Nani huwafundisha mabinti sanaa ya kukata viuno?

Kwa maelezo inaonekana we bado huna maujanja kabisa ...We c wa kaskazini kweli ?
 
Km ni vya kanda ya ziwa usivilaumu ..hiyo kanda iko nyuma kwenye vitu vingi ...jaribu kwenda mtwara kwa wamakonde ndo utajua hujui
Kwani kutokujua kukataa viuno Ni kosa?
Mbona Kuna Jamii nyingi tu iko juu kwa maendeleo ya kisayansi na kiuchumi wanawake wait hawajui habari ya kukata viuno.
Je unaweza ukalinganisha maendeleo ya Kanda ya ziwa dhidi ya Kanda ya kusini(Mtwara)?
Ndio maana nikasema kukata viuno Ni Sanaa.
 
Uko nje ya mada mkuu, ....
 
Popote ulipo agiza soda kwa mangi nakuja kilipa
 
Nafikiri una ubinafsi wa hali ya juu. Hivi unafikiri mwanamke naye hapati raha kwa kuingiliwa? Nafikiri anajipa raha mwenyewe, ndio kipaumbele!
 
Kinachotokea saizi ni substitution method,ukiona binti anajua viuno ujue kichwani ni empty,wasiojua viuno kichwani wapo smart,jichanganye uweke ndani viuno utajuta. Wanajifunza kwenye open class maana vigodoro saizi ni darasa la wazi,wasipo shiriki live wataona kwenye media. No way to escape
 
Kanda ya Ziwa ya wapi ? Kuna wanaokata viuno zaidi ya wajita na wakerewe ? Au umekurupuka ?
 
NimekuQUOTE ili ujue kuwa nimesoma😀
 

Aisee 😀 wewe kabila gani?
 

Mmeanza u rikiboy 😀 kula tunda kimasihara
 

Wewe unakata uno wakati gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…