Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 4,116
- 4,979
Lakini ninachosema ni kwamba kwangu mimi nikiwa na hela halafu kukawa na dhahabu mbele yangu na shairi lililoandikwa kwa mkono wa Shaaban Robert, basi mimi nitanunua shairi badala ya dhahabu.
wengi hawaelewi na hawajawahi kuweka thamani katika maneno na kazi za sanaa kama mashairi ni kwa kiasi gani yanaweza kuleta hamasa na mabadiliko katika jamii na uchumi kwa ujumla na ndo maana hawawezi elewa na wengi tunapenda kuchukua vitu kimzahamzaha tu tukifikiri tunaelewa.
siku moja nilikuwa namuuliza abiria mwenzangu kuwa anajua shilingi 500/- inapicha gani mbele na nyuma, hakuwa na jibu kisha tukamuuliza konda ambaye anazishika kila wakati naye hakuwa na jibu la uhakika mpaka alipoangalia na abiria wengi waliingia katika huo mjadala kwa kutokuwa wadadisi hata kwa vitu vidogo sasa ukimwambia mtu shairi lina thamani hawezi elewa lakini tuangalie lile shairi tu maarufu la kama tunataka mali tutaipata shambani kwa waliolifuatilia na kama lingetumika kama kauli mbiu lingeleta mageuzi makubwa kwa kilimo.
lakini ni msukuma mkokoteni aliyeandika mkokoteni wake mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe na Mkapa kwa kuthamini maneno yale alimlipa yule msukuma mkokoteni kwa kazi nzuri na leo ndio tunaona walioelwa walijitahidi kujituma na kufanya kazi.
hivyo tuanze taratibu tutafika japo kwa kuchelewa.
wengi hawaelewi na hawajawahi kuweka thamani katika maneno na kazi za sanaa kama mashairi ni kwa kiasi gani yanaweza kuleta hamasa na mabadiliko katika jamii na uchumi kwa ujumla na ndo maana hawawezi elewa na wengi tunapenda kuchukua vitu kimzahamzaha tu tukifikiri tunaelewa.
siku moja nilikuwa namuuliza abiria mwenzangu kuwa anajua shilingi 500/- inapicha gani mbele na nyuma, hakuwa na jibu kisha tukamuuliza konda ambaye anazishika kila wakati naye hakuwa na jibu la uhakika mpaka alipoangalia na abiria wengi waliingia katika huo mjadala kwa kutokuwa wadadisi hata kwa vitu vidogo sasa ukimwambia mtu shairi lina thamani hawezi elewa lakini tuangalie lile shairi tu maarufu la kama tunataka mali tutaipata shambani kwa waliolifuatilia na kama lingetumika kama kauli mbiu lingeleta mageuzi makubwa kwa kilimo.
lakini ni msukuma mkokoteni aliyeandika mkokoteni wake mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe na Mkapa kwa kuthamini maneno yale alimlipa yule msukuma mkokoteni kwa kazi nzuri na leo ndio tunaona walioelwa walijitahidi kujituma na kufanya kazi.
hivyo tuanze taratibu tutafika japo kwa kuchelewa.