Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,872
Mmh maswali mengi mkuu!
Okay
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh maswali mengi mkuu!
Ila kama yana umuhimu sana nambie ntayajibu tu mkuu😉Okay
Nakusoma kwa utulivu kabisa mkuu... Heri ya mwaka mpya!! Umeadimika sana aisee.Siamini kama kuna asiyekata kabisa atulie tuu na zile movements zote za in and out aah hapana ila ufundi ndiyo tumetofautiana! Kuna wenye viuno vigumu na wenye wanakata kama feni bovu[emoji14]
Kukata centre boltIla kuna wadada wanakata viuno jamani....
Hususani hawa wanao danga. Ila hawa wanyumbani hata feni limekaza.
Hii kitaalam tunaiitaje?
[emoji3][emoji3][emoji3]....Nataka
Nataka anielezee hiyo kazi ya kufumsisha huwa anafundisha wakati wa kulana tunda au anafanya Kama tuition kwa malipo maalum.
Maana najua Kuna watu huwa wanafundishiwa kwenye kitu inaitwa unyago lakini hi ni kwa makabila fulani tu.sasa yeye Ni mwalimu kwenye hiyo unyago?
Ndo maana kwanza nilicheka.
Achana na raha yakukatiwa kiuno haina mfanoMsuguano au friction ya kuigiza na kutoa ndo inaleta utamu sio kukatika kama unataka kuikata. 😂😂
Wanafundishwa na YuTube, Instagram, Telegram, Snapchat, Tik Tok, na Guest houses. Siku hizi ni mambo kwenda mbele tu.Salaam
Kukatika ni sanaa nzuri sana imfurahishayo mwanaume wakati akila tunda. Miaka ya nyuma sanaa hii ilikua inafundishwa na watu maalum kwa baadhi ya makabila.
Kwa sasa inafanywa na wasichana na wanawake wa makabila yote tena bila kupitia mafunzo hayo yaliyokuwa yakitolewa kwa wasichana maalum, mahali maalum na kwa vipindi maalum.
Sasa siku hizi ukibahatika kupata baadhi ya wasichana/wanawake kutoka kabila lolote wengi wanaijua Sanaa hii vizuri sana tu. Hususan wasichana wangi Kati ya miaka 19 na kuendelea..
Tena wanajua kwa viwango vya juu Sana.
Je, wanafundishwa na nani?
Wanafundishiwa wapi?
Nakubaliana na wewe kwa asilimia za kutosha, kiuno cha mwanamke especially kwenye sex hua kinakuja automatically akiwa aroused vya kutosha,Kwani hupendi mauno mkuu? Sidhani kama wote wanafundishwa bana ila mpaka mtu anakata viuno mi naona ni kutokana na ile feeling anayoipata kwa muda huo wa tendo. Ni kama hutokea automatically hivi.
Pia kuna hizi stories "usiwe kama gogo jitume! So mtu anaona kujituma ni pamoja na kuyarudi mauno zaidi.
Wanachukua panga na kufyeka kiuno mkuukwani kukata mauno ndo wanafanya aje?
Ewaaa! Kweli ndiyo maana siamini kama kuna asiyekata kabisa yaani atulie tu mdundo wote wa ngoma asicheze mmh.Nakubaliana na wewe kwa asilimia za kutosha, kiuno cha mwanamke especially kwenye sex hua kinakuja automatically akiwa aroused vya kutosha,
Nilikaweka missionary mguu huku, mguu kule niko busy na upembuzi, Nikashangaa viuno kutoka chini from nowhere , nikapata alert yuko aroused vya kutosha........
Kuna wadada magogo hatari..whether anaenjoy au la,kiuno hakizungushwiEwaaa! Kweli ndiyo maana siamini kama kuna asiyekata kabisa yaani atulie tu mdundo wote wa ngoma asicheze mmh.
Wote mnafaidikaKama ndo hivyo Basi wanaume tunapunjwa aisee.
Nimsugue vizuri mm,halafu anajiongezea raha yeye. Ha haa.
Mmh mkuu ntabisha hadi kesho mngekua mnaumia mngekua mnagugumia vile kabisa?
Hakika mkuu sijabahatika tena kupata show kama ile,,popote alipo Mungu mpe afya siku moja tukutane tena[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] miaka 15 still unakumbuka show za Salma ... Kweli alikuwa Ni extraordinary
ila mie mkata kiuno nilimpataga huko huko kaskazini nikaonja ladha ya uno feni. Tena sio la kuigiza bali hisia zikimzidi anakikata automatically.Mkuu unaonekana huna uzoefu, pita na wasichana/ wa Kanda ya ziwa au kaskazini uone walivyo wazito (gogo) ndipo utajua.....yaani ni kumvua chupi, kifo Cha mende basi! Hajui chuma mchicha! Hajui kuendesha farasi! na ukibahatika ukimpandisha juu,yeye ni kutikisa kichwa tu! Badala ya kiuno. In short baadhi yao wanaboa..
Beibe mbn unaleta mambo yetu hadharani, unatakaa niibiwe nini mwenzio 😍Sasa hiyo friction ndiyo inayopelekea mauno kuongozeka ama kupungua kutokana na namna mnafeel tendo. Na siyo mauno kama yale ya wacheza bolingo kama ugomvi. Haya ni unique mkuu😀