yao. Marekani wanadai dola zilizoko mtaani wenyewe wakizirudisha kwenye Benki Kuu yao hakuna dhahabu ya kulingana thamani na dola walizo nazo.
Kidunia dhahabu ina thamani kubwa sana kuliko Mashairi ya Shaaban Robert!!
Hili ni wazo zuri sana!tunahitaji kujifunza si lazima tununue kwa bei kubwa bali ziwepo taratibu ya kutunza na kwa hapa ianzie kwa wahusika kuanza kutunza kazi zao wenyewe kwa lugha nyingine lazima wawe na maktaba ya kazi zao.
Nashukuru kwa kunielewa. Ila huwa sielewi ni kwa nini hivyo vitu vyenye "Real value" huporomoka thamani yake na wakati mwingine hugeuka na kuwa na "Sentimental Value" kwa maana thamani yake huwa kwa baadhi ya watu tu!!Nishaelewa....wewe ni mtu wa Sentimental Values.
Nashukuru kwa kunielewa. Ila huwa sielewi ni kwa nini hivyo vitu vyenye "Real value" huporomoka thamani yake na wakati mwingine hugeuka na kuwa na "Sentimental Value" kwa maana thamani yake huwa kwa baadhi ya watu tu!!
Hivi zama hizo kuna watu walijua "Hela" walizokuwa wanazitumia zitaishia kuwekwa kama ukumbusho badala ya kutumika na thamani yake kugeuka "sentimental?"
Hili nalo neno!!Kwa hapa bongo tuache kwanza tuwaondoe wapinzani tutulie. Wanatupa shida sana.