Nani huwafundisha mabinti sanaa ya kukata viuno?

Nani huwafundisha mabinti sanaa ya kukata viuno?

Kwani hupendi mauno mkuu? Sidhani kama wote wanafundishwa bana ila mpaka mtu anakata viuno mi naona ni kutokana na ile feeling anayoipata kwa muda huo wa tendo. Ni kama hutokea automatically hivi.

Pia kuna hizi stories "usiwe kama gogo jitume! So mtu anaona kujituma ni pamoja na kuyarudi mauno zaidi.
Kwa maelezo inaonekana we bado huna maujanja kabisa ...We c wa kaskazini kweli ?
 
Km ni vya kanda ya ziwa usivilaumu ..hiyo kanda iko nyuma kwenye vitu vingi ...jaribu kwenda mtwara kwa wamakonde ndo utajua hujui
Kwani kutokujua kukataa viuno Ni kosa?
Mbona Kuna Jamii nyingi tu iko juu kwa maendeleo ya kisayansi na kiuchumi wanawake wait hawajui habari ya kukata viuno.
Je unaweza ukalinganisha maendeleo ya Kanda ya ziwa dhidi ya Kanda ya kusini(Mtwara)?
Ndio maana nikasema kukata viuno Ni Sanaa.
 
Kwani kutokujua kukataa viuno Ni kosa?
Mbona Kuna Jamii nyingi tu iko juu kwa maendeleo ya kisayansi na kiuchumi wanawake wait hawajui habari ya kukata viuno.
Je unaweza ukalinganisha maendeleo ya Kanda ya ziwa dhidi ya Kanda ya kusini(Mtwara)?
Ndio maana nikasema kukata viuno Ni Sanaa.
Uko nje ya mada mkuu, ....
 
Kwani hupendi mauno mkuu? Sidhani kama wote wanafundishwa bana ila mpaka mtu anakata viuno mi naona ni kutokana na ile feeling anayoipata kwa muda huo wa tendo. Ni kama hutokea automatically hivi.

Pia kuna hizi stories "usiwe kama gogo jitume! So mtu anaona kujituma ni pamoja na kuyarudi mauno zaidi.
Popote ulipo agiza soda kwa mangi nakuja kilipa
 
Salaam


Kukatika ni sanaa nzuri sana imfurahishayo mwanaume wakati akila tunda. Miaka ya nyuma sanaa hii ilikua inafundishwa na watu maalum kwa baadhi ya makabila.

Kwa sasa inafanywa na wasichana na wanawake wa makabila yote tena bila kupitia mafunzo hayo yaliyokuwa yakitolewa kwa wasichana maalum, mahali maalum na kwa vipindi maalum.

Sasa siku hizi ukibahatika kupata baadhi ya wasichana/wanawake kutoka kabila lolote wengi wanaijua Sanaa hii vizuri sana tu. Hususan wasichana wangi Kati ya miaka 19 na kuendelea..
Tena wanajua kwa viwango vya juu Sana.


Je, wanafundishwa na nani?
Wanafundishiwa wapi?
Nafikiri una ubinafsi wa hali ya juu. Hivi unafikiri mwanamke naye hapati raha kwa kuingiliwa? Nafikiri anajipa raha mwenyewe, ndio kipaumbele!
 
Salaam


Kukatika ni sanaa nzuri sana imfurahishayo mwanaume wakati akila tunda. Miaka ya nyuma sanaa hii ilikua inafundishwa na watu maalum kwa baadhi ya makabila.

Kwa sasa inafanywa na wasichana na wanawake wa makabila yote tena bila kupitia mafunzo hayo yaliyokuwa yakitolewa kwa wasichana maalum, mahali maalum na kwa vipindi maalum.

Sasa siku hizi ukibahatika kupata baadhi ya wasichana/wanawake kutoka kabila lolote wengi wanaijua Sanaa hii vizuri sana tu. Hususan wasichana wangi Kati ya miaka 19 na kuendelea..
Tena wanajua kwa viwango vya juu Sana.


Je, wanafundishwa na nani?
Wanafundishiwa wapi?
Kinachotokea saizi ni substitution method,ukiona binti anajua viuno ujue kichwani ni empty,wasiojua viuno kichwani wapo smart,jichanganye uweke ndani viuno utajuta. Wanajifunza kwenye open class maana vigodoro saizi ni darasa la wazi,wasipo shiriki live wataona kwenye media. No way to escape
 
Mkuu unaonekana huna uzoefu, pita na wasichana/ wa Kanda ya ziwa au kaskazini uone walivyo wazito (gogo) ndipo utajua.....yaani ni kumvua chupi, kifo Cha mende basi! Hajui chuma mchicha! Hajui kuendesha farasi! na ukibahatika ukimpandisha juu,yeye ni kutikisa kichwa tu! Badala ya kiuno. In short baadhi yao wanaboa..
Kanda ya Ziwa ya wapi ? Kuna wanaokata viuno zaidi ya wajita na wakerewe ? Au umekurupuka ?
 
Kwani hupendi mauno mkuu? Sidhani kama wote wanafundishwa bana ila mpaka mtu anakata viuno mi naona ni kutokana na ile feeling anayoipata kwa muda huo wa tendo. Ni kama hutokea automatically hivi.

Pia kuna hizi stories "usiwe kama gogo jitume! So mtu anaona kujituma ni pamoja na kuyarudi mauno zaidi.
NimekuQUOTE ili ujue kuwa nimesoma😀
 
Mkuu unaonekana huna uzoefu, pita na wasichana/ wa Kanda ya ziwa au kaskazini uone walivyo wazito (gogo) ndipo utajua.....yaani ni kumvua chupi, kifo Cha mende basi! Hajui chuma mchicha! Hajui kuendesha farasi! na ukibahatika ukimpandisha juu,yeye ni kutikisa kichwa tu! Badala ya kiuno. In short baadhi yao wanaboa..

Aisee 😀 wewe kabila gani?
 
Kuna binti wa watu kabla hatujakutana alikua ananiahid kua niwe tyari kwa mauno ya hatari
Aisee tunafika kwenye mtanange nashangaa mauno anayokata ....anakata utadhani Yuko kwenye bembea ya watoto ile anasukumwa kwenda mbele na nyuma ..nili mind sana mjinga yule binti

Mmeanza u rikiboy 😀 kula tunda kimasihara
 
Kwani hupendi mauno mkuu? Sidhani kama wote wanafundishwa bana ila mpaka mtu anakata viuno mi naona ni kutokana na ile feeling anayoipata kwa muda huo wa tendo. Ni kama hutokea automatically hivi.

Pia kuna hizi stories "usiwe kama gogo jitume! So mtu anaona kujituma ni pamoja na kuyarudi mauno zaidi.

Wewe unakata uno wakati gani?
 
Back
Top Bottom